Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kimwaga apata mkosi mwingine

Winga chipukizi wa Azam FC na Taifa Stars, Joseph Kimwaga ameumia tena goti baada ya juzi kuteleza na kuanguka wakati akitoka bafuni kuoga.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Kimwaga akabidhiwa mikoba ya Kiiza

Mshambuliaji tegemeo wa Simba, Hamis Kiiza ‘Diego’ atakuwa nje ya uwanja kwa wiki mbili akiuguza majeraha, lakini kocha Dylan Kerr na kiungo Justice Majabvi wamemtaja kinda, Joseph Kimwaga kama mtu mwenye uwezo wa kuziba pengo hilo.

 

9 years ago

Habarileo

Kimwaga ataka kuisaidia Simba

KIUNGO Joseph Kimwaga aliyejiunga na Simba kwa mkopo akitokea Azam FC, amekiri kuwa alikata tamaa ya kucheza mpira baada ya mambo kuwa magumu katika klabu yake ya awali.

 

9 years ago

Mwananchi

Kimwaga aumia rohoni kuikosa Stars

Kiungo mshambuliaji wa Simba, Joseph Kimwaga ametoa la moyoni akisema kwamba kama kuna jambo linalomuumiza kichwa katika kazi yake ni kukosa kujumuishwa kwenye kikosi cha Taifa Stars na badala yake anageuka shabiki wa kutazama wanachokifanya wenzake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkosi wamwandama Brendan,Liverpool

Kocha wa klabu ya Liverpool Brendan Rodgers yupo kwenye wakati mgumu baada ya kushindwa kutwaa taji lolote.

 

10 years ago

GPL

FAMILIA YA WAZIRI MKOSI TUPU

Mwandishi wetu MIKOSI mikosi! Hakuna neno lingine sahihi zaidi ya hilo kufuatia watoto wawili wa aliyewahi kuwa waziri wa ardhi nyumba na maendeleo ya makazi katika serikali ya awamu ya tatu, Tatu Ntimizi, Mussa na nduguye, Said Ntimizi kwa nyakati zinazokaribiana kukumbwa na madai ya uhalifu yaliyowasababishia kufikishwa polisi na mahakamani  ....Soma zaid hapa====>http://bit.ly/1IXdcZG ...

 

11 years ago

GPL

MBRAZILI WA YANGA ATUA NA MKOSI DAR

Coutinho akiwa katika pozi. Na Richard Bukos
KIUNGO mshambuliaji wa Kibrazili, Andrey Coutinho, aliyetua jana (Ijumaa), kutoka nchini humo kuja kukipiga kwenye timu ya Yanga, jana alitua na mkosi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), jijini Dar es Salaam, baada ya gari lililoenda kumchukua kufungwa nyororo na wasimamizi wa maegesho ya magari uwanjani hapo. Katika sakata hilo mchezaji huyo baada ya...

 

10 years ago

GPL

CATHY, KUBADILI JINA KISA LINA MKOSI

Na Hamida Hassan MKONGWE wa filamu kitambo, Sabrina Rupia ‘Cathy’ amesema kuwa jina analotumia katika sanaa lina mkosi hivyo yuko kwenye mkakati wa kulibadilisha na kujipa jina lingine labda linaweza kumkaa vizuri. Staa wa filamu bongo Sabrina Rupia ‘Cathy'. Akizungumza na mwandishi wetu, Cathy alisema anaona jina hilo lina mkosi kwa sababu linazungumzwa vibaya na baadhi ya wasanii wenzake hata kama kuna kitu...

 

10 years ago

Tanzania Daima

WILFRED WILBARD: Ulemavu si mkosi wala laana

“WATOTO wenye  ulemavu tunakabiliwa na changamoto nyingi katika  maisha yetu  ikiwemo kubaguliwa, kunyanyapaliwa na kuonekana kama mzigo mkubwa kwa jamii hata kwa baadhi ya wazazi wetu” “Ulemavu sio laana wala...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani