Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Filippo Inzaghi ndiye kocha AC MIlan

Filipo Inzaghi ameteuliwa kocha mpya wa AC Milan na kuchukua pahala pa Clarence Seedof

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

CLARENCE SEEDORF ATIMULIWA AC MILAN, FILIPPO INZAGHI ACHUKUWA MIKOBA YAKE

Clarence Seedorf akiwa mzigoni. KOCHA wa AC Milan, Clarence Seedorf ametimuliwa kazi na nafasi yake kuchukuliwa na mshambuliaji wa zamani wa timu hiyo, Filippo "Pippo" Inzaghi Filippo "Pippo" Inzaghi. Seedorf alianza kukinoa kikosi hicho chenye maskani yake San Siro mwezi Januari akichukuwa nafasi ya Massimiliano Allegri. AC Milan imemaliza Serie A ikiwa nafasi ya nane msimu… ...

 

11 years ago

Dewji Blog

Inzaghi Kocha Mpya AC Milan

filippo-inzaghi

 

Filippo Inzaghi.

By Israel Saria

AC Milan wamemfukuza kazi Kocha Clarence Seedorf na kumpa kazi hiyo Filippo Inzaghi.

Seedorf amefukuzwa kazi ikiwa ni pungufu ya miezi mitano tu tangu achaguliwe kushika nafasi hiyo kwa klabu inayocheza Ligi Kuu ya Italia – Serie A.

Mdachi huyu mwenye umri wa miaka 37 alipewa mikoba kwenye klabu aliyochezea kwa miaka 10 tangu 2002.

Inzaghi naye ni mkongwe aliyechezea AC Milan lakini hajapata kufundisha timu iliyo katika ligi kuu. Alikuwa akifundisha timu...

 

11 years ago

BBCSwahili

Dunga ndiye kocha wa Brazil

Dunga ndiye kocha mpya wa Brazil

 

10 years ago

BBCSwahili

Pulis ndiye kocha mpya wa Westbromwich

Tony Pulis ndiye kocha mpya wa kilabu ya West Bromwich na atahudumu kwa kandarasi ya miaka miwili na nusu ,kilabu hiyo imetangaza.

 

10 years ago

BBCSwahili

Sunday Oliseh ndiye kocha mpya wa Nigeria

Nigeria imemchagua aliyekuwa mchezaji wa Nigeria Sunday Oliseh kama kocha mpya wa Nigeria.

 

11 years ago

Mwananchi

Brazil 2014: Capello ndiye kocha anayelipwa mshahara mnono zaidi Brazil

Rio de Janeiro. Fainali za Kombe la Dunia zinafunguliwa leo nchini Brazil huku macho na masikio yakielekezwa kwa nyota 736 kutoka timu 32 zinazoshiriki ili kuona ni kitu gani watafanya.

 

11 years ago

Bongo5

Shaa asema amefanya Collabo na Redsan baada ya kugundua ndiye msanii anayeheshimika zaidi Kenya, AY ndiye aliyewaunganisha

Baada ya kuachia video mpya ‘Njoo’ iliyoongozwa na director Enos Olik, Shaa amezungumzia mambo kadhaa kuhusu collabo hiyo mpya na star mkubwa wa Kenya, Redsan ikiwemo sababu za kumchagua kumshirikisha pamoja na mtu aliyemsaidia kumpata Redsan kiurahisi na kufanya nae kazi. Shaa amesema baada ya kufanya utafiti aligundua Redsan ndiye msanii anayeheshimika zaidi Kenya ambaye […]

 

10 years ago

Vijimambo

KOCHA WA YANGA AGOMA KUMPA MKONO KOCHA MWENZIE

Kocha simba akimpa mkono kocha wa YangaHans ameshindwa kupeana mkono wa pongezi na kocha mwenzake kutokana na kikosi chake kukubali kupokea kichapo kutoka kwa wekundu wa msimbazi lakini katika hali ya kawaida mchezo ukimalizika makocha upeana mkono kama ishara ya kukubali matokeo (fair play) na kocha msaidizi wa yanga Boniface Mkwasa ametoa mkono huku akiwa ameangalia pembeni.Goran akimwambia basi samahani kwa kukufunga wewe nipe mkono tuBaada ya mchezo kocha aliwashukuru wachezaji wake kwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Balotelli awasili AC Milan

Mshambuliaji wa Liverpool Mario Balotelli amewasili katika kilabu ya AC Milan ili kufanyiwa ukaguzi wa matibabu kabla ya kurudi katika timu hiyo kwa mkopo wa mwaka mmoja kilabu hiyo imetangaza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani