Gesi zaidi yagundulika Mtwara
WIZARA ya Nishati na Madini iko kwenye mchakato wa kukamilisha uandaaji wa sheria tatu, zitakazowasilishwa bungeni wakati wowote, zenye lengo la kuweka uwazi katika maeneo yote yanayohusu mikataba ya uchimbaji wa madini na gesi.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV21 Aug
Usafirishaji gesi: Kisima namba 3 cha Gesi Msimbati Mtwara chafunguliwa
Matumaini ya kuanza kuzalishwa umeme unaotokana na gesi siku chache zijazo yameanza kudhihirika baada ya kisima namba 3 cha gesi kilichoko Msimbati wilayani Mtwara kufunguliwa.
Lengo ni kuruhusu gesi kusafiri kwenye bomba hadi Madimba kuwezesha hatua ya uchakataji kuanza.
Mkurugenzi mkuu wa shirika la Maendeleo ya Petrol Tanzania TPDC James Mataragio akifungua rasmi bomba hilo kutoka kisima No MB 3 katika kijiji cha Msimbati na kubainisha kuwa mradi huo umejengwa kwa muda mfupi sana...
11 years ago
Mwananchi24 Jul
Gesi Mtwara kero kwa wavuvi
10 years ago
Habarileo01 Oct
RC Mtwara ahofia hujuma katika gesi
MKUU wa Mkoa wa Mtwara, Joseph Simbakalia ameeleza wasiwasi wa nchi kuhujumiwa iwapo biashara ya gesi itaachwa mikononi mwa wageni pekee.
9 years ago
Mwananchi15 Dec
Mradi wa gesi Mtwara-D’Salaam wakamilika
10 years ago
Habarileo30 Sep
Uchochezi mpya wa gesi Lindi, Mtwara washtukiwa
KATIKA hatua isiyo ya kawaida Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amezushiwa kuandika meseji za simu za mkononi zenye mwelekeo wa kuwagawa wakazi wa mikoa ya Lindi na Mtwara katika kunufaika na utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa bomba la gesi kutoka mikoa hiyo hadi Dar es Salaam.
10 years ago
Mwananchi21 Dec
Pinda ‘kuinadi’ gesi ya Mtwara, mafuta Qatar
11 years ago
Mwananchi11 Jul
Hali ya Mtwara kiuchumi baada ya shughuli za gesi
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5xoRNfBwmvQ/Vg0eCxnuLFI/AAAAAAAH8GY/CpMdAWjikwQ/s72-c/New%2BPicture%2B%25281%2529.png)
RAIS KIKWETE KUZINDUZUA MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA
![](http://2.bp.blogspot.com/-5xoRNfBwmvQ/Vg0eCxnuLFI/AAAAAAAH8GY/CpMdAWjikwQ/s640/New%2BPicture%2B%25281%2529.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-hJ5JKMijfWE/Vg0eDmGsEEI/AAAAAAAH8Gc/ykd7VK6X5-I/s640/New%2BPicture%2B%25282%2529.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VYUnnunxz1M/Vg0eEKjXz1I/AAAAAAAH8Gg/pZjHxLD5Z60/s640/New%2BPicture.png)
10 years ago
Michuzimaonesho ya wadau wa Gesi na Oil yaendelea mkoani Mtwara