Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Guus Hiddink achukua mikoba ya Mourinho Chelsea

Football - Tottenham Hotspur v Chelsea Barclays Premier League - White Hart Lane - 21/3/09 Chelsea manager Guus Hiddink Mandatory Credit: Action Images / John Sibley Livepic NO ONLINE/INTERNET USE WITHOUT A LICENCE FROM THE FOOTBALL DATA CO LTD. FOR LICENCE ENQUIRIES PLEASE TELEPHONE +44 (0) 207 864 9000.

Kocha mpya wa Chelsea, Guus Hiddink.

Aliyekuwa Kocha wa Timu ya Taifa ya Uholanzi, Guus Hiddink ameteuliwa kuwa kaimu meneja wa Chelsea hadi mwisho wa msimu huu.

Hiddink ameteuliwa baada ya Jose Mourinho kutimuliwa Alhamisi iliyopita.

“Nimefurahia kurejea Stamford Bridge. Chelsea ni moja ya klabu kubwa duniani lakini haipo pale inakofaa kuwa kwa sasa. Hata hivyo nina uhakika tunaweza kubadilisha mambo,” amesema Hiddink baada ya kuteuliwa.

“Nasubiri kwa hamu kufanya kazi na wachezaji na...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Africanjam.Com

JOSE MOURINHO SACKED AS CHELSEA MANAGER AND GUUS HIDDINK LINED UP TO REPLACE HIM

Jose Mourinho was sacked as Chelsea manager on Thursday afternoon after a dreadful run of results which has left his side stranded in 16th place in the Premier League table. Chelsea will now look to Guus Hiddink, as reported by Telegraph Sport on Wednesday, to replace the manager on a short-term basis.

The next permanent Chelsea manager will likely be appointed next summer, with candidates including Diego Simeone, Pep Guardiola and Carlo Ancelotti all in the frame. Mourinho's second reign in...

 

9 years ago

BBCSwahili

Guus Hiddink aanza mazungumzo na Chelsea

Kocha wa zamani wa timu ya taifa ya Uholanzi Guus Hiddink anakaribia kuteuliwa kaimu meneja wa Chelsea baada ya Jose Mourinho kufutwa kazi.

 

9 years ago

Bongo5

Guus Hiddink ateuliwa kuwa kocha mpya Chelsea

151219081747_guus_hiddink_file_512x288_pa_nocredit

Aliyekuwa meneja wa timu ya taifa ya Uholanzi Guus Hiddink ameteuliwa kuwa kocha mpya wa Chelsea hadi mwisho wa msimu.

151219081747_guus_hiddink_file_512x288_pa_nocredit

Ameteuliwa baada ya Jose Mourinho kufukuzwa kazi Alhamisi.

“Nimefurahia kurejea Stamford Bridge. Chelsea ni moja ya klabu kubwa duniani lakini haimo pale inakofaa kuwa kwa sasa. Hata hivyo nina uhakika tunaweza kubadilisha mambo,” amesema Hiddink baada ya kuteuliwa. “Nasubiri kwa hamu kufanya kazi na wachezaji na wakufunzi wenzangu wapya katika klabu hii kubwa na kufufua...

 

9 years ago

Dewji Blog

Hatimaye Chelsea yamtangaza Guus Hiddink kuwa meneja mpya wa timu hiyo

Guus-Hiddink

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Ikiwa zimepita siku tatu tangu uongozi wa klabu ya Chelsea kumtimua kazi aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Mreno Jose Mourinho hatimaye taarifa zimetoka ndani ya timu hiyo kuwa, Mholanzi Guus Hiddink (pichani) amekuwa meneja mpya wa klabu hiyo ya Uingereza.

Katika taarifa iliyotolewa na ukurasa wa klabu hiyo wa Twitter umeeleza kuwa Hiddink atakuwa meneja wa Chelsea mpaka mwisho wa msimu huu wa 2015/2016.

Hiddink hii siyo mara yake ya kwanza kuifundisha timu hiyo ya...

 

9 years ago

MillardAyo

Hii ni mipango mingine ya meneja wa Chelsea Guus Hiddink kwa klabu yake…

Pamoja na mabingwa watetezi wa ligi kuu ya England Chelsea kupoteza matumaini ya kutwaa ubingwa kwa mara nyingine lakini kocha wao mpya Guus Hiddink ana mipango mingine ya ushindi. Baada ya ushindi wa jana wa mabao 3-0 Hiddink amesema klabu yake hiyo inaweza kumaliza ligi hiyo ikiwa katika nafasi nne bora za juu mwishoni mwa […]

The post Hii ni mipango mingine ya meneja wa Chelsea Guus Hiddink kwa klabu yake… appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Dewji Blog

Bodi ya Chelsea yakutana kujadili hatma ya Mourinho, baadhi ya makocha watajwa kuchukua mikoba yake, listi ipo hapa

Chelsea_manager_Jose_Mourinho_has_been_under_pressure_lately_aft-a-46_1445718274698 (1)

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Bodi ya Chelsea ikiongozwa na mmiliki wa klabu hiyo, Roman Abramovich imekutana jana jumatano kujadili kuhusu hatma ya kocha wa timu hiyo, Jose Mourinho (pichani) baada ya klabu hiyo kuendelea kupata matokeo mabaya ambayo hayawaridhishi viongozi na mashabiki wa timu hiyo.

Taarifa zinasema kuwa bodi hiyo ilikutana katika kikao kilichofanyika kwa masaa tisa kujadili hatma ya kocha wa timu yao licha ya mmiliki klabu kuonyesha hali ya kutamani kuendelea kufanya kazi na...

 

9 years ago

Mwananchi

Ni siku ya Van Gaal, Guus Hiddink England

Ligi Kuu England inatarajiwa kuendelea leo kwa michezo 10 itakayohusisha timu zote 20 za ligi hiyo kubwa duniani.

 

9 years ago

Mwananchi

Ni vita ya Wadachi Van Gaal, Guus Hiddink leo

Ni mtihani mwingine kwa kocha wa Manchester United, Louis van Gaal leo dhidi ya Chelsea yenye rekodi nzuri ya kufanya vyema kwenye Uwanja wa Old Trafford.

 

11 years ago

GPL

GIGGS ACHUKUA MIKOBA YA MOYES

Kocha wa Man Utd, Ryan Giggs kwa sasa. Mchezaji wa siku nyingi wa Manchester United, Ryan Giggs, amekabidhiwa kwa muda mikoba ya David Moyes aliyetimuliwa kazi…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani