Bodi ya Chelsea yamjadili Mourinho
Mmiliki wa klabu ya Chelsea Roman Abramovich amekutana na bodi ya klabu hiyo kujadili hatima ya meneja wa klabu hiyo Jose Mourinho.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog17 Dec
Bodi ya Chelsea yakutana kujadili hatma ya Mourinho, baadhi ya makocha watajwa kuchukua mikoba yake, listi ipo hapa
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Bodi ya Chelsea ikiongozwa na mmiliki wa klabu hiyo, Roman Abramovich imekutana jana jumatano kujadili kuhusu hatma ya kocha wa timu hiyo, Jose Mourinho (pichani) baada ya klabu hiyo kuendelea kupata matokeo mabaya ambayo hayawaridhishi viongozi na mashabiki wa timu hiyo.
Taarifa zinasema kuwa bodi hiyo ilikutana katika kikao kilichofanyika kwa masaa tisa kujadili hatma ya kocha wa timu yao licha ya mmiliki klabu kuonyesha hali ya kutamani kuendelea kufanya kazi na...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_nNZhZt4Grw/Uw2Tay4LlWI/AAAAAAAFPnE/WpnWqGiWTmw/s72-c/unnamed+(39).jpg)
NEW YORK YAMJADILI TENA TEMBO, CHELSEA CLINTON AONGOZA MAJADILIANO, TANZANIA YASHIRIKI
![](http://3.bp.blogspot.com/-_nNZhZt4Grw/Uw2Tay4LlWI/AAAAAAAFPnE/WpnWqGiWTmw/s1600/unnamed+(39).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ih6xtiuVBpU/Uw2TdOzMy0I/AAAAAAAFPnM/31WQWT198VI/s1600/unnamed+(40).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-P961ugjz7vY/Uw2TdK3Du8I/AAAAAAAFPnQ/NihWBBURqq8/s1600/unnamed+(41).jpg)
9 years ago
Mwananchi18 Dec
Mourinho atimuliwa Chelsea
9 years ago
Mtanzania18 Dec
Mourinho atupiwa virago Chelsea
LONDON England
CHELSEA hatimaye imefikia uamuzi mgumu kabisa wa kumtimua kocha wao kipenzi, Jose Mourinho ikiwa ni miezi saba tu tangu kocha huyo aimbiwe wimbo wa kishujaa baada ya kuiwezesha timu hiyo kutwaa ubingwa wa England.
Uamuzi wa Bodi ya Chelsea umetangazwa jana jioni na umeelezwa kuchangiwa na matokeo mabaya ya timu hiyo katika Ligi Kuu ya England (EPL) msimu huu, ambapo timu hiyo inashika nafasi ya 16 ikiwa na pointi 15 kutokana na michezo 16 iliyocheza.
Kufungwa na vinara wa ligi...
9 years ago
Mtanzania21 Dec
Mashabiki Chelsea wamlilia Mourinho
LONDON, ENGLAND
MASHABIKI wa Chelsea wameshindwa kuzuia hisia zao juzi katika mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Sunderland ambapo klabu yao ilishinda mabao 3-1, lakini walionekana wakiwa na mabango ambayo yanaonesha bado wanamuhitaji.
Kocha huyo amefukuzwa na klabu hiyo mwishoni mwa wiki iliyopita, lakini katika mchezo wa juzi mashabiki waliojitokeza kwenye Uwanja wa Stamford Bridge, walionekana wakiimba nyimbo za kumsapoti Mourinho.
Kuna baadhi ya mashabiki ambao walionekana wakiwa na mabango...
11 years ago
BBCSwahili25 Jul
Mourinho : Drogba ni Chelsea damu.
9 years ago
BBCSwahili09 Dec
Mourinho na Abramovich kuijenga Chelsea.
9 years ago
BBCSwahili05 Nov
Chelsea wampunguzia presha Mourinho
9 years ago
BBCSwahili17 Dec
Jose Mourinho afutwa kazi Chelsea