Dunga ndiye kocha wa Brazil
Dunga ndiye kocha mpya wa Brazil
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi12 Jun
Brazil 2014: Capello ndiye kocha anayelipwa mshahara mnono zaidi Brazil
Rio de Janeiro. Fainali za Kombe la Dunia zinafunguliwa leo nchini Brazil huku macho na masikio yakielekezwa kwa nyota 736 kutoka timu 32 zinazoshiriki ili kuona ni kitu gani watafanya.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ea4x8ggFHeKgtJZx2mwfY6hwxRM2PpJGygZMiR1izExEhq-F3mG2RVmE8Yj7Bx*C0LcQehAVe-zdgWQtlDQQc2YBs9G-X-78/dunga.jpg?width=650)
DUNGA ACHUKUA MIKOBA YA SCOLARI KUINOA BRAZIL
Kocha mpya wa Brazil, Dunga. Mchezaji wa zamani wa Brazil, Carlos Caetano Bledorn Verri 'Dunga', amepewa mikoba ya kukinoa kikosi cha Brazil baada ya kocha Luiz Felipe Scolari kujiuzulu. Dunga amepewa kikosi hicho kilichoboronga katika michuano ya Kombe la Dunia 2014 iliyofanyika nyumbani kwao huku timu hiyo ikiambulia nafasi ya nne. Kikosi hicho pia kilipata dhahama baada ya kipigo cha mabao 7-1 dhidi ya mabingwa wa kombe...
10 years ago
BBCSwahili01 Jan
Pulis ndiye kocha mpya wa Westbromwich
Tony Pulis ndiye kocha mpya wa kilabu ya West Bromwich na atahudumu kwa kandarasi ya miaka miwili na nusu ,kilabu hiyo imetangaza.
11 years ago
BBCSwahili09 Jun
Filippo Inzaghi ndiye kocha AC MIlan
Filipo Inzaghi ameteuliwa kocha mpya wa AC Milan na kuchukua pahala pa Clarence Seedof
10 years ago
BBCSwahili15 Jul
Sunday Oliseh ndiye kocha mpya wa Nigeria
Nigeria imemchagua aliyekuwa mchezaji wa Nigeria Sunday Oliseh kama kocha mpya wa Nigeria.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yLeW*7VDqh8QxF4DS0Cm-5M8uq3uRFCV1zghEfiT5wo90FRS30BGRAV1xrJTHKqUBbmFshepJRt2c57qy1T6*KV/yanga.gif?width=650)
Yanga yafuata kocha Brazil
Aliekuwa kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm. Na Ezekiel Kitula
MAKOCHA kutoka nchi mbili za Brazil na Uholanzi ndiyo wenye nafasi ya kuifundisha Yanga msimu ujao.
Habari za uhakika kutoka Yanga zinaeleza, Yanga inataka kupata kocha Mholanzi ili kuendeleza utamaduni wa Kiholanzi baada ya kufundishwa na Ernie Brandts na Hans van der Pluijm. Lakini kama mambo hayataenda vizuri itaangalia nchi nyingine na Brazil ndiyo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Whapl-f-NAamk1DEWkNrGO4Vm1iz7n7J3mNeMkDU9UgyiVmXYS*hACo*IEJUTs5OW2yHWAPQyY54adOYODbYRGE2dATYQ2hq/scolari.jpg)
BRAZIL KUMTANGAZA KOCHA MPYA
Luiz Felipe Scolari. BRAZIL inatarajia kumtangaza kocha wake mpya katika mkutano na wanahabari Julai 22 mwaka huu kufuatia kujiuzulu kwa kocha wa timu hiyo, Luiz Felipe Scolari. Scolari mwenye umri wa miaka 65 aliiongoza Brazil katika Kombe la Dunia ambapo timu hiyo ilipata kichapo kibaya cha mabao 7-1 dhidi ya mabingwa wa kombe hilo Ujerumani. Aliyekuwa kocha wa timu hiyo ambaye aliiongoza kati ya mwaka 2006 na 2011 huenda...
11 years ago
BBCSwahili20 Jul
Brazil kumtangaza kocha mpya jumanne
Brazil inatarajiwa kumtangaza mkufunzi wake mpya katika mkutano na wanahabari siku ya jumanne kufuatia kujiuzulu kwa Scolari.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOGlnOwPxepXXnzqaIvetXU*7EjLaq2nLxmFFZeqEm1EhnygeXc7eJXJCj5niqIiw4bKMO2CBaZCucDxhh3zpI2YdUkwsd0e/scolari.jpg)
KOCHA WA BRAZIL FELIPE SCOLARI AACHIA NGAZI
Luiz Felipe Scolari. KOCHA wa timu ya Taifa Brazil, Luiz Felipe Scolari ametangaza rasmi kuachia nafasi ya ukocha katika kikosi hicho baada ya matokeo mabaya katika michuano ya Kombe la Dunia 2014. Scolari amelaumiwa kwa kushindwa kuiongoza Brazil iliyoambulia nafasi ya nne katika muchuano hiyo iliyoandaliwa nyumbani kwao huku ikishuhudia kombe likienda kwa Ujerumani. ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania