Mayanga achukua mikoba ya Makatta Prisons
Aliyekuwa kocha msaidizi wa Taifa Stars, Salum Mayanga amesaini mkataba wa kuifundisha Tanzania Prisons baada ya kocha aliyeiokoa timu kuteremka daraja, Mbwana Makata kujiunga na Kagera Sugar.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi17 Sep
Mnyika achukua mikoba ya Zitto
11 years ago
GPLGIGGS ACHUKUA MIKOBA YA MOYES
11 years ago
GPLDUNGA ACHUKUA MIKOBA YA SCOLARI KUINOA BRAZIL
9 years ago
Global Publishers20 Dec
Guus Hiddink achukua mikoba ya Mourinho Chelsea
Kocha mpya wa Chelsea, Guus Hiddink.
Aliyekuwa Kocha wa Timu ya Taifa ya Uholanzi, Guus Hiddink ameteuliwa kuwa kaimu meneja wa Chelsea hadi mwisho wa msimu huu.
Hiddink ameteuliwa baada ya Jose Mourinho kutimuliwa Alhamisi iliyopita.
“Nimefurahia kurejea Stamford Bridge. Chelsea ni moja ya klabu kubwa duniani lakini haipo pale inakofaa kuwa kwa sasa. Hata hivyo nina uhakika tunaweza kubadilisha mambo,” amesema Hiddink baada ya kuteuliwa.
“Nasubiri kwa hamu kufanya kazi na wachezaji na...
10 years ago
TheCitizen30 Apr
Msuva a weak link: Mayanga
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
Timu Ligi Kuu zimsikilize Mayanga
KOCHA Msadizi wa timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars, Salum Mayanga amezitaka timu zinazoshiriki Ligi Kuu Tanzania bara kutumia mji wa Tukuyu kama sehemu ya mazoezi ya kujiandaa na...
10 years ago
Habarileo03 Feb
JK akabidhi mikoba ya mazingira
RAIS Jakaya Kikwete amekabidhi Uratibu wa Kamati ya Wakuu wa Nchi na Serikali za Afrika Kuhusu Mazingira (CAHOSCC) kwa Rais wa Misri, Jenerali Abdel Fatteh El Sisi kwa kuwatahadharisha viongozi wenzake wa Afrika kuhusu athari za mabadiliko ya tabia nchi kwa sekta muhimu ya kilimo barani Afrika.
9 years ago
Mwananchi02 Dec
Pinda amkabidhi mikoba Majaliwa
9 years ago
Mwananchi08 Oct
Kimwaga akabidhiwa mikoba ya Kiiza