Breaking news: Benitez atimuliwa Madrid… Mikoba yake akabidhiwa Zidane
Safari ya Real Madrid na kocha Rafa Benitez imefikia ukingoni baada ya kutimuliwa leo.
Gwiji la timu hiyo, Zinedine Zidane amepewa jukumu la kukinoa kikosi cha Madrid na ndiyo anakuwa mocha mkuu.
Real Madrid imemtimua Benitez baada ya miezi sita tu na ikiwa ni siku moja tu baada ya sale ya mabao 2-2 dhidi ya Valencia inayonolewa na Kocha Gary Neville ambaye ni nyota wa zamani wa Man United.
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo505 Jan
Rafael Benitez atimuliwa Real Madrid, nafasi yake yachukuliwa na Zidane
![2FC5C48900000578-3383931-image-a-52_1451919569762](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/2FC5C48900000578-3383931-image-a-52_1451919569762-300x194.jpg)
Uongozi wa klabu ya Real Madrid hatimaye umemfukuza kocha wake Rafael Benitez ambaye amedumu kwa miezi 7 pekee.
Nafasi ya Benitez imechukuliwa na aliyekuwa mchezaji wa Ufaransa Zinedine Zidane ambaye awali alikuwa kocha wa kikosi B cha Real Madrid.
Hii ni kutokana na matokeo mabaya kwa timu hiyo, ambapo ilitoka sare 2-2 na Valencia, katika Mechi ya La Liga, sare ambayo imewaacha vigogo hao nafasi ya 3 wakiwa nyuma ya Atletico Madrid kwa pointi 4.
Tangu atue Madrid, Benitez amekuwa hapendwi...
9 years ago
Dewji Blog05 Jan
Real Madrid yamtimua kazi Benitez, Zidane kuchukua nafasi yake
Rais wa Klabu ya Real Madrid ya Hispania, Florentino Perez akimpongeza Zinedine Zidane baada ya kumtangaza rasmi kocha mpya wa timu ya Real Madrid.(Picha na AFP).
Rafa Benitez.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Klabu ya Real Madrid ya Hispania usiku wa kuamkia jumanne imetoa taarifa ya kumfukuza kazi aliyekuwa kocha wa klabu hiyo, Rafa Benitez.
Hatua ya Real Madrid kumtikua kazi Benitez imekuja baada ya kupata matokeo ya sare ya goli 2 kwa 2 dhidi ya Valencia hali iliyopelekea uongozi wa klabu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SRbpV0Al75rZVotpW4Oa2cRzXSfx9MmCusI8x*Yme-rDVSqMHYOkm2WO7ZpxivKMqPReIbzrHKMcGxqUELNyFp7sad1MYUo*/seedorf.jpg)
CLARENCE SEEDORF ATIMULIWA AC MILAN, FILIPPO INZAGHI ACHUKUWA MIKOBA YAKE
9 years ago
BBCSwahili05 Jan
Benitez nje Real Madrid,Zidane atawazwa
9 years ago
Bongo524 Nov
Majibu ya Zinedine Zidane kuhusu kuchukua nafasi ya Rafael Benitez
![2706115700000578-0-image-a-9_1427721283259](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/2706115700000578-0-image-a-9_1427721283259-300x194.jpg)
Baada ya mechi ya El Classico pamekuwa na tetesi kwamba Zinedine Zidane huenda akaichukua nafasi ya Rafael Benitez kwenye club ya Real Madrid.
Baada ya mchezaji wazamani wa Barcelona na Brazil Rivaldo ku-post kwenye mtandao wake wa instagram kwamba ni wakati wa Real Madrid kumpa nafasi Zidane ajaribu ku-manage club hiyo kama Pep Gurdiola alivyopewa nafasi na Barcelona.
Waandishi wa habari wamemtafuta Zidane ambae ni kocha wa kikosi cha vijana cha Real Madrid “Castilla” na yeye alijibu...
9 years ago
Mwananchi08 Oct
Kimwaga akabidhiwa mikoba ya Kiiza
11 years ago
GPLMatola akabidhiwa mikoba ya Loga Simba
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_FNpgIit00k/U1windwTttI/AAAAAAAFdNM/gcOUJICNCCA/s72-c/Tanzania-Mart-Nooij-300.jpg)
MHOLANZI AKABIDHIWA MIKOBA YA KUINOA TAIFA STARS
![](http://4.bp.blogspot.com/-_FNpgIit00k/U1windwTttI/AAAAAAAFdNM/gcOUJICNCCA/s1600/Tanzania-Mart-Nooij-300.jpg)
Rais wa TFF, Jamal Malinzi amemtambulisha kocha huyo leo (Aprili 26 mwaka huu) kwenye mkutano na waandishi wa habari uliofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Akiwa amefuatana na Makamu wake Wallace Karia, amesema anafurahi kumtangaza Nooij na ana matarajio kuwa Tanzania itanufaika na uzoefu wake mkubwa wa ukocha, hasa katika bara la...
10 years ago
Dewji Blog17 Dec
Breaking News… Bunge Afrika Mashariki lamvua spika madaraka yake
Aliyekuwa Spika wa Bunge la Afrika Mashariki kabla ya kubwagwa leo Bi.Margaret Nantongo Zziwa.
Na Mahmoud Ahmad Arusha
BUNGE la nchi za jumuia ya Afrika Mashariki,lenye makao yake mjini Arusha, limemvua madaraka ya Uspika wa bunge hilo Margaret Nantongo Zziwa, kutoka nchini Uganda.
Uamuzi huo umefanywa leo katika kikao cha bunge hilo ambapo Spika huyo alipigiwa kura 36 za kutokuwa na Imani nae, kura 2 zimeharika kura moja haikueleweka hivyo kukosa sifa ya kuendelea na wadhifa huo.
Kwa...