Tusikubali kamwe kugeuzwa karai la zege 2015
Hakuna ubishi waandishi wa habari wana nafasi kubwa sana ya kuipatia jamii viongozi bora na sio bora viongozi, kama wataweka mbele uzalendo na kuacha kuchukua hongo kutoka kwa wagombea kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2015.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jbaar29oQX6EmzW8Q6KdL4O772a9nM9rtSD2NPpbMBvQ7raTA07cGYNcf5Qij4ZDzyt*zGjGvY1-6Lb7RjxVQi3T3nEk5ng2/Love.jpg?width=650)
HIVI UNAKUBALIJE KUGEUZWA MPENZI WA KUZUGIA?
11 years ago
Habarileo25 Jul
Walimu waonywa shule kugeuzwa majukwaa ya siasa
WALIMU nchini wametakiwa kuacha kufanya shule kuwa majukwaa ya kiasia badala yake wawafundishe wanafunzi kama taaluma waliosomea na kuiombea kazi inavyotaka.
11 years ago
Mwananchi03 Feb
Tusikubali kuipoteza michezo yetu ya jadi
10 years ago
Mwananchi25 Mar
Tusikubali kuligawa Taifa kwa misingi ya dini
10 years ago
Vijimambo22 Jul
YANGA BAADA YA KUGEUZWA MASALO NA GOR MAHIA LEO WAKEUKA MCHARO
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/Yanga-leo11.jpg)
Baada ya mchezo wa ufunguzi kugeuzwa chachandu na Gor Mahia kwa kuchapwa 2 kwa 1 leo Yanga wamegeuka mcharo baada ya kuwageuza Telecom ya Djibouti chips mayai 3 na pia wakikosa penati 2. Hili swala la penati limekuwa gonjwa ndani ya miguu ya wachezaji wa timu ya Yanga ukikumbuka hii ni penati ya 3 wanakosa katika michezo miwili, mchezo wa ufunguzi na Gor Mahia walikosa moja na leo wamekosa penati 2 wakosaji wa penati hizo ni Msuva na Tambwe. Nikijana mzarendo aliesajiliwa kutoka Mgambo JKT...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3v4UvdFTCI8/VJ21Z1_UKEI/AAAAAAAG59k/XEalFe3AGw0/s72-c/unnamed.png)
11 years ago
Tanzania Daima24 Dec
Nguzo za zege kuleta neema ya umeme
UPATIKANAJI wa umeme nchini umekuwa wa kusuasua kwa muda mrefu hali inayorudisha nyuma maendeleo. Tatizo hilo la upatikanaji wa umeme linatokana na miundombinu duni toka uhuru wa Tanzania Bara hadi...
9 years ago
Dewji Blog02 Dec
Ufisadi wa $600m hati fungani za Serikali: Tusikubali ya Rada, hatua zichukuliwe
Taasisi ya Serious Fraud Office ya Uingereza ( SFO ) inafanya mazungumzo na Benki ya Standard Group ya Afrika ya Kusini Lakini iliyoorodheshwa katika soko la hisa ya Uingereza ( London Stock Exchange ) ili kumalizana kuhusu tuhuma za rushwa katika ununuzi wa hati fungani za Serikali ya Tanzania yenye thamani ya dola za kimarekani milioni Mia Sita ( $ 600m ). Mazungumzo hayo yanafanywa mbele ya Jaji katika mji wa London.
Ndugu wanahabari, ni jambo la kawaida kwa serikali yoyote duniani kuuza...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lnhiBnb11Z4/UuvvUKXr2gI/AAAAAAAFKAs/guSYCMTHSFY/s72-c/unnamed+(30).jpg)