HIVI UNAKUBALIJE KUGEUZWA MPENZI WA KUZUGIA?
![](http://api.ning.com:80/files/jbaar29oQX6EmzW8Q6KdL4O772a9nM9rtSD2NPpbMBvQ7raTA07cGYNcf5Qij4ZDzyt*zGjGvY1-6Lb7RjxVQi3T3nEk5ng2/Love.jpg?width=650)
Assalam alaikum mpenzi msomaji wangu wa safu hii. Ni matumaini yangu kwamba kwa uwezo wake Mwenyezi Mungu umzima bukheri wa afya na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku hasa katika kuyatimiza yale uliyopanga kuyafanya kwa mwaka huu wa 2015. Mpenzi msomaji wangu, asilimia kubwa ya watu tuko katika ulimwengu wa mapenzi. Wapo walio katika ndoa, wapo walio katika uchumba na kuna wale wenzangu na mimi ambao bado wapo katika...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo30 Oct
SIYO DHAMBI KUMPENDA MPENZI WA MWENZAKO ILA FANYA HIVI
![](http://images.askmen.com/dating/heidi_250/286_keep-your-female-friend-and-your-girlfriend_flash.jpg)
Hii ni kwa sababu wameingia kwenye penzi na watu ambao si sahihi. Kutokana na mazingira hayo, haiwezi kuwa kitu cha ajabu mume wa mtu kutokea kumpenda sana mke wa mtu au kinyume chake.
Pia...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n9CkP9pTfMNHrVAoCGJ8Lw8dcNTF3bVPaBaofg1E5faKYmy5fiNNjyUp2xvpv*BsOGwoKQLYeUpwhD0kBTeYwWl-tW0cU61*/love.jpg?width=650)
SIYO DHAMBI KUMPENDA MPENZI WA MWENZAKO ILA FANYA HIVI…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nII-N*HRVI1YmnihViEo*FLRcB9wzr0Rt5Z960khhaoWn0rz3dA9k-ciKN9LALgTax7Cgupfc4pARJ1CZK9Aq9zQndkxrr6J/MARRIAGE.jpg?width=650)
KWA HALI ILIVYO SASA HIVI, HATA MPENZI WAKO HUENDA ANAJIUZA!
10 years ago
Mwananchi08 Dec
Aibu, hatuna hata shaba ya ‘kuzugia’
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DIpsX3jcHzPVa-l9CiFdpFaT5OElnMMqg5ZUb-ewKN0EfoZFvtmYOdl2HENB04L6jMGL82pO-QwoCzDMjnF-1X5YM8CB-umm/1.jpg)
KAMA KWELI UNAMPENDA UNAKUBALIJE KUMUACHA KIRAHISI?
11 years ago
Habarileo25 Jul
Walimu waonywa shule kugeuzwa majukwaa ya siasa
WALIMU nchini wametakiwa kuacha kufanya shule kuwa majukwaa ya kiasia badala yake wawafundishe wanafunzi kama taaluma waliosomea na kuiombea kazi inavyotaka.
10 years ago
Mwananchi20 Aug
Tusikubali kamwe kugeuzwa karai la zege 2015
10 years ago
Vijimambo22 Jul
YANGA BAADA YA KUGEUZWA MASALO NA GOR MAHIA LEO WAKEUKA MCHARO
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/Yanga-leo11.jpg)
Baada ya mchezo wa ufunguzi kugeuzwa chachandu na Gor Mahia kwa kuchapwa 2 kwa 1 leo Yanga wamegeuka mcharo baada ya kuwageuza Telecom ya Djibouti chips mayai 3 na pia wakikosa penati 2. Hili swala la penati limekuwa gonjwa ndani ya miguu ya wachezaji wa timu ya Yanga ukikumbuka hii ni penati ya 3 wanakosa katika michezo miwili, mchezo wa ufunguzi na Gor Mahia walikosa moja na leo wamekosa penati 2 wakosaji wa penati hizo ni Msuva na Tambwe. Nikijana mzarendo aliesajiliwa kutoka Mgambo JKT...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NRpz*rV1U-vHG5-bX4LbVa95GsjByp9eIalFdEcex08MnkcVS7hhQtEhspSDBslRHD5*4LBKICQuh6Lgj7OwIh*yLGlCTidh/love.jpg)
MPENZI WA ZAMANI WA MPENZI WAKO ANAPOKUWA KIRUSI HATARI!