Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Giggs asema hasikitishwi kamwe

Kaimu mkufunzi wa timu ya Manchester United nchini Uingereza,Ryan Giggs amesema kuwa hasikitishwi na hatua ya kumtafuta kocha mpya

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Dilma Rousseff asema kamwe hatishiki

Rais wa Brazil amepinga uvumi kwamba serikali yake haitofanikiwa kukabiliana na mzozo uliopo sasa wa kisiasa na kiuchumi

 

10 years ago

BBCSwahili

Sijakosana na Van Gaal, asema Ryan Giggs

Naibu mkufunzi katika timu ya Manchester United Ryan Giggs amepinga madai ya mkwaruzano kati yake na mkufunzi wa kilabu hiyo

 

10 years ago

Michuzi

Lady Jaydee asema kamwe hatarajii kujiingiza katika siasa

 Mwanamuziki Judith Wambura 'Lady Jaydee' Lady Jaydee akisoma gazeti la Staa Spoti. Mhariri Msaidizi wa Gazeti la Jambo Leo, Frank Balile (kulia), akimuelekeza jambo Lady Jaydee wakati akimuonesha gazeti hilo.Mwanadada anayefanya vizuri katika muziki wa kizazi kipya nchini, Judith Wambura 'Lady Jaydee' akiwa na baadhi ya wafanyakazi wa gazeti la Jambo Leo, alipotembelea chumba cha habari Dar es Salaam.
Na Dotto MwaibaleMWANADADA anayefanya vizuri katika muziki wa kizazi kipya nchini, Judith...

 

10 years ago

Michuzi

MUSTAFA PANJU AJINADI KWA WANANCHI WA JIMBO LA ARUSHA ASEMA AKIPATA UBUNGE HAWATAJUTIA KAMWE

SAM_3941Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Bushbucks Safaris iliyopo jijini Arusha Mustafa Panju ambaye ni mmoja wa wagombea wa jimbo la Arusha mjini kupitia chama cha mapinduzi CCM akiongea katika mkutano wa hadhara katika kata mpya ya Olmoti jana ambapo wagombea 12 walipata fursa ya kujitambulisha kwa wananchi na kunadi sera zao, Mustapha panju amesema kuwa kilicho msukuma kugombea nafasi hiyo ni kuakikisha wananchi wa jimbo la arusha wanapata ridhaa ya kuwa na maendeleo ya hali ya juu...

 

11 years ago

GPL

DIAMOND: SITAOA KAMWE

Na Shakoor Jongo
Kutoka moyoni? Wakati bimkubwa Wema Isaac Sepetu akijiaminisha na kuhisi kuwa amepata mume ambaye ni baba bora, mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ amefunguka kuwa kamwe hafikirii kuoa, Ijumaa lina cha kukuhabarisha. Wema Isaac Sepetu akiwa kwenye pozi la kimahaba na mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ Kauli hiyo ya Diamond inakuja wiki kadhaa baada ya Wema...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mainda: Kamwe Usichoke Kumpenda Anayekupenda.....

Kamwe usichoke kumpenda anayekupenda hasa kwenye ugumu wa maisha, kwani Binadamu shupavu hachoki kupambana na vita ya maisha.Usiwaombee mabaya wale wanaokuchukia yawezekana wakashuhudia mafanikio yako wakiwa hai,mtu akikurushia mawe usimrudishie yakusanye ujengee Daraja kuelekea kwenye mafanikio.

Tambua anae kunyoshea kidole haitaji jibu maana vidole vilivyobaki vimemwelekea yeye. ukijua kanuni hizi huwezi kushindana na mtu kwa jambo lolote lile.

By Mainda on Instagram

 

10 years ago

GPL

OYA MWANA KAMWE MKAA HAUOSHWI!

Niaje…niaje masela wangu? Kitaa hiyo kwa fasi ya kati barida? Mitikasi vipi wana? Kama freshi basi ndo mpango mzima! Ama nini? Basi mzuka kwa wingi chaliiangu.
Karibu jamvini mazee nikusanue ishu bee za kitaa. Machalii hivi laifu mnalionaje kwa saidi yenu? Kipande hii ni fulu mastresi na bado sisomeki aisee arifu. Tudei bana nitakugonga na limkasa la mwanangu Jeff. Ni kitambo kiduchu kimekrosi. Unajua nini...

 

10 years ago

Mwananchi

Tusikubali kamwe kugeuzwa karai la zege 2015

Hakuna ubishi waandishi wa habari wana nafasi kubwa sana ya kuipatia jamii viongozi bora na sio bora viongozi, kama wataweka mbele uzalendo na kuacha kuchukua hongo kutoka kwa wagombea kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2015.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwaka huu kamwe sitausahau - Carlo Ancelotti

Real Madrid imefanikiwa kufunga jumla ya magoli 178 kwenye mashindano yote na kuweka rekodi ya kufunga mabao mengi kwenye mwaka mmoja.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani