GIGGS ACHUKUA MIKOBA YA MOYES
![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
Kocha wa Man Utd, Ryan Giggs kwa sasa. Mchezaji wa siku nyingi wa Manchester United, Ryan Giggs, amekabidhiwa kwa muda mikoba ya David Moyes aliyetimuliwa kazi…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi17 Sep
Mnyika achukua mikoba ya Zitto
10 years ago
Mwananchi04 Jun
Mayanga achukua mikoba ya Makatta Prisons
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ea4x8ggFHeKgtJZx2mwfY6hwxRM2PpJGygZMiR1izExEhq-F3mG2RVmE8Yj7Bx*C0LcQehAVe-zdgWQtlDQQc2YBs9G-X-78/dunga.jpg?width=650)
DUNGA ACHUKUA MIKOBA YA SCOLARI KUINOA BRAZIL
9 years ago
Global Publishers20 Dec
Guus Hiddink achukua mikoba ya Mourinho Chelsea
Kocha mpya wa Chelsea, Guus Hiddink.
Aliyekuwa Kocha wa Timu ya Taifa ya Uholanzi, Guus Hiddink ameteuliwa kuwa kaimu meneja wa Chelsea hadi mwisho wa msimu huu.
Hiddink ameteuliwa baada ya Jose Mourinho kutimuliwa Alhamisi iliyopita.
“Nimefurahia kurejea Stamford Bridge. Chelsea ni moja ya klabu kubwa duniani lakini haipo pale inakofaa kuwa kwa sasa. Hata hivyo nina uhakika tunaweza kubadilisha mambo,” amesema Hiddink baada ya kuteuliwa.
“Nasubiri kwa hamu kufanya kazi na wachezaji na...
11 years ago
BBCSwahili25 Apr
Ryan Giggs azungumzia Man U
11 years ago
Mwananchi06 May
Giggs hatihati Man United
11 years ago
BBCSwahili10 May
Giggs asema hasikitishwi kamwe
11 years ago
BBCSwahili30 Jun
11 years ago
Dewji Blog08 May
Msife moyo Man U itarejea: Giggs
Kaimu kocha wa Manchester United Ryan Giggs amewarai mashabiki wa klabu hiyo maarufu kuwa wasife moyo ushindi utarejea Old Trafford katika siku za usoni.
Kigogo huyo wa Manchester United aliwaasa mashabiki punde baada ya kuingoza Manchester united kuilaza Hull city mabao 3-1 katika mechi yao ya mwisho ya nyumbani msimu huu wa ligi kuu ya premia ya Uingereza.
Hiyo ndiyo iliyokuwa mechi yake ya mwisho baada ya kushiriki mechi 963 akivalia jezi la Man united.
Kaimu kocha huyo mwnye umri wa...