Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Okocha amlaumu kocha wa Nigeria

Nahodha wa zamani wa Nigeria Jay-Jay Okocha amlaumu kocha Keshi kwa mchezo mbaya

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBC

Okocha criticises Nigeria coach Keshi

Ex-Nigeria captain Jay-Jay Okocha says coach Stephen Keshi is responsible for the team's struggles against Iran at the World Cup.

 

10 years ago

BBCSwahili

Oliseh kuwa kocha wa Nigeria ?

Oliseh anafanya mazungumzo na shirikisho la soka la Nigeria NFF kwa nia ya kutangazwa kuwa kocha mpya wa timu ya taifa ya Nigeria.

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha Nigeria aichambua Ngorongoro

>Kocha wa timu ya taifa ya vijana ya Nigeria chini ya Miaka 20, Manu Garba, amewachunguza wachezaji wa  timu ya taifa ya Tanzania ya umri huo (Ngorongoro) na kusema kuwa wana tatizo la kukosa nidhamu ya mchezo.

 

9 years ago

Mtanzania

Kocha Nigeria afurahia sare na Stars

Pg 32*Akiri mambo yalikua magumu upande wao

*Mkwasa asema timu yake imekosa uzoefu tu

NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM

KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Nigeria ‘Super Eagles’, Sunday Oliseh, amefurahia matokeo ya suluhu katika mchezo wa kuwania kufuzu kwa fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) dhidi ya Taifa Stars ya Tanzania, akieleza wazi kuwa maji yalikua shingoni kwa upande wao.

Stars na Nigeria ambazo zimepangwa kundi G kwenye michuano hiyo, juzi zilitoshana nguvu na kuambulia pointi...

 

10 years ago

BBC

Okocha wants end to coaching saga

Former Nigeria captain Jay-Jay Okocha urges the country's football authority to resolve the team's managerial vacancy.

 

10 years ago

BBCSwahili

Sunday Oliseh ndiye kocha mpya wa Nigeria

Nigeria imemchagua aliyekuwa mchezaji wa Nigeria Sunday Oliseh kama kocha mpya wa Nigeria.

 

11 years ago

BBC

Keshi hits back at Okocha comments

Nigeria coach Stephen Keshi is unhappy with former Super Eagles captain Jay-Jay Okocha's criticism of his World Cup tactics.

 

11 years ago

Mwananchi

Brazil 2014: Kocha wa Nigeria awajia juu mashabiki

Kocha Stephen Keshi amewapuuza mashabiki wa soka nchini Nigeria baada ya timu yake kucheza moja ya mechi mbaya za Kombe la Dunia nchini Brazil mapema wiki hii.

 

10 years ago

Vijimambo

KOCHA WA YANGA AGOMA KUMPA MKONO KOCHA MWENZIE

Kocha simba akimpa mkono kocha wa YangaHans ameshindwa kupeana mkono wa pongezi na kocha mwenzake kutokana na kikosi chake kukubali kupokea kichapo kutoka kwa wekundu wa msimbazi lakini katika hali ya kawaida mchezo ukimalizika makocha upeana mkono kama ishara ya kukubali matokeo (fair play) na kocha msaidizi wa yanga Boniface Mkwasa ametoa mkono huku akiwa ameangalia pembeni.Goran akimwambia basi samahani kwa kukufunga wewe nipe mkono tuBaada ya mchezo kocha aliwashukuru wachezaji wake kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani