Filippo Inzaghi ndiye kocha AC MIlan
Filipo Inzaghi ameteuliwa kocha mpya wa AC Milan na kuchukua pahala pa Clarence Seedof
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
CLARENCE SEEDORF ATIMULIWA AC MILAN, FILIPPO INZAGHI ACHUKUWA MIKOBA YAKE
11 years ago
Dewji Blog10 Jun
Inzaghi Kocha Mpya AC Milan
Filippo Inzaghi.
By Israel Saria
AC Milan wamemfukuza kazi Kocha Clarence Seedorf na kumpa kazi hiyo Filippo Inzaghi.
Seedorf amefukuzwa kazi ikiwa ni pungufu ya miezi mitano tu tangu achaguliwe kushika nafasi hiyo kwa klabu inayocheza Ligi Kuu ya Italia – Serie A.
Mdachi huyu mwenye umri wa miaka 37 alipewa mikoba kwenye klabu aliyochezea kwa miaka 10 tangu 2002.
Inzaghi naye ni mkongwe aliyechezea AC Milan lakini hajapata kufundisha timu iliyo katika ligi kuu. Alikuwa akifundisha timu...
11 years ago
BBCSwahili22 Jul
10 years ago
BBCSwahili01 Jan
Pulis ndiye kocha mpya wa Westbromwich
10 years ago
BBCSwahili15 Jul
Sunday Oliseh ndiye kocha mpya wa Nigeria
11 years ago
Mwananchi12 Jun
Brazil 2014: Capello ndiye kocha anayelipwa mshahara mnono zaidi Brazil
11 years ago
Bongo501 Nov
Shaa asema amefanya Collabo na Redsan baada ya kugundua ndiye msanii anayeheshimika zaidi Kenya, AY ndiye aliyewaunganisha
10 years ago
Vijimambo09 Mar
KOCHA WA YANGA AGOMA KUMPA MKONO KOCHA MWENZIE


10 years ago
BBCSwahili25 Aug
Balotelli awasili AC Milan