Mourinho na Abramovich kuijenga Chelsea.
Meneja wa Chelsea Jose Mourinho amesema Roman Abramovich yuko pamoja nae licha ya Msimu mbovu wa Mabingwa hao wa England.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo516 Dec
Roman Abramovich kuamua hatma ya Jose Mourinho Chelsea leo
Mmiliki wa klabu ya Chelsea, Roman Abramovich atalazimika kumlipa Jose Mourinho zaidi ya pauni milioni 40 kama atamfukuza kazi ya kuwa kocha wa Chelsea kwenye kikao cha dharura siku ya Jumatano.
Abramovich alikuwa na mazungumzo na timu ya makocha – Bruce Buck, Marina Granovskaia, Eugene Tenenbum na Michael Emenalo – kuhusu mustakabali wa Mourinho.
Wakati Mreno huyo aliporejea klabuni hapo mwaka 2013, bodi ilimpigia kura 3-2 kumpendekeza yeye. Leo litakuwa suala jingine.
Mourinho anayelipwa...
9 years ago
Dewji Blog10 Nov
Mourinho amuomba Abramovich ampe muda zaidi kurudisha makali ya Chelsea
Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho.
Na Rabbi Hume
Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho amemuomba mmiliki wa Chelsea, Roman Abramovich muda zaidi wa kukijenga kikosi chake kufuatia kuanza msimu wa 2015/2016 vibaya.
Taarifa zinasema Mourinho amefikia uamuzi wa kumuomba muda tajiri huyo kutokana na matokeo anayopata na anachohitaji ni muda ili asubiri dirisha la usajiri la January.
Taarifa hizo zinasema Mourinho anataka kufanya usajili kwa kutoa wachezaji ambao anaona hawana uwezo wa kucheza kwenye...
9 years ago
Bongo509 Dec
Mourinho: Abramovich yupo pamoja na mimi
Kocha wa Mabingwa watetezi wa ligi ya England Chelsea Jose Mourinho amesema mmiliki wa klabu hiyo Roman Abramovich yuko pamoja nae licha ya msimu mbovu wa mabingwa hao wa England.
Hadi sasa Chelsea wapo nafasi ya 14 kwenye Ligi Kuu England baada ya kupoteza Mechi 8 za Ligi kati ya 15. Leo Jumatano Desemba 9 wanacheza Mechi ya mwisho ya Kundi lao na FC Porto wakihitaji Sare tu au ushindi ili kusongambele.
Akiongea kuhusu kuelekea Mechi ya UCL, Mourinho, alipoulizwa kama atabakishwa kama...
9 years ago
Mwananchi20 Dec
Abramovich atoa onyo kali kwa nyota Chelsea
9 years ago
Mwananchi18 Dec
Mourinho atimuliwa Chelsea
9 years ago
BBCSwahili17 Dec
Bodi ya Chelsea yamjadili Mourinho
9 years ago
Mtanzania21 Dec
Mashabiki Chelsea wamlilia Mourinho
LONDON, ENGLAND
MASHABIKI wa Chelsea wameshindwa kuzuia hisia zao juzi katika mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Sunderland ambapo klabu yao ilishinda mabao 3-1, lakini walionekana wakiwa na mabango ambayo yanaonesha bado wanamuhitaji.
Kocha huyo amefukuzwa na klabu hiyo mwishoni mwa wiki iliyopita, lakini katika mchezo wa juzi mashabiki waliojitokeza kwenye Uwanja wa Stamford Bridge, walionekana wakiimba nyimbo za kumsapoti Mourinho.
Kuna baadhi ya mashabiki ambao walionekana wakiwa na mabango...
11 years ago
BBCSwahili25 Jul
Mourinho : Drogba ni Chelsea damu.
9 years ago
Mtanzania18 Dec
Mourinho atupiwa virago Chelsea
LONDON England
CHELSEA hatimaye imefikia uamuzi mgumu kabisa wa kumtimua kocha wao kipenzi, Jose Mourinho ikiwa ni miezi saba tu tangu kocha huyo aimbiwe wimbo wa kishujaa baada ya kuiwezesha timu hiyo kutwaa ubingwa wa England.
Uamuzi wa Bodi ya Chelsea umetangazwa jana jioni na umeelezwa kuchangiwa na matokeo mabaya ya timu hiyo katika Ligi Kuu ya England (EPL) msimu huu, ambapo timu hiyo inashika nafasi ya 16 ikiwa na pointi 15 kutokana na michezo 16 iliyocheza.
Kufungwa na vinara wa ligi...