Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sunday Oliseh ndiye kocha mpya wa Nigeria

Nigeria imemchagua aliyekuwa mchezaji wa Nigeria Sunday Oliseh kama kocha mpya wa Nigeria.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Oliseh kuwa kocha wa Nigeria ?

Oliseh anafanya mazungumzo na shirikisho la soka la Nigeria NFF kwa nia ya kutangazwa kuwa kocha mpya wa timu ya taifa ya Nigeria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Sunday Oliseh kuinoa Super Eagles

Timu ya Taifa ya Nigeria Super Eagles imempa kibarua cha ukocha kiungo na nahodha wake wa zamani Sunday Oliseh

 

10 years ago

BBCSwahili

Pulis ndiye kocha mpya wa Westbromwich

Tony Pulis ndiye kocha mpya wa kilabu ya West Bromwich na atahudumu kwa kandarasi ya miaka miwili na nusu ,kilabu hiyo imetangaza.

 

10 years ago

Mtanzania

Sunday Oliseh atoka kapa kwa Mkwasa

Sunday-OlisehNA BADI MCHOLO, DAR ES SALAAM

KOCHA wa timu ya Taifa ‘Taifa Stars’, Charles Boniface Mkwasa, anawaumiza vichwa wapinzani wake, timu ya Nigeria ‘Super Eagles’ baada ya kupata ugumu wa kushindwa kuelewa falsafa ya kocha huyo mzawa, badala yake wamebaki kutumia muda mwingi kuangalia video za michezo ya zamani.

Kocha wa Nigeria, Sunday Oliseh, licha ya kuwa katika nafasi nzuri ya pili katika kundi G linaloundwa na timu za Misri, Chad na Taifa Stars, amekuwa akikesha kuangalia video za Stars na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Jenerali Buhari ndiye rais mpya wa Nigeria

Mgombea wa Upinzani nchini Nigeria, Muhammadu Buhari wa chama cha upinzani cha APC amemshinda Goodluck Jonathan katika uchaguzi uliokuwa na ushindani mkubwa

 

10 years ago

BBCSwahili

Muhammad Buhari ndiye rais mpya wa Nigeria

Goodluck amekiri kushindwa katika uchaguzi huo ulioshuhudia ushindani mkali

 

10 years ago

Dewji Blog

HABARI ZILIZOTUFIKIA HIVI PUNDE: Muhammad Buhari ndiye rais mpya wa Nigeria

Buhari

Pichani ni Jenerali Muhammadu Buhari akiwa katika wakati wa kampeni muda mfupi kabla ya kupiga kura.

Kiongozi wa wa chama cha upinzani cha Nigeria jenerali Muhammadu Buhari ameshinda kura za urais na kumuondoa rais aliyeko Goodluck Jonathan mamlakani.

Tayari rais anayeondoka madarakani Goodluck Jonathan amekwisha mpigia simu mpinzani wake Jenerali Buhari na kumpongeza kwa ushindi huo wa kihistoria.

Hii ndiyo mara kwanza katika historia ya taifa hilo kwa rais wa nchi hiyo kung’olewa...

 

10 years ago

BBC

Oliseh appointed as Nigeria coach

Nigeria appoint former Super Eagles midfielder and captain Sunday Oliseh as their new coach.

 

10 years ago

Habarileo

Oliseh aahidi kuiimarisha Nigeria

KOCHA Mkuu wa timu ya taifa ya Nigeria, Super Eagles, amesema alikuwa na siku mbili tu za timu yake kufanya mazoezi pamoja, lakini ameridhishwa na jinsi wachezaji wake walivyocheza ingawa safu yake ya ushambuliaji ilikuwa butu, ambapo ameahidi kufanyia kazi makosa yaliyojitokeza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani