Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bodi ya Chelsea yakutana kujadili hatma ya Mourinho, baadhi ya makocha watajwa kuchukua mikoba yake, listi ipo hapa

Chelsea_manager_Jose_Mourinho_has_been_under_pressure_lately_aft-a-46_1445718274698 (1)

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Bodi ya Chelsea ikiongozwa na mmiliki wa klabu hiyo, Roman Abramovich imekutana jana jumatano kujadili kuhusu hatma ya kocha wa timu hiyo, Jose Mourinho (pichani) baada ya klabu hiyo kuendelea kupata matokeo mabaya ambayo hayawaridhishi viongozi na mashabiki wa timu hiyo.

Taarifa zinasema kuwa bodi hiyo ilikutana katika kikao kilichofanyika kwa masaa tisa kujadili hatma ya kocha wa timu yao licha ya mmiliki klabu kuonyesha hali ya kutamani kuendelea kufanya kazi na...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Guus Hiddink achukua mikoba ya Mourinho Chelsea

Football - Tottenham Hotspur v Chelsea Barclays Premier League - White Hart Lane - 21/3/09 Chelsea manager Guus Hiddink Mandatory Credit: Action Images / John Sibley Livepic NO ONLINE/INTERNET USE WITHOUT A LICENCE FROM THE FOOTBALL DATA CO LTD. FOR LICENCE ENQUIRIES PLEASE TELEPHONE +44 (0) 207 864 9000.

Kocha mpya wa Chelsea, Guus Hiddink.

Aliyekuwa Kocha wa Timu ya Taifa ya Uholanzi, Guus Hiddink ameteuliwa kuwa kaimu meneja wa Chelsea hadi mwisho wa msimu huu.

Hiddink ameteuliwa baada ya Jose Mourinho kutimuliwa Alhamisi iliyopita.

“Nimefurahia kurejea Stamford Bridge. Chelsea ni moja ya klabu kubwa duniani lakini haipo pale inakofaa kuwa kwa sasa. Hata hivyo nina uhakika tunaweza kubadilisha mambo,” amesema Hiddink baada ya kuteuliwa.

“Nasubiri kwa hamu kufanya kazi na wachezaji na...

 

9 years ago

Bongo5

Roman Abramovich kuamua hatma ya Jose Mourinho Chelsea leo

Mmiliki wa klabu ya Chelsea, Roman Abramovich atalazimika kumlipa Jose Mourinho zaidi ya pauni milioni 40 kama atamfukuza kazi ya kuwa kocha wa Chelsea kwenye kikao cha dharura siku ya Jumatano.

Roman-Abramovich

Abramovich alikuwa na mazungumzo na timu ya makocha – Bruce Buck, Marina Granovskaia, Eugene Tenenbum na Michael Emenalo – kuhusu mustakabali wa Mourinho.

Wakati Mreno huyo aliporejea klabuni hapo mwaka 2013, bodi ilimpigia kura 3-2 kumpendekeza yeye. Leo litakuwa suala jingine.

2F6063C200000578-0-Roman_Abramovich_will_be_forced_to_pay_Jose_Mourinho_more_than_4-a-2_1450213633301

Mourinho anayelipwa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Bodi ya Chelsea yamjadili Mourinho

Mmiliki wa klabu ya Chelsea Roman Abramovich amekutana na bodi ya klabu hiyo kujadili hatima ya meneja wa klabu hiyo Jose Mourinho.

 

10 years ago

Michuzi

Bodi ya Filamu yakutana na Viongozi wa Kampuni ya Steps kujadili Maendeleo ya Tansia ya Filamu Nchini.

