Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nigeria yatua kuivaa Ngorongoro Heroes

TIMU ya soka ya Nigeria ‘Flying Eagles’ imewasili nchini kwa ajili ya mechi ya michuano ya Afrika kwa vijana wenye miaka chini ya 20 dhidi ya Tanzania ‘Ngorongoro Heroes’ itakayopigwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Ngorongoro Heroes kuivaa Kenya leo

Timu ya soka ya vijana chini ya miaka 20 ‘Ngorongoro Heroes’, inajitupa uwanjani leo kuumana na Kenya katika mchezo wa marudiano wa kufuzu kwa Fainali za Afrika kwa vijana.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakongo kuamua Ngorongoro Heroes vs Nigeria

SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF), limewateua waamuzi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), kuchezesha mechi namba 19 ya kufuzu fainali za vijana, kati ya Tanzania ‘Ngorongoro Heroes’ na Nigeria,...

 

11 years ago

Mwananchi

Ngorongoro Heroes dimbani

Timu ya Taifa ya Vijana chini ya miaka 20 ‘Ngorongoro Heroes’, inashuka dimbani leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kumenyana na Nigeria ‘Flying Eagles’ katika mchezo wa kuwania kufuzu kucheza fainali za Afrika kwa vijana mwakani nchini Senegal.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ngorongoro Heroes waahidi ushindi

NAHODHA wa timu ya taifa ya vijana chini ya miaka 20 ‘Ngorongoro Heroes’, Aishi Manula, amesema wamejipanga kwa ajili ya kupata ushindi kwenye mechi dhidi ya Kenya itakayochezwa mji wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ngorongoro Heroes yajiweka pabaya

TIMU ya taifa ya soka ya vijana wa chini ya miaka 20, Ngorongoro Heroes, jana walianza vibaya kampeni ya kuwania kufuzu kwa Fainali za Afrika kwa umri huo baada ya...

 

11 years ago

Michuzi

NGORONGORO HEROES YAIFUNGA KENYA KWA PENALT 4-3

 Mshambuliaji wa Ngorongoro Heroes, Ally Bilali (kushoto), akimtoka beki wa Kenya, Geofrey Shivekwa katika mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam, wa kuwania kufuzu fainali za Afrika kwa vijana zitakazofanyika Senegal mwakani.Ngorongoro Heroes ilishinda kwa penalti 4-3.  Mshambuliaji wa Ngorongoro Heroes, Ally Bilali (kulia), akichuana na  beki wa Kenya, Geofrey Shivekwa katika mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam, wa kuwania kufuzu fainali za Afrika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani