Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tusikubali kamwe kugeuzwa karai la zege 2015

Hakuna ubishi waandishi wa habari wana nafasi kubwa sana ya kuipatia jamii viongozi bora na sio bora viongozi, kama wataweka mbele uzalendo na kuacha kuchukua hongo kutoka kwa wagombea kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2015.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

HIVI UNAKUBALIJE KUGEUZWA MPENZI WA KUZUGIA?

Assalam alaikum mpenzi msomaji wangu wa safu hii. Ni matumaini yangu kwamba kwa uwezo wake Mwenyezi Mungu umzima bukheri wa afya na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku hasa katika kuyatimiza yale uliyopanga kuyafanya kwa mwaka huu wa 2015. Mpenzi msomaji wangu, asilimia kubwa ya watu tuko katika ulimwengu wa mapenzi. Wapo walio katika ndoa, wapo walio katika uchumba na kuna wale wenzangu na mimi ambao bado wapo katika...

 

11 years ago

Habarileo

Walimu waonywa shule kugeuzwa majukwaa ya siasa

WALIMU nchini wametakiwa kuacha kufanya shule kuwa majukwaa ya kiasia badala yake wawafundishe wanafunzi kama taaluma waliosomea na kuiombea kazi inavyotaka.

 

11 years ago

Mwananchi

Tusikubali kuipoteza michezo yetu ya jadi

Kutokana na umuhimu wa michezo kwa jamii katika kila kipindi cha historia ya binadamu, Watanzania nao pia walikuwa wakishiriki katika michezo mbalimbali katika makabila yao.

 

10 years ago

Mwananchi

Tusikubali kuligawa Taifa kwa misingi ya dini

Waasisi wa Taifa la Tanzania, walifanikiwa kujenga misingi imara ya kutowagawa Watanzania katika misingi ya dini, makabila na rangi.

 

10 years ago

Vijimambo

YANGA BAADA YA KUGEUZWA MASALO NA GOR MAHIA LEO WAKEUKA MCHARO


Baada ya mchezo wa ufunguzi kugeuzwa chachandu na Gor Mahia kwa kuchapwa 2 kwa 1 leo Yanga wamegeuka mcharo baada ya kuwageuza Telecom ya Djibouti chips mayai 3 na pia wakikosa penati 2. Hili swala la penati limekuwa gonjwa ndani ya miguu ya wachezaji wa timu ya Yanga ukikumbuka hii ni penati ya 3 wanakosa katika michezo miwili, mchezo wa ufunguzi na Gor Mahia walikosa moja na leo wamekosa penati 2 wakosaji wa penati hizo ni Msuva na Tambwe. Nikijana mzarendo aliesajiliwa kutoka Mgambo JKT...

 

10 years ago

Michuzi

11 years ago

Tanzania Daima

Nguzo za zege kuleta neema ya umeme

UPATIKANAJI wa umeme nchini umekuwa wa kusuasua kwa muda mrefu hali inayorudisha nyuma maendeleo. Tatizo hilo la upatikanaji wa umeme linatokana na miundombinu duni toka uhuru wa Tanzania Bara hadi...

 

9 years ago

Dewji Blog

Ufisadi wa $600m hati fungani za Serikali: Tusikubali ya Rada, hatua zichukuliwe

Simon Bowers Tweets

Taasisi ya Serious Fraud Office ya Uingereza ( SFO ) inafanya mazungumzo na Benki ya Standard Group ya Afrika ya Kusini Lakini iliyoorodheshwa katika soko la hisa ya Uingereza ( London Stock Exchange ) ili kumalizana kuhusu tuhuma za rushwa katika ununuzi wa hati fungani za Serikali ya Tanzania yenye thamani ya dola za kimarekani milioni Mia Sita ( $ 600m ). Mazungumzo hayo yanafanywa mbele ya Jaji katika mji wa London.

Ndugu wanahabari, ni jambo la kawaida kwa serikali yoyote duniani kuuza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani