Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kocha Nigeria aichambua Ngorongoro

>Kocha wa timu ya taifa ya vijana ya Nigeria chini ya Miaka 20, Manu Garba, amewachunguza wachezaji wa  timu ya taifa ya Tanzania ya umri huo (Ngorongoro) na kusema kuwa wana tatizo la kukosa nidhamu ya mchezo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kocha Al Ahly aichambua Yanga

Kocha Msaidizi wa Al Ahly, Ahmed Ayoub ameichambua Yanga kwa kusema ni timu bora katika kushambulia, lakini si nzuri kwenye safu ya ulinzi.

 

11 years ago

Mwananchi

Ngorongoro yaifuata Nigeria

>Timu ya taifa ya vijana ya Tanzania U-20, Ngorongoro Heroes imefuzu kucheza raundi ya pili ya kusaka kucheza fainali za Mataifa ya Afrika kwa vijana baada ya kuichapa Kenya kwa penalti 4-3 jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakongo kuamua Ngorongoro Heroes vs Nigeria

SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF), limewateua waamuzi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), kuchezesha mechi namba 19 ya kufuzu fainali za vijana, kati ya Tanzania ‘Ngorongoro Heroes’ na Nigeria,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nigeria yatua kuivaa Ngorongoro Heroes

TIMU ya soka ya Nigeria ‘Flying Eagles’ imewasili nchini kwa ajili ya mechi ya michuano ya Afrika kwa vijana wenye miaka chini ya 20 dhidi ya Tanzania ‘Ngorongoro Heroes’ itakayopigwa...

 

5 years ago

Michuzi

UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO NDANI YA HIFADHI YA ENEO LA NGORONGORO SASA WAHAMISHIWA HALMASHAURI YA WILAYA YA NGORONGORO

MKUTANO wa siku tatu uliokuwa unafanyika kati ya Wizara ya Maliasili na Utalii na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro umemalizika leo Machi 26 mwaka huu wa 2020 kwa mafanikio makubwa.

Taarifa iliyotolewa leo kwa vyombo vya habari imeeleza mkutano huo wa siku tatu ulikuwa ukiongozwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Dk.Hamis Kigwangala na moja ya majadiliano yalikuwa ni kuangalia utaratibu wa Usimamizi wa fedha zinazotolewa na Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro kwa ajili ya Baraza la...

 

10 years ago

BBCSwahili

Oliseh kuwa kocha wa Nigeria ?

Oliseh anafanya mazungumzo na shirikisho la soka la Nigeria NFF kwa nia ya kutangazwa kuwa kocha mpya wa timu ya taifa ya Nigeria.

 

11 years ago

BBCSwahili

Okocha amlaumu kocha wa Nigeria

Nahodha wa zamani wa Nigeria Jay-Jay Okocha amlaumu kocha Keshi kwa mchezo mbaya

 

9 years ago

Mtanzania

Kocha Nigeria afurahia sare na Stars

Pg 32*Akiri mambo yalikua magumu upande wao

*Mkwasa asema timu yake imekosa uzoefu tu

NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM

KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Nigeria ‘Super Eagles’, Sunday Oliseh, amefurahia matokeo ya suluhu katika mchezo wa kuwania kufuzu kwa fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) dhidi ya Taifa Stars ya Tanzania, akieleza wazi kuwa maji yalikua shingoni kwa upande wao.

Stars na Nigeria ambazo zimepangwa kundi G kwenye michuano hiyo, juzi zilitoshana nguvu na kuambulia pointi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Sunday Oliseh ndiye kocha mpya wa Nigeria

Nigeria imemchagua aliyekuwa mchezaji wa Nigeria Sunday Oliseh kama kocha mpya wa Nigeria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani