Shule taabani, walimu waishi darasani
SHULE ya Msingi Mwamashimba katika Kata ya Mwamalasa wilayani Kishapu Shinyanga, inakabiliwa na ukosefu wa vyoo, madawati na nyumba za walimu, hali inayosababisha baadhi ya walimu kuishi kwenye vyumba vya madarasa.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo10 Oct
Shule ya Mbagala Rangi 3 taabani
SHULE ya msingi Mbagala Rangi 3, inakabiliwa na uhaba wa vyumba vya madarasa, jambo linalosababisha wanafunzi zaidi ya 100 kuwa katika darasa moja huku wengine wakikaa chini.
10 years ago
Habarileo26 Jan
Shule ya Msingi Saku ‘taabani’
SHULE ya Msingi Saku iliyoko katika Manispaa ya Temeke inakabiliwa na mazingira mabovu ya kujifunzia ikiwemo kusomea chini ya miti, hali inayoathiri wanafunzi zaidi 2,500 wa shuleni hapo.
11 years ago
Habarileo29 Dec
Shule za msingi Kilwa taabani
SHULE nyingi za msingi wilayani Kilwa mkoani Lindi ziko kwenye hali mbaya uchakavu wa majengo, ukosefu wa vyoo, upungufu wa madarasa na nyumba na walimu wachache.
11 years ago
Habarileo22 Jul
Shule kinara kidato cha 6 taabani
SHULE ya Igowole, iliyoshika nafasi ya kwanza kitaifa katika matokeo ya Kidato cha Sita mwaka huu, inakabiliwa na matatizo mengi, ikiwemo ukosefu wa mabweni, kiasi cha Mkuu wa Shule kulazimika kuhama nyuma kuachia wanafunzi wapate pa kulala.
10 years ago
Mtanzania20 Feb
Shule ya Msingi Mailimoja taabani, yahitaji msaada wa haraka
NA GUSTAPHU HAULE, PWANI
SHULE ya Msingi Mailimoja iliyopo Kibaha mkoani Pwani ni miongoni mwa shule ambazo zinapoteza umaarufu wa Mji wa Kibaha kutokana na miundombinu yake kuwa chakavu.
Shule hiyo ilianza mwaka 1975 ikiwa na madarasa manne ya udongo lakini baadae ilizaa madarasa mengine saba ambayo yalijengwa kwa jitihada za aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Profesa Phillemon Sarungi.
Kutokana na umaarufu na umuhimu wa shule hiyo lakini hali yake kwa sasa ni mbaya kwani majengo yake...
10 years ago
Mwananchi09 Mar
Walimu wa michezo wanahitajika shule za msingi
10 years ago
Mwananchi03 Feb
Walimu wageuka wazazi Shule ya Msingi Mapambano
11 years ago
Habarileo12 Apr
Walimu shule za msingi Mwanza kulipwa bil.8.1/-
WALIMU 3,410 wa shule za msingi na sekondari mkoani hapa, wamepandishwa madaraja na watalipwa zaidi ya Sh bilioni 8.1.
10 years ago
Habarileo24 Aug
Shule zote Songosongo hazina walimu wa kike
TATIZO la usafiri linalowakabili wananchi wa Kisiwa cha Songosongo mkoani Lindi limesababisha shule ya msingi na sekondari katika kisiwa hicho kukosa walimu wa kike.