 Vijana,Utamaduni na Michezo  Bw.Patrick Kipangula  (kulia) wakati wa kikao cha kujadili maendeleo ya tansia ya filamu na wadau kutoka Kampuni ya Steps Entertainment kushoto ni Kaimu Mwenyekiti wa Bodi ya Filamu Bw.Sylvester Sengerema. Mkurugenzi wa Kampuni ya Steps Entertainment Bw.Delish Solanki (kushoto) akizungumza na viongozi wa Bodi ya Filamu (hawapo katika picha) katika kikao cha kujadili maendeleo ya tansia ya filamu nchini Bw.Claude Nyalaba (kulia) na Bw.Carles Johns (katikati)...

 

9 years ago

MillardAyo

Louis van Gaal anaondoka Man United? imenifikia list ya makocha wanaotajwa kuchukua nafasi yake …

Headlines za makocha mbalimbali wa Ligi Kuu Uingereza kufukuzwa zinaendelea kushika kasi ambapo hivi karibuni ulimwengu ulishuhudia Kocha wa Swansea City Garry Monk akifukuzwa na Jose Mourinho akifukuzwa kuifundisha Chelsea. Stori za mitandaoni za hivi karibuni ni zile zinazomzungumzia Kocha wa Manchester United Louis van Gaal na hatma yake ndani ya klabu hiyo baada ya timu yake kuendelea […]

The post Louis van Gaal anaondoka Man United? imenifikia list ya makocha wanaotajwa kuchukua nafasi...

 

9 years ago

Dewji Blog

Hii ndiyo listi ya makocha 10 ambao wametumia pesa nyingi kufanya usajili tangu mwaka 2006

mourinhofivenormal-600x300

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Katika soka ili kupata kilicho bora unahitaji kufanya usajili licha ya kuwapo kwa makocha wachache ambao wamekuwa hawasajili sana na badili yake wamekuwa wakitumia wachezaji vijana ambao wanakuwa wakitokea katika vituo vya kukuzia vipaji [akademi] za klabu husika, kuchukua wachezaji ambao wapo huru au kununua wachezaji kwa gharama nafuu.

Modewjiblog imekuandalia listi ya makocha 10 ambao wametumia pesa nyingi kufanya usajili kwa kipindi miaka 10 iliyopita kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mjerumani kuchukua mikoba ya Kim Stars

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), linatarajia kumwajiri kocha mpya, Michael Krüger, raia wa Ujerumani, kurithi nafasi ya kocha mkuu wa timu ya soka ya taifa, Taifa Stars, Mdenish Kim Poulsen,...

 

10 years ago

Dewji Blog

Hatma ya CCM ipo mikononi mwa vijana

-Shirikisho lina Wajumbe 683

-Wanachama 31,000

-Vijana wafurahi kupiga picha pamoja na Nape

 Wanafunzi kutoka vyuo vya elimu ya juu nchini wakifurahi kupiga picha na Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nnauye.

 Kila mwanafunzi alipenda apate ukumbushokwa kupiga picha na na Katibu wa NEC Npe Nnauye.

 Wajumbe kutoka mikoa mbali mbali wakiimba na kucheza nyimbo za hamasa.

 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza meza kuu kuimba wakati wa kufungua kwa mkutano wa Shirikisho la...

 

9 years ago

Vijimambo

AUDIO : LEMBELI AELEZA HATMA YAKE BAADA YA KUUKOSA UBUNGE, AJIBU TETESI JUU YAKE IKIWEMO YA KUUZA REDIO YAKE


Aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo la Kahama Mjini, James Lembeli ameelezea kinachoendelea katika maisha yake ya kisiasa hasa baada ya kushindwa katika uchaguzi wa mwaka huu akiwa ndani ya chama chake kipya cha Chadema.
Akiongea katika taarifa rasmi kwa wananchi wa jimbo hilo, Lembeli amesema kuwa hivi sasa atajikita zaidi katika shughuli za chama chake pamoja na shughuli alizokuwa akizifanya kabla ya kuwa mbunge wa jimbo hilo.
Alisema kuwa ataendelea kufanya kazi zake na mashirika ya kimataifa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani