Oliseh kuwa kocha wa Nigeria ?
Oliseh anafanya mazungumzo na shirikisho la soka la Nigeria NFF kwa nia ya kutangazwa kuwa kocha mpya wa timu ya taifa ya Nigeria.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili15 Jul
Sunday Oliseh ndiye kocha mpya wa Nigeria
10 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/11AF6/production/_84283427_478937007.jpg)
Oliseh appointed as Nigeria coach
9 years ago
Habarileo07 Sep
Oliseh aahidi kuiimarisha Nigeria
KOCHA Mkuu wa timu ya taifa ya Nigeria, Super Eagles, amesema alikuwa na siku mbili tu za timu yake kufanya mazoezi pamoja, lakini ameridhishwa na jinsi wachezaji wake walivyocheza ingawa safu yake ya ushambuliaji ilikuwa butu, ambapo ameahidi kufanyia kazi makosa yaliyojitokeza.
10 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/846E/production/_84120933_oliseh.jpg)
Oliseh in talks to be Nigeria coach
9 years ago
MillardAyo05 Jan
Baada ya David Beckham kusikia kuwa Zidane ameteuliwa kuwa kocha wa Real Madrid, haya ndio aliyoandika …
Baada ya kuwepo na tetesi za muda mrefu kuhusu uongozi wa klabu ya Real Madrid kutoridhishwa na mwenendo wa timu yao January 4, umetangaza rasmi kumfuta kazi aliyekuwa kocha wa klabu hiyo Rafael Benitez. Real Madrid walitangaza kumfuta kazi Benitez na Zidane kutajwa kurithi nafasi hiyo kwa muda hadi mwisho wa msimu. Kufuatia kuteuliwa kwa Zidane […]
The post Baada ya David Beckham kusikia kuwa Zidane ameteuliwa kuwa kocha wa Real Madrid, haya ndio aliyoandika … appeared first on...
11 years ago
Mwananchi13 May
Kocha Nigeria aichambua Ngorongoro
11 years ago
BBCSwahili17 Jun
Okocha amlaumu kocha wa Nigeria
9 years ago
BBCSwahili26 Nov
Drogba anataka kuwa kocha wa Chelsea
9 years ago
Bongo517 Dec
Eto’o ateuliwa kuwa kocha Uturuki
![eto](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/eto-300x194.jpg)
Mchezaji wa zamani wa Barcelona, Inter Milan na Chelsea Samuel Eto’o ameteuliwa kuwa kocha msaidizi wa klabu ya Antalyaspor ya Uturuki.
Eto’o atakuwa anasaidiana na mkufunzi wa timu ya vijana ambaye pia ni mkurugenzi wa ufundi Mehmet Ugurlu.
Atapewa kazi hiyo kwa mkataba wa muda mrefu iwapo klabu hiyo itafanya vyema kwenye mechi tatu kabla ya mapumziko mafupi ya majira ya baridi.
Eto’o alijiunga na timu ya Antalyaspor kama mchezaji huru Juni 25 kwa mkataba wa miaka mitatu na alicheza mechi...