Kimwaga akabidhiwa mikoba ya Kiiza
Mshambuliaji tegemeo wa Simba, Hamis Kiiza ‘Diego’ atakuwa nje ya uwanja kwa wiki mbili akiuguza majeraha, lakini kocha Dylan Kerr na kiungo Justice Majabvi wamemtaja kinda, Joseph Kimwaga kama mtu mwenye uwezo wa kuziba pengo hilo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLMatola akabidhiwa mikoba ya Loga Simba
Kuanzia Kushoto: Kocha Msaidizi Seleman Matola, Tambwe, Amri Kiemba, Joseph Owino, Jonas Mkude, Musoti. Mbele Kushoto: Singano, Awadhi, Haruna Chanongo, Ivo Mapunda, Rashid Baba Ubaya ,Haruna Shamte. Na Martha Mboma
KOCHA Msaidizi wa Simba, Selemani Matola, amepewa mikoba ya kukinoa kikosi cha timu hiyo mpaka kocha mkuu, Zdravko Logarusic, atakapowasili nchini kesho akitokea kwao, Croatia. Simba inatarajiwa kuanza mazoezi kwa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_FNpgIit00k/U1windwTttI/AAAAAAAFdNM/gcOUJICNCCA/s72-c/Tanzania-Mart-Nooij-300.jpg)
MHOLANZI AKABIDHIWA MIKOBA YA KUINOA TAIFA STARS
![](http://4.bp.blogspot.com/-_FNpgIit00k/U1windwTttI/AAAAAAAFdNM/gcOUJICNCCA/s1600/Tanzania-Mart-Nooij-300.jpg)
Rais wa TFF, Jamal Malinzi amemtambulisha kocha huyo leo (Aprili 26 mwaka huu) kwenye mkutano na waandishi wa habari uliofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Akiwa amefuatana na Makamu wake Wallace Karia, amesema anafurahi kumtangaza Nooij na ana matarajio kuwa Tanzania itanufaika na uzoefu wake mkubwa wa ukocha, hasa katika bara la...
9 years ago
Global Publishers05 Jan
Breaking news: Benitez atimuliwa Madrid… Mikoba yake akabidhiwa Zidane
![zizu](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2016/01/zizu.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Yg6g7QIgmRI/VjX80w-O55I/AAAAAAAID1U/-OnVmPSCmNc/s72-c/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
HAMIS KIIZA AKABIDHIWA KITITA CHAKE NA WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Yg6g7QIgmRI/VjX80w-O55I/AAAAAAAID1U/-OnVmPSCmNc/s640/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
9 years ago
Mwananchi26 Nov
Balozi Mahiga akabidhiwa mikoba ya Balozi Mwapachu
Balozi Augustine Mahiga ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom), kuziba nafasi iliyokuwa ikishikiliwa na Balozi Juma Mwapachu. Â Â Â
9 years ago
Habarileo30 Aug
Kimwaga ataka kuisaidia Simba
KIUNGO Joseph Kimwaga aliyejiunga na Simba kwa mkopo akitokea Azam FC, amekiri kuwa alikata tamaa ya kucheza mpira baada ya mambo kuwa magumu katika klabu yake ya awali.
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Kimwaga apata mkosi mwingine
Winga chipukizi wa Azam FC na Taifa Stars, Joseph Kimwaga ameumia tena goti baada ya juzi kuteleza na kuanguka wakati akitoka bafuni kuoga.
9 years ago
Mwananchi15 Nov
Kimwaga aumia rohoni kuikosa Stars
Kiungo mshambuliaji wa Simba, Joseph Kimwaga ametoa la moyoni akisema kwamba kama kuna jambo linalomuumiza kichwa katika kazi yake ni kukosa kujumuishwa kwenye kikosi cha Taifa Stars na badala yake anageuka shabiki wa kutazama wanachokifanya wenzake.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania