Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WILFRED WILBARD: Ulemavu si mkosi wala laana

“WATOTO wenye  ulemavu tunakabiliwa na changamoto nyingi katika  maisha yetu  ikiwemo kubaguliwa, kunyanyapaliwa na kuonekana kama mzigo mkubwa kwa jamii hata kwa baadhi ya wazazi wetu” “Ulemavu sio laana wala...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Mahojiano Maalum: “Ujane siyo ulemavu wala Huyatima siyo kufungwa” -Tabu Obago

Tabu Obago, akiwa nyumbani kwake MbagalaTabu Obago, akiwa nyumbani kwake Mbagala
Wapendwa wasomaji, wiki iliyopita niliwaletea mahojiano maalum kutoka kwa dada Zawadi Kakoschke. Katika mahojiahano hayo moja ya maswali ambayo nili muuliza ni kama kuna huusiano kati ya majina ambayo wazazi wanawapa watoto wao na mafanikio au tabia ya watoto hao. Sehemu ya mahojiano hayo yalikuwa kama ifuatavyo:-
Wewe binasfi unaamini majina ambayo wazazi wana wapa watoto wao yanachangia katika mafanikio yao kiuchumi, kielimu, na tabia zingine?...

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Chris Bee f/ G Sacha & Silvia – Wala Wala

Tazama video ya mtangazaji wa redio ambaye pia ni muimbaji wa jijini Mbeya, Chris Bee ya wimbo wake ‘Wala Wala’ aliowashirikisha G Sacha na Silvia.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Fabiano, Wilbard wanatoa picha gani kuelekea Madola?

TIMU za taifa za michezo itakayoshiriki mashindano ya Jumuiya ya Madola mjini Glasgow, Scotland, kwa sasa zipo kambini kwa maandalizi ya mwisho. Ni maandalizi ya mwisho kwa vile tayari mashindano...

 

10 years ago

Vijimambo

IBADA YA KUMBUKUMBU NA SHUKURANI YA MAISHA YA MAREHEMU MR. WILBARD W. KENTE DMV

Familia ya Deo na Mamertha Mosha pamoja na Henry Kente wanawakaribisha kwenye Ibada ya kumbukumbu na shukrani ya maisha ya marehemu Baba yao mpendwa Mr. Wilbard W. Kente, aliyefariki na kuzikwa tarehe 2/4/2015 huko Dar-es-Salaam, Tanzania. 

Ibada itafanyika hapa Washington, DC Jumamosi, tarehe 21 March, 2015 kuanzia saa tisa mchana (3 pm) Anuani ya kanisa ni Universal Holiness Church 2426 Elvans Rd. SE,Washington, DC 20020 
Kwa habari zaidi, unaweza kuwasiliana na  Deo Mosha: 240 441...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkosi wamwandama Brendan,Liverpool

Kocha wa klabu ya Liverpool Brendan Rodgers yupo kwenye wakati mgumu baada ya kushindwa kutwaa taji lolote.

 

10 years ago

GPL

FAMILIA YA WAZIRI MKOSI TUPU

Mwandishi wetu MIKOSI mikosi! Hakuna neno lingine sahihi zaidi ya hilo kufuatia watoto wawili wa aliyewahi kuwa waziri wa ardhi nyumba na maendeleo ya makazi katika serikali ya awamu ya tatu, Tatu Ntimizi, Mussa na nduguye, Said Ntimizi kwa nyakati zinazokaribiana kukumbwa na madai ya uhalifu yaliyowasababishia kufikishwa polisi na mahakamani  ....Soma zaid hapa====>http://bit.ly/1IXdcZG ...

 

11 years ago

Mwananchi

Kimwaga apata mkosi mwingine

Winga chipukizi wa Azam FC na Taifa Stars, Joseph Kimwaga ameumia tena goti baada ya juzi kuteleza na kuanguka wakati akitoka bafuni kuoga.

 

11 years ago

GPL

MBRAZILI WA YANGA ATUA NA MKOSI DAR

Coutinho akiwa katika pozi. Na Richard Bukos
KIUNGO mshambuliaji wa Kibrazili, Andrey Coutinho, aliyetua jana (Ijumaa), kutoka nchini humo kuja kukipiga kwenye timu ya Yanga, jana alitua na mkosi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), jijini Dar es Salaam, baada ya gari lililoenda kumchukua kufungwa nyororo na wasimamizi wa maegesho ya magari uwanjani hapo. Katika sakata hilo mchezaji huyo baada ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani