Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Brazil kumtangaza kocha mpya jumanne

Brazil inatarajiwa kumtangaza mkufunzi wake mpya katika mkutano na wanahabari siku ya jumanne kufuatia kujiuzulu kwa Scolari.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

BRAZIL KUMTANGAZA KOCHA MPYA

Luiz Felipe Scolari. BRAZIL inatarajia kumtangaza kocha wake mpya katika mkutano na wanahabari Julai 22 mwaka huu kufuatia kujiuzulu kwa kocha wa timu hiyo, Luiz Felipe Scolari. Scolari mwenye umri wa miaka 65 aliiongoza Brazil katika Kombe la Dunia ambapo timu hiyo ilipata kichapo kibaya cha mabao 7-1 dhidi ya mabingwa wa kombe hilo Ujerumani. Aliyekuwa kocha wa timu hiyo ambaye aliiongoza kati ya mwaka 2006 na 2011 huenda...

 

11 years ago

Mwananchi

Brazil 2014: Capello ndiye kocha anayelipwa mshahara mnono zaidi Brazil

Rio de Janeiro. Fainali za Kombe la Dunia zinafunguliwa leo nchini Brazil huku macho na masikio yakielekezwa kwa nyota 736 kutoka timu 32 zinazoshiriki ili kuona ni kitu gani watafanya.

 

11 years ago

Michuzi

brazil yaipiga columbia 2-1 kuingia nusu fainali, kupambana na Ujerumani Jumanne

Ngoma imeisha katika uwanja wa Fortazleza na wenyeji Brazil wamepita robo fainali tayari kupambana na Ujerumani siku ya Jumanne. Thiago Silva alifungua njia kwa bao la kwanza nadni ya dakika 10 za mwanzo kabla ya David Luiz kupiga mpira mkali wa adhabu kuiweka Brazil katika mkao wa kula. Mshambuliaji hatari wa Columbia James Rodriguez aliweka bao la kupunguza maumivu kwa njia ya penati baada ya kipa wa Brazil Julio Cezar kumfanyia madhambi Bacca wa Columbia ndani ya boxi.


Hivyo ngoma imeisha...

 

11 years ago

BBCSwahili

Dunga ndiye kocha wa Brazil

Dunga ndiye kocha mpya wa Brazil

 

11 years ago

GPL

Yanga yafuata kocha Brazil

Aliekuwa kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm. Na Ezekiel Kitula
MAKOCHA kutoka nchi mbili za Brazil na Uholanzi ndiyo wenye nafasi ya kuifundisha Yanga msimu ujao.
Habari za uhakika kutoka Yanga zinaeleza, Yanga inataka kupata kocha Mholanzi ili kuendeleza utamaduni wa Kiholanzi baada ya kufundishwa na Ernie Brandts na Hans van der Pluijm. Lakini kama mambo hayataenda vizuri itaangalia nchi nyingine na Brazil ndiyo...

 

11 years ago

GPL

KOCHA WA BRAZIL FELIPE SCOLARI AACHIA NGAZI

Luiz Felipe Scolari. KOCHA wa timu ya Taifa Brazil, Luiz Felipe Scolari ametangaza rasmi kuachia nafasi ya ukocha katika kikosi hicho baada ya matokeo mabaya katika michuano ya Kombe la Dunia 2014. Scolari amelaumiwa kwa kushindwa kuiongoza Brazil iliyoambulia nafasi ya nne katika muchuano hiyo iliyoandaliwa nyumbani kwao huku ikishuhudia kombe likienda kwa Ujerumani. ...

 

11 years ago

Mwananchi

Brazil 2014: Kocha wa Nigeria awajia juu mashabiki

Kocha Stephen Keshi amewapuuza mashabiki wa soka nchini Nigeria baada ya timu yake kucheza moja ya mechi mbaya za Kombe la Dunia nchini Brazil mapema wiki hii.

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Kocha Marekani asifia uwezo wachezaji wake

Kocha wa timu ya taifa ya Marekani, Jurgen Klinsmann amekipongeza kikosi chake licha ya kutolewa katika hatua ya mtoano ya timu 16 za Kombe la Dunia dhidi ya Ubelgiji, akisema wana nafasi ya kufanya makubwa katika siku zijazo.

 

11 years ago

CloudsFM

KOCHA WA ITALIA AJIUZULU DAABA YA TIMU YAKE KUTUPWA NJE BRAZIL #Brazuka

uda mchache baada ya timu yake kuondolewa rasmi kwenye michuano ya kombe la dunia kwa kushindwa kufanya vyema katika mechi za makundi kwa mara ya pili mfululizo katika kombe la dunia, kocha Cesar Prandelli amefanya maamuzi magumu.Italia iliondolewa baada ya kufungwa kwa goli 1-0 na Uruguay katika mechi ya mwisho ya makundi.Baada ya mchezo Prandelli akiwa kwenye mkutano wa waandishi wa habari alitangaza kujiuzulu kuifundisha timu hiyo.“Nilichagua mfumo fulani wa ukufunzi na ndio sababu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani