Walimu waonywa shule kugeuzwa majukwaa ya siasa
WALIMU nchini wametakiwa kuacha kufanya shule kuwa majukwaa ya kiasia badala yake wawafundishe wanafunzi kama taaluma waliosomea na kuiombea kazi inavyotaka.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo20 Apr
Shule taabani, walimu waishi darasani
SHULE ya Msingi Mwamashimba katika Kata ya Mwamalasa wilayani Kishapu Shinyanga, inakabiliwa na ukosefu wa vyoo, madawati na nyumba za walimu, hali inayosababisha baadhi ya walimu kuishi kwenye vyumba vya madarasa.
10 years ago
Mwananchi09 Mar
Walimu wa michezo wanahitajika shule za msingi
10 years ago
Habarileo24 Aug
Shule zote Songosongo hazina walimu wa kike
TATIZO la usafiri linalowakabili wananchi wa Kisiwa cha Songosongo mkoani Lindi limesababisha shule ya msingi na sekondari katika kisiwa hicho kukosa walimu wa kike.
11 years ago
Mwananchi02 Mar
Shule Wilaya ya Handeni hazina nyumba za walimu
11 years ago
Habarileo12 Apr
Walimu shule za msingi Mwanza kulipwa bil.8.1/-
WALIMU 3,410 wa shule za msingi na sekondari mkoani hapa, wamepandishwa madaraja na watalipwa zaidi ya Sh bilioni 8.1.
10 years ago
Habarileo08 Sep
Walimu kuhamishiwa kwenye shule zilizokamilisha maabara
SERIKALI mkoani Singida inakusudia kumwomba Waziri Mkuu Mizengo Pinda ruhusa ya kuhamisha walimu wa sayansi walioko kwenye kata zisizo na maabara na kuwapeleka kwenye kata zilizokamilisha ujenzi wa maabara.
10 years ago
Mwananchi03 Feb
Walimu wageuka wazazi Shule ya Msingi Mapambano
11 years ago
Michuzi28 Jul
SHULE YA SEKONDARI MWEMBETOGWA YA IRINGA YATIMUA WALIMU 'MAFATAKI'
Mwembetogwa, Kevin Mlengule
SHULE ya Sekondari ya Mwembetogwa ya Mjini Iringa imepongezwa na wadau wake baada ya hivikaribuni kuwafukuza kazi walimu wanne wa kiume waliobainika kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanafunzi wao wa kike maarufu kama mafataki
“Tunataka shule nyingine ziige mfano wa shule hii, tumefarijika kusikia imechukua uamuzi huo na kwa kufanya hivyo tunaamini shule hiyo itakuwa salama kwa watoto wetu wa kike,” alisema mmoja wa wazazi wenye watoto...
9 years ago
Mwananchi10 Dec
Siasa hatarini kuua elimu shule binafsi