Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aibu, hatuna hata shaba ya ‘kuzugia’

Mwaka 2014 ninaweza kusema ndiyo umemalizika. Ninauita mwaka wa ajabu, mwaka wa aibu na ninaamini hata miaka mingine itaendelea kuwa hivyo, kwa kuwa hatufanyi kitu kuonekana kweli tunataka kufikia mahala fulani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Kenyatta:'Ni aibu lakini hatuna budi'

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amekiri ni jambo la aibu kuwa serikali imelazimika kutoa chakula cha msaada kwa maelfu wanaokumwba na njaa nchini humo

 

10 years ago

Bongo Movies

Flora Mvungi: Bongo Movie Hatuna Ushirikiano Hata Kidogo!!

Mwigizaji wa filamu  ambae ameingia kwenye bongo fleva, Flora Mvungi ‘H.Mama’ amefunguka na kusema kuwa wasanii wengi wa bongo movie hawapendani ndiomaana wanashindwa kufika mbali kisanaa.

Akinukuliwa na Gazeti moja la burudani, Flora alisema “Tukitaka kufanikiwa lazima sote letu liwe moja ili tufanye kitu kizuri,siku zote umoja ni nguvu cha msingi tukiamua kufanya kazi tusiangalie huyu bado msanii chipukizi siwezi kufanya naye kazi wote tushirikiane ili tufanye vitu bora na kupige...

 

10 years ago

GPL

HIVI UNAKUBALIJE KUGEUZWA MPENZI WA KUZUGIA?

Assalam alaikum mpenzi msomaji wangu wa safu hii. Ni matumaini yangu kwamba kwa uwezo wake Mwenyezi Mungu umzima bukheri wa afya na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku hasa katika kuyatimiza yale uliyopanga kuyafanya kwa mwaka huu wa 2015. Mpenzi msomaji wangu, asilimia kubwa ya watu tuko katika ulimwengu wa mapenzi. Wapo walio katika ndoa, wapo walio katika uchumba na kuna wale wenzangu na mimi ambao bado wapo katika...

 

10 years ago

Mwananchi

Mangula: Hata mkiandamana bure, Katiba haitabadilishwa hata nukta

Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara), Philip Mangula amesema Katiba Inayopendekezwa imebeba mambo yote muhimu na hata kama yakifanyika maandamano nchi nzima haitabadilishwa hata nukta.

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga, Simba aibu yetu, aibu yao...

Azam imezidi kunyemelea ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu baada ya kuichapa Simba 2-1, huku mabingwa watetezi Yanga wakichapwa 2-1 na wachezaji 10 wa Mgambo Shooting kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.

 

11 years ago

KwanzaJamii

Shaba ya Bluu yagundulika Tunduru

Shaba ya bluu ambayo imegundulika wilayani Tunduru mkoani Ruvuma. Albano Midelo, Tunduru MADINI yenye thamani kubwa aina ya shaba ya bluu (blue copper) yamegundulika katika Kata ya Mbesa, Tarafa ya Nalasi wilayani Tunduru mkoani Ruvuma. Kugundulika kwa madini hayo kunaifanya Wilaya ya Tunduru kuwa ndiyo pekee nchini na Afrika Mashariki na Kati kuwa na madini ya shaba ya bluu. Mkuu wa wilaya ya Tunduru, Chande Nalicho, amesema utafiti unaonyesha kuwa tarafa nzima ya Nalasi ina utajiri wa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Migodi ya shaba kufungwa Zambia na Congo

Kampuni ya kuchimba shaba ya Glencore imesitisha uzalishaji wa madini hayo nchini Zambia na jamhuri ya Congo

 

10 years ago

Mwananchi

Aibu yetu, aibu yao...

Tambo, ngebe zilizotawala vinywa vya mashabiki, viongozi wa Yanga na, Simba zinafikia mwisho leo kwa pambano linalozikutanisha timu hizo mbili.

 

10 years ago

Mtanzania

Shaba, Kipanga, Chuoni hatihati Ligi Kuu

NA IS-HAKA OMAR, ZANZIBAR
LIGI Kuu ya Zanzibar inatarajia kumalizika Juni 3, mwaka huu, huku timu za Shaba, Kipanga, Chuoni, Malindi na Miembeni zikiwa katika hatari ya kushuka daraja.
Miembeni na Malindi zina pointi 23 kila moja na zimebakiwa na michezo miwili, huku Kipanga ikiwa na pointi 20 na mchezo mmoja mkononi, Shaba na Chuoni zina pointi 19 kila moja na wamebakiwa na michezo miwili kila mmoja.
Hadi sasa timu ya Mafunzo inaongoza ligi hiyo ikiwa na pointi 39 kwa kucheza mechi 20 na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani