WILFRED WILBARD: Ulemavu si mkosi wala laana
“WATOTO wenye ulemavu tunakabiliwa na changamoto nyingi katika maisha yetu ikiwemo kubaguliwa, kunyanyapaliwa na kuonekana kama mzigo mkubwa kwa jamii hata kwa baadhi ya wazazi wetu” “Ulemavu sio laana wala...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo11 Feb
Mahojiano Maalum: “Ujane siyo ulemavu wala Huyatima siyo kufungwa” -Tabu Obago
![Tabu Obago, akiwa nyumbani kwake Mbagala](http://alphaigogo.com/wp-content/uploads/2015/02/Tab-Obago-169x300.jpg)
Wapendwa wasomaji, wiki iliyopita niliwaletea mahojiano maalum kutoka kwa dada Zawadi Kakoschke. Katika mahojiahano hayo moja ya maswali ambayo nili muuliza ni kama kuna huusiano kati ya majina ambayo wazazi wanawapa watoto wao na mafanikio au tabia ya watoto hao. Sehemu ya mahojiano hayo yalikuwa kama ifuatavyo:-
Wewe binasfi unaamini majina ambayo wazazi wana wapa watoto wao yanachangia katika mafanikio yao kiuchumi, kielimu, na tabia zingine?...
10 years ago
Bongo524 Aug
New Video: Chris Bee f/ G Sacha & Silvia – Wala Wala
Tazama video ya mtangazaji wa redio ambaye pia ni muimbaji wa jijini Mbeya, Chris Bee ya wimbo wake ‘Wala Wala’ aliowashirikisha G Sacha na Silvia.
11 years ago
Tanzania Daima14 Jul
Fabiano, Wilbard wanatoa picha gani kuelekea Madola?
TIMU za taifa za michezo itakayoshiriki mashindano ya Jumuiya ya Madola mjini Glasgow, Scotland, kwa sasa zipo kambini kwa maandalizi ya mwisho. Ni maandalizi ya mwisho kwa vile tayari mashindano...
10 years ago
Vijimambo13 Mar
IBADA YA KUMBUKUMBU NA SHUKURANI YA MAISHA YA MAREHEMU MR. WILBARD W. KENTE DMV
Familia ya Deo na Mamertha Mosha pamoja na Henry Kente wanawakaribisha kwenye Ibada ya kumbukumbu na shukrani ya maisha ya marehemu Baba yao mpendwa Mr. Wilbard W. Kente, aliyefariki na kuzikwa tarehe 2/4/2015 huko Dar-es-Salaam, Tanzania.
Ibada itafanyika hapa Washington, DC Jumamosi, tarehe 21 March, 2015 kuanzia saa tisa mchana (3 pm) Anuani ya kanisa ni Universal Holiness Church 2426 Elvans Rd. SE,Washington, DC 20020
Kwa habari zaidi, unaweza kuwasiliana na Deo Mosha: 240 441...
Ibada itafanyika hapa Washington, DC Jumamosi, tarehe 21 March, 2015 kuanzia saa tisa mchana (3 pm) Anuani ya kanisa ni Universal Holiness Church 2426 Elvans Rd. SE,Washington, DC 20020
Kwa habari zaidi, unaweza kuwasiliana na Deo Mosha: 240 441...
10 years ago
BBCSwahili21 Apr
Mkosi wamwandama Brendan,Liverpool
Kocha wa klabu ya Liverpool Brendan Rodgers yupo kwenye wakati mgumu baada ya kushindwa kutwaa taji lolote.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YTFvh9JoYPHGEimLsZc157ZRXBf2Vzgypx7I7RW9V59oJ0V9qPh6JiMd*Snoq0RWTShu-fB4iG70mL7htOKx2O82poCZfOnt/Waziri.gif?width=650)
FAMILIA YA WAZIRI MKOSI TUPU
Mwandishi wetu
MIKOSI mikosi! Hakuna neno lingine sahihi zaidi ya hilo kufuatia watoto wawili wa aliyewahi kuwa waziri wa ardhi nyumba na maendeleo ya makazi katika serikali ya awamu ya tatu, Tatu Ntimizi, Mussa na nduguye, Said Ntimizi kwa nyakati zinazokaribiana kukumbwa na madai ya uhalifu yaliyowasababishia kufikishwa polisi na mahakamani ....Soma zaid hapa====>http://bit.ly/1IXdcZG ...
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Kimwaga apata mkosi mwingine
Winga chipukizi wa Azam FC na Taifa Stars, Joseph Kimwaga ameumia tena goti baada ya juzi kuteleza na kuanguka wakati akitoka bafuni kuoga.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EiPRnn58uVlQ-5NTlQa4RGmpBNmQVaWX*oGiLpZ*rhLraM55*-4O9mPeMCFRBoNqUheiBhrS-4uWPu7lBlNbT*xH9SpvVEle/mbrazil.gif?width=650)
MBRAZILI WA YANGA ATUA NA MKOSI DAR
Coutinho akiwa katika pozi. Na Richard Bukos
KIUNGO mshambuliaji wa Kibrazili, Andrey Coutinho, aliyetua jana (Ijumaa), kutoka nchini humo kuja kukipiga kwenye timu ya Yanga, jana alitua na mkosi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), jijini Dar es Salaam, baada ya gari lililoenda kumchukua kufungwa nyororo na wasimamizi wa maegesho ya magari uwanjani hapo. Katika sakata hilo mchezaji huyo baada ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania