Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shaba ya Bluu yagundulika Tunduru

Shaba ya bluu ambayo imegundulika wilayani Tunduru mkoani Ruvuma. Albano Midelo, Tunduru MADINI yenye thamani kubwa aina ya shaba ya bluu (blue copper) yamegundulika katika Kata ya Mbesa, Tarafa ya Nalasi wilayani Tunduru mkoani Ruvuma. Kugundulika kwa madini hayo kunaifanya Wilaya ya Tunduru kuwa ndiyo pekee nchini na Afrika Mashariki na Kati kuwa na madini ya shaba ya bluu. Mkuu wa wilaya ya Tunduru, Chande Nalicho, amesema utafiti unaonyesha kuwa tarafa nzima ya Nalasi ina utajiri wa...

KwanzaJamii

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Rais Kikwete afungua ujenzi wa barabara Tunduru - Mangaka matemanga,pia azindua mradi wa maji Nalasi -Tunduru

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete (katikati) na balozi mdogo wa Japan nchini Kazuyoshi Matsunaga (wa tatu kushoto) wakishirikiana kukata utepe ikiwa ni ishara ya kuzindua ujenzi wa Barabara ya Tunduru-Mangaka Matemanga mradi unaojengwa na Serikali ya Tanzania kwa ushirikiano wa serikali ya Japan kupitia shirika lake la kimataifa la maendeleo JICA.Wengine pichani toka kushoto ni ni Mbunge wa Nanyumbu Dunstan Mkapa,Mkuu wa Mkoa wa Mtwara,Kapten Mstaafu Joseph Simbakalia,Waziri wa ujenzi Dkt. John...

 

11 years ago

Mwananchi

Bluu, zambarau zilivyotawala AMVCA

Wiki iliyopita Tanzania iliungana na nchi nyingine za Afrika kushuhudia tukio muhimu kabisa kihistoria, ambalo ni Tuzo za Africa Magic Viewers (AMVCA), zilizowaleta pamoja watu kutoka mataifa mbalimbali ya Bara la Afrika.

 

10 years ago

Vijimambo

Ebola yagundulika New York

Daktari wa Marekani aliyekuwa akiwahudumia wagonjwa wa Ebola Nchini Guinea amepimwa na kukutwa na virusi vya ugonjwa huko katika hospitali ya ya mjini New York.

Dr Craig Spencer ambaye ni mmoja kati ya madaktari wasio na mipaka alianza kujisikia maumivu na homa siku chache tu baada ya kurejea Marekani akitokea Afrika Magharibi.

Siku ya Alhamisi wiki hii Craig alipelekwa hospitali kwaajili ya vipimo na kisha akatengwa kwa uchunguzi zaidi wa afya yake.

Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari...

 

10 years ago

Habarileo

Gesi zaidi yagundulika Mtwara

Waziri wa Nishati na Madini, George SimbachaweneWIZARA ya Nishati na Madini iko kwenye mchakato wa kukamilisha uandaaji wa sheria tatu, zitakazowasilishwa bungeni wakati wowote, zenye lengo la kuweka uwazi katika maeneo yote yanayohusu mikataba ya uchimbaji wa madini na gesi.

 

9 years ago

Mtanzania

Almasi adimu yagundulika Tanzania

Omar-ChamboNa Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

KAMPUNI ya madini ya Petra Diamonds imegundua aina adimu ya almasi ya rangi ya pinki yenye uzito wa karati 23.16 kutoka mgodi wake wa Williamson uliopo Mwadui, Shinyanga.

Kwa mujibu wa taarifa ya kampuni hiyo ya madini, almasi hiyo ya pinki, moja ya madini ya rangi yanayosakwa zaidi duniani ni mfano wa ubora wa hali ya juu na ugunduzi mkubwa na muhimu zaidi kufanywa na Petra kutoka mgodi huo hadi sasa.

“Almasi za pinki hupatikana katika migodi michache...

 

11 years ago

GPL

DAWA MPYA YA VIDONDA VYA TUMBO YAGUNDULIKA

Stori: WAANDISHI WETU Dawa mpya ya kutibu vidonda vya tumbo iitwayo Netragen imegundulika nchini.Mkurugenzi wa Kampuni ya Herbowoex yenye makao makuu yake jijini Mwanza iliyofanya utafiti wa dawa hiyo kwa miaka mitatu, Mwita Marwa amesema wamebaini kuwa dawa hiyo ina uwezo wa kutibu vidonda vya tumbo kwa kiwango cha juu na bila kuleta madhara kwa mifumo mingine ya mwili hata kama ikitumika kwa wingi. “Watu waliotumia dawa...

 

10 years ago

Mwananchi

Aibu, hatuna hata shaba ya ‘kuzugia’

Mwaka 2014 ninaweza kusema ndiyo umemalizika. Ninauita mwaka wa ajabu, mwaka wa aibu na ninaamini hata miaka mingine itaendelea kuwa hivyo, kwa kuwa hatufanyi kitu kuonekana kweli tunataka kufikia mahala fulani.

 

9 years ago

BBCSwahili

Migodi ya shaba kufungwa Zambia na Congo

Kampuni ya kuchimba shaba ya Glencore imesitisha uzalishaji wa madini hayo nchini Zambia na jamhuri ya Congo

 

10 years ago

Mtanzania

Shaba, Kipanga, Chuoni hatihati Ligi Kuu

NA IS-HAKA OMAR, ZANZIBAR
LIGI Kuu ya Zanzibar inatarajia kumalizika Juni 3, mwaka huu, huku timu za Shaba, Kipanga, Chuoni, Malindi na Miembeni zikiwa katika hatari ya kushuka daraja.
Miembeni na Malindi zina pointi 23 kila moja na zimebakiwa na michezo miwili, huku Kipanga ikiwa na pointi 20 na mchezo mmoja mkononi, Shaba na Chuoni zina pointi 19 kila moja na wamebakiwa na michezo miwili kila mmoja.
Hadi sasa timu ya Mafunzo inaongoza ligi hiyo ikiwa na pointi 39 kwa kucheza mechi 20 na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani