Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Walimu wageuka wazazi Shule ya Msingi Mapambano

Shule ya Msingi Mapambano imetimiza miaka 35 tangu ilipoanza, ikiwa na wanafunzi 150 na walimu watano. Kwa sasa ina wanafunzi 403 na walimu 22.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Walimu wa michezo wanahitajika shule za msingi

Ni kweli michezo ni burudani, ila kutokana na mabadiliko ya mazingira ya kisiasa, kiuchumi na kijamii, michezo ni kipaumbele katika kutoa ajira pana, kukuza biashara na kujenga jamii bora yenye maelewano.

 

11 years ago

Habarileo

Walimu shule za msingi Mwanza kulipwa bil.8.1/-

WALIMU 3,410 wa shule za msingi na sekondari mkoani hapa, wamepandishwa madaraja na watalipwa zaidi ya Sh bilioni 8.1.

 

11 years ago

GPL

WAZAZI, WALIMU, UONGOZI WA SHULE YA SEKONDARI YA KISUKURU REGENT WAKUTANA

Naibu Mkurugenzi wa Shule ya Sekondari ya Kisukuru Regent, Dorisia Mulashani (kushoto) akiongea na wazazi katika mkutano huo. Katikati ni mwenyekiti wa bodi ya shule, Suzana Kalele na kulia ni Mkuu wa  shule, Sabastian Mbao. Baadhi ya wazazi wa wanafunzi wakimsikiliza Naibu Mkurugenzi.…

 

11 years ago

Michuzi

Airtel yatoa vifaa vya ofisi ya walimu wa shule ya msingi Bayuni

Meneja wa Huduma kwa jamii wa Airtel Bi Hawa Bayumi (Kulia) akikabithi msaada wa vifaa vya ofisi ya walimu kwa mwalimu mkuu wa shule ya msingi Buyuni Bwana Amiri Mkojela wakati Airtel ilipotembealea shuleni hapo na kutoa viti na meza kwa ajili ya ofisi ya walimu , wakishuhudia katikati ni Mwenyekiti wa Shule, Jamhur Masiku, na wanafuanzi wa shuleni hapo, hafla ya makabidhiano ilifanyika shuleni hapo mwishoni mwa wiki hii.
kampuni ya simu za mkononi ya Airtel imetoa msaada wa seti ya meza...

 

11 years ago

GPL

AIRTEL YATOA VIFAA VYA OFISI YA WALIMU WA SHULE YA MSINGI BAYUNI‏

Meneja wa Huduma kwa jamii wa Airtel Bi Hawa Bayumi (Kulia) akikabithi msaada wa vifaa vya ofisi ya walimu kwa mwalimu mkuu wa shule ya msingi Buyuni Bwana Amiri Mkojela wakati Airtel ilipotembealea shuleni hapo na kutoa viti na meza kwa ajili ya ofisi ya walimu , wakishuhudia katikati ni Mwenyekiti wa Shule, Jamhur Masiku, na wanafuanzi wa shuleni hapo, hafla ya makabidhiano ilifanyika shuleni hapo mwishoni mwa wiki hii. Airtel...

 

11 years ago

Michuzi

AJIRA MPYA YA WALIMU WAPYA KWA AJILI YA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI MWAKA 2013/14


 JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA- TAMISEMI
  A: OFISI YA WAZIRI MKUU TAMISEMI INATANGAZA ORODHA YA WANACHUO WAHITIMU WA MAFUNZO YA UALIMU KAMA IFUATAVYO:-


i. Walimuwa Cheti (Daraja IIIA) kwa ajili ya shule za msingi 17,928
ii. Walimu wa Stashahada kwa ajili ya shule za sekondari 5,416
iii. Walimu wa Shahada kwa ajili ya shule za sekondari 12,677

Walimu hawa wamepangwa katika Halmashauri na shule za mazoezi za vyuo vya ualimu Tanzania...

 

10 years ago

TZtoday

AJIRA MPYA YA MAFUNDI SANIFU WA MAABARA NA WALIMU KWA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI MWAKA 2014/15

                           OFISI YA WAZIRI MKUU  

TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (OWM - TAMISEMI)

 

AJIRA MPYA YA MAFUNDI SANIFU WA MAABARA NA WALIMU KWA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI MWAKA 2014/15

A: Orodha ya Walimu na Mafundi Sanifu Maabara Ajira Mpya       

Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI inatangaza ajira ya wahitimu wa mafunzo ya ualimu na mafundi sanifu maabara katika mamlaka ya Serikali za Mitaa kama ifuatavyo:-

i.                 walimu wa cheti (Daraja IIIA)...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani