Liyumba- Sikuwa na simu gerezani
ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Amatus Liyumba amekana kukutwa na simu gerezani na kudai amebambikiwa kesi hiyo ili aendelee kukaa gerezani.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/saEvSFZMI0lZYSxCAaOa9n525Zhd-nFVvqPN51Z60-1AbdAo*xua3Yk4Pn3xAcr5OLx9VC8Q0Oi1hvJC3r4DmezSBt-OzlMJ/liyumba.jpg?width=650)
LIYUMBA SIKUWA NA SIMU GEREZANI
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Amatus Liyumba. ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Amatus Liyumba amekana kukutwa na simu gerezani na kudai amebambikiwa kesi hiyo ili aendelee kukaa gerezani. Liyumba anakabiliwa na kesi ya kukutwa na simu wakati alipokuwa gerezani, kutumikia kifungo chake cha miaka miwili baada ya kupatikana na hatia ya kosa la...
11 years ago
Habarileo17 Jan
Liyumba aachiwa huru kesi ya simu
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo imemuachia huru aliyekuwa Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala wa Benki Kuu (BoT), Amatus Liyumba baada ya kumuona hana hatia katika mashitaka yaliyokuwa yanamkabili.
11 years ago
Mwananchi17 Dec
Liyumba: Kesi ya kukutwa na simu nimebambikiwa
Mkurugenzi wa zamani wa Utawala na Utumishi (DPA), Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Amatus Liyumba anayekabiliwa na kesi ya kukutwa na simu gerezani, ameiomba mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imfutie shtaka hilo na kumuachia huru kwa madai kuwa kesi hiyo ilipangwa kwa ajili ya kumkomoa.
11 years ago
BBCSwahili30 Jun
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EDr-zswlq3O5-lzqgcZJlE4MAsSnrHZoUwi0zJ1231hB6YJv5Hfix5GpsSIY8JBNQJB61ZOSFNrg*PrVjRdxNZ8yX2C9okRZ/dk.slaa.jpg)
DK. SLAA: SIKUWA LIKIZO, NILIAMUA KUACHANA NA SIASA
DK. Wilbroad Slaa. KATIBU Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), DK. Wilbroad Slaa amesema hakuwa likizo ila aliamua kuachana na siasa baada ya kutokubaliana na maamuzi ya chama chake yaliyotokea Julai 28,2015 saa 3 usiku. Wanahabari wa Kampuni ya Global Publishers wakifuatilia hotuba ya DK. Slaa leo katika Hoteli ya Serena jijini Dar. -Asema lazima ajitokeze kusema na kuweka ukweli hadharani -Asema sina tabia ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MlukZF2i55KiH43HCyRhGra4kghQuB3fEtcvjfWnKxFRydC79l38GwLfTNi1JWs4jt3jSlE5vpmrGfijmp1B6S0o*tnE0TXy/13.gif)
LIYUMBA ASHINDA KESI
Amatus Liyumba. MKURUGENZI wa zamani wa Utawala na Utumishi (DPA) wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Amatus Liyumba ameshinda kesi ya kukutwa na simu gerezani iliyokuwa inamkabili hivi punde katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam. Liyumba ameshinda kesi hiyo baada ya upande wa Jamhuri na mchunguzi wa kesi hiyo kushindwa kuithibitishia mahakama kuhusu tuhuma hiyo. Hukumu hiyo imesomwa na Hakimu Mkazi,...
11 years ago
IPPmedia17 Jan
Court exonerates Liyumba
Daily News
IPPmedia
The Kisutu Resident Magistrate court yesterday acquitted former Bank of Tanzania (BOT) Personnel and Administration Director, Amatus Liyumba who was facing charges of possession of prohibited items while serving a jail sentence. Liyumba was acquitted ...
Liyumba beats 'mobile phone in prison' rapDaily News
all 3
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MlukZF2i55JLZgFMwKk1YMFt*VtJu2wkDrdpOQDomjjP1dJyYsIfn1I7gGwFVD9hpmnFE-q1uWNv0yVbdePWTBngEr-le8gR/liyumba.jpg?width=650)
HUKUMU YA LIYUMBA YAANZA KUSIKILIZWA
Amatus Liyumba. HUKUMU ya kesi ya kukutwa na simu gerezani inayomkabili Mkurugenzi wa zamani wa Utawala na Utumishi (DPA) wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Amatus Liyumba imeanza kusomwa muda huu katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam. Hukumu hiyo inasomwa na Hakimu Mkazi, Augustina Mmbando. Liyumba ameingia mahakamani hapo kwa siri… ...
11 years ago
Mwananchi17 Jan
Liyumba aibuka kidedea Dar
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemwachia huru Mkurugenzi wa zamani wa Utawala na Utumishi (DPA), Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Amatus Liyumba kutokana na upelelezi uliofanywa kuwa mbovu na wakili aliyekuwa akiiendesha kesi hiyo kuwa mzembe.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania