Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Giggs ;Sikuwa tayari kuwa mkufunzi

Ryan Giggs amesema hakuwa tayari kuwa mkufunzi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

BASATA LAWATAKA WASANII KUWA TAYARI KUKOSOLEWA

Na Mwandishi Wetu 
 Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limetoa wito kwa wasanii kuacha tabia ya kulewa umaarufu na kuchukia pale wanapokosolewa kwani kazi yoyote ya Sanaa lazima ikosolewe ili iwe bora na yenye kuvutia. 
 Wito huo umetolewa mapema wiki hii na Katibu Mtendaji wa Baraza hilo Godfrey Lebejo Mngereza wakati akizungumza kwenye Jukwaa la Sanaa la BASATA linalofanyika kwa mwezi mara mbili siku ya Jumatatu kwenye Ukumbi wa Baraza hilo ulioko Ilala Sharif Shamba jijini Dar es...

 

10 years ago

CloudsFM

Niko tayari kuwa Baba wakambo wa Watoto wa Salima

Msanii wa muziki wa bongo fleva Sunday Mjeda maarufu kama Linex ambaye anatamba kwa sasa na wimbo wake mpya wa Salima leo amefunguka kupitia kipindi cha Clouds360 na kusema idea ya wimbo huo imetokana na salma ambaye alikuwa rafiki yake wakati anasoma Shule ya msingi na alikuwa msaada wake katika baadhi ya vitu vya shule Linex aliendelea kufunguka na kusema Anatamani siku moja aje kuwa Baba wa kambo wa watoto wa salima kwani anaona anampenda salima kiukweli japo Salima hataki ata kuongea...

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Burundi: Nkurunziza tayari kuwa 'mshauri wa ngazi ya juu'

Rais wa Burundi alifanya kila liwezekanalo kubakia mamlakani miaka mitano iliyopita lakini sasa anaondoka madarakani - walau rasmi.

 

5 years ago

Michuzi

JAJI MKUU- AWATAKA MAHAKIMU KUWA TAYARI KUSIKILIZA MASHAURI YA ARDHI

Na Magreth Kinabo- MahakamaJAJI Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Hamis Juma amewataka Mahakimu kuwa   na utayari wa kuanza kusikiliza mashauri yanayohusu ardhi ili kutatua changamoto na malalamiko yaliyojitokeza kwenye eneo hilo kupitia Mabaraza ya Ardhi hali iliyosababisha suala hilo kwenda Serikalini.
Akizungumza leo mara baada ya   kumuapisha Hakimu Mkazi, Mhe. Olivia Towilo ofisini kwake, iliyopo Mahakama ya Rufani Tanzania, Jijini Dar es Salaam. Jaji Mkuu alisema Mahakama imekuwa ikifanya...

 

11 years ago

Habarileo

Liyumba- Sikuwa na simu gerezani

ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Amatus Liyumba amekana kukutwa na simu gerezani na kudai amebambikiwa kesi hiyo ili aendelee kukaa gerezani.

 

11 years ago

GPL

LIYUMBA SIKUWA NA SIMU GEREZANI

Aliyekuwa Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Amatus Liyumba. ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Amatus Liyumba amekana kukutwa na simu gerezani na kudai amebambikiwa kesi hiyo ili aendelee kukaa gerezani. Liyumba anakabiliwa na kesi ya kukutwa na simu wakati alipokuwa gerezani, kutumikia kifungo chake cha miaka miwili baada ya kupatikana na hatia ya kosa la...

 

9 years ago

GPL

DK. SLAA: SIKUWA LIKIZO, NILIAMUA KUACHANA NA SIASA

DK. Wilbroad Slaa. KATIBU Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), DK. Wilbroad Slaa amesema hakuwa likizo ila aliamua kuachana na siasa baada ya kutokubaliana na maamuzi ya chama chake yaliyotokea Julai 28,2015 saa 3 usiku. Wanahabari wa Kampuni ya Global Publishers wakifuatilia hotuba ya DK. Slaa leo katika Hoteli ya Serena jijini Dar. -Asema lazima ajitokeze kusema na kuweka ukweli hadharani -Asema sina tabia ya...

 

9 years ago

Michuzi

CCM imethibitisha kuwa iko tayari endapo uchaguzi huo utapangwa tena na si vyenginevyo - Balozi Seif Ali Iddi

Makamu wa Pili wa  Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akitoa ufafanuzi juu ya taarifa za vyombo mbalimbali vya habariWanahabari  wanapaswa kuwa makini zaidi katika utoaji wa Habari zao hasa kipindi hichi ambacho  Zanzibar  inaendelea kutafuta  njia muwafaka ya hatma yake ya baadaye kufuatia Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar { ZEC } kufuta  Uchaguzi Mkuu wa Mwezi Oktoba mwaka huu baada ya kubaini hitilafu kadhaa katika zoezi zima la uchaguzi.Nasaha hizo zimetolewa na Makamu wa Pili wa  Rais wa...

 

5 years ago

Michuzi

BODI YA MIKOPO YATAKIWA KUWA TAYARI KUTOA MIKOPO KWA WANAFUNZI PINDI VYUO VITAKAPOFUNGULIWA

 Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof Joyce Ndalichako akizungumza na Menejimenti ya Bodi ya Mikopo ya wanafunzi wa elimu ya Juu (hawapo pichani)wakati alipofanya ziara Leo Jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya wanafunzi wa Elimu ya Juu Abdul-Razaq Badru akizungumza wakati  Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Joyce Ndalichako alipofanya ziara katika ofisi zao  zilizopo eneo la Tazara jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani