maonesho