Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CLARENCE SEEDORF ATIMULIWA AC MILAN, FILIPPO INZAGHI ACHUKUWA MIKOBA YAKE

Clarence Seedorf akiwa mzigoni. KOCHA wa AC Milan, Clarence Seedorf ametimuliwa kazi na nafasi yake kuchukuliwa na mshambuliaji wa zamani wa timu hiyo, Filippo "Pippo" Inzaghi Filippo "Pippo" Inzaghi. Seedorf alianza kukinoa kikosi hicho chenye maskani yake San Siro mwezi Januari akichukuwa nafasi ya Massimiliano Allegri. AC Milan imemaliza Serie A ikiwa nafasi ya nane msimu… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Filippo Inzaghi ndiye kocha AC MIlan

Filipo Inzaghi ameteuliwa kocha mpya wa AC Milan na kuchukua pahala pa Clarence Seedof

 

9 years ago

Global Publishers

Breaking news: Benitez atimuliwa Madrid… Mikoba yake akabidhiwa Zidane

zizuSafari ya Real Madrid na kocha Rafa Benitez imefikia ukingoni baada ya kutimuliwa leo. Gwiji la timu hiyo, Zinedine Zidane amepewa jukumu la kukinoa kikosi cha Madrid na ndiyo anakuwa mocha mkuu. Real Madrid imemtimua Benitez baada ya miezi sita tu  na ikiwa ni siku moja tu baada ya sale ya mabao 2-2 dhidi ya  Valencia inayonolewa na Kocha Gary Neville ambaye ni nyota wa zamani wa Man United.

 

11 years ago

Dewji Blog

Inzaghi Kocha Mpya AC Milan

filippo-inzaghi

 

Filippo Inzaghi.

By Israel Saria

AC Milan wamemfukuza kazi Kocha Clarence Seedorf na kumpa kazi hiyo Filippo Inzaghi.

Seedorf amefukuzwa kazi ikiwa ni pungufu ya miezi mitano tu tangu achaguliwe kushika nafasi hiyo kwa klabu inayocheza Ligi Kuu ya Italia – Serie A.

Mdachi huyu mwenye umri wa miaka 37 alipewa mikoba kwenye klabu aliyochezea kwa miaka 10 tangu 2002.

Inzaghi naye ni mkongwe aliyechezea AC Milan lakini hajapata kufundisha timu iliyo katika ligi kuu. Alikuwa akifundisha timu...

 

9 years ago

Bongo5

Rafael Benitez atimuliwa Real Madrid, nafasi yake yachukuliwa na Zidane

2FC5C48900000578-3383931-image-a-52_1451919569762

Uongozi wa klabu ya Real Madrid hatimaye umemfukuza kocha wake Rafael Benitez ambaye amedumu kwa miezi 7 pekee.

2FCC0AEA00000578-3384137-image-m-40_1451939045866

Nafasi ya Benitez imechukuliwa na aliyekuwa mchezaji wa Ufaransa Zinedine Zidane ambaye awali alikuwa kocha wa kikosi B cha Real Madrid.

2FC5C48900000578-3383931-image-a-52_1451919569762

Hii ni kutokana na matokeo mabaya kwa timu hiyo, ambapo ilitoka sare 2-2 na Valencia, katika Mechi ya La Liga, sare ambayo imewaacha vigogo hao nafasi ya 3 wakiwa nyuma ya Atletico Madrid kwa pointi 4.

Tangu atue Madrid, Benitez amekuwa hapendwi...

 

9 years ago

Vijimambo

LOWASSA AMALIZA KAZI JIMBO LA MONDULI, AMNADI JULIUS KALANGA KUWA NDIEANAFAA KUSHIKA MIKOBA YAKE

 Umati wa Wananchi wa Mji wa Monduli ambako ni Nyumbani kwa Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, wakionekana kushangiliwa kwa furaha pindi Chopa yake ilipokuwa ikishuka katika Uwanja wa Polisi Monduli, kulikofanyika Mkutano wa Kampeni zake,  Oktoba 5, 2015.PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI.
Wananchi wa Mji wa Monduli wakionyesha upendo wao kwa Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Bodi ya Chelsea yakutana kujadili hatma ya Mourinho, baadhi ya makocha watajwa kuchukua mikoba yake, listi ipo hapa

Chelsea_manager_Jose_Mourinho_has_been_under_pressure_lately_aft-a-46_1445718274698 (1)

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Bodi ya Chelsea ikiongozwa na mmiliki wa klabu hiyo, Roman Abramovich imekutana jana jumatano kujadili kuhusu hatma ya kocha wa timu hiyo, Jose Mourinho (pichani) baada ya klabu hiyo kuendelea kupata matokeo mabaya ambayo hayawaridhishi viongozi na mashabiki wa timu hiyo.

Taarifa zinasema kuwa bodi hiyo ilikutana katika kikao kilichofanyika kwa masaa tisa kujadili hatma ya kocha wa timu yao licha ya mmiliki klabu kuonyesha hali ya kutamani kuendelea kufanya kazi na...

 

11 years ago

GPL

ALIYEVUJISHA VIDEO YA JAY Z AKIPIGWA NA SHEMEJI YAKE ATIMULIWA KAZI, ALILAMBA MIL 412 KUTOKA TMZ

Solange (mbele kulia) baada ya kumpa kichapo shemeji yake Jay Z (wa tatu kushoto). JAMAA aliyevujisha video ikionyesha staa Jay Z akipigwa na shemeji yake Solange ametimuliwa kazi. Hoteli ya New York Standard  imeamua kusitisha mkataba wa jamaa huyo mara moja baada ya kuvunja sheria za usalama za hoteli hiyo kwa kuvujisha tukio nyeti kama hilo. Jamaa huyo anadaiwa kuwauzia TMZ kipande hicho cha video kwa dola 250,000 sawa na...

 

11 years ago

GPL

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani