Aibu, hatuna hata shaba ya ‘kuzugia’
Mwaka 2014 ninaweza kusema ndiyo umemalizika. Ninauita mwaka wa ajabu, mwaka wa aibu na ninaamini hata miaka mingine itaendelea kuwa hivyo, kwa kuwa hatufanyi kitu kuonekana kweli tunataka kufikia mahala fulani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili06 Feb
Kenyatta:'Ni aibu lakini hatuna budi'
10 years ago
Bongo Movies21 Feb
Flora Mvungi: Bongo Movie Hatuna Ushirikiano Hata Kidogo!!
Mwigizaji wa filamu ambae ameingia kwenye bongo fleva, Flora Mvungi ‘H.Mama’ amefunguka na kusema kuwa wasanii wengi wa bongo movie hawapendani ndiomaana wanashindwa kufika mbali kisanaa.
Akinukuliwa na Gazeti moja la burudani, Flora alisema “Tukitaka kufanikiwa lazima sote letu liwe moja ili tufanye kitu kizuri,siku zote umoja ni nguvu cha msingi tukiamua kufanya kazi tusiangalie huyu bado msanii chipukizi siwezi kufanya naye kazi wote tushirikiane ili tufanye vitu bora na kupige...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jbaar29oQX6EmzW8Q6KdL4O772a9nM9rtSD2NPpbMBvQ7raTA07cGYNcf5Qij4ZDzyt*zGjGvY1-6Lb7RjxVQi3T3nEk5ng2/Love.jpg?width=650)
HIVI UNAKUBALIJE KUGEUZWA MPENZI WA KUZUGIA?
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Mangula: Hata mkiandamana bure, Katiba haitabadilishwa hata nukta
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Yanga, Simba aibu yetu, aibu yao...
11 years ago
KwanzaJamii25 Apr
Shaba ya Bluu yagundulika Tunduru
9 years ago
BBCSwahili08 Sep
Migodi ya shaba kufungwa Zambia na Congo
10 years ago
Mwananchi18 Oct
Aibu yetu, aibu yao...
10 years ago
Mtanzania23 May
Shaba, Kipanga, Chuoni hatihati Ligi Kuu
NA IS-HAKA OMAR, ZANZIBAR
LIGI Kuu ya Zanzibar inatarajia kumalizika Juni 3, mwaka huu, huku timu za Shaba, Kipanga, Chuoni, Malindi na Miembeni zikiwa katika hatari ya kushuka daraja.
Miembeni na Malindi zina pointi 23 kila moja na zimebakiwa na michezo miwili, huku Kipanga ikiwa na pointi 20 na mchezo mmoja mkononi, Shaba na Chuoni zina pointi 19 kila moja na wamebakiwa na michezo miwili kila mmoja.
Hadi sasa timu ya Mafunzo inaongoza ligi hiyo ikiwa na pointi 39 kwa kucheza mechi 20 na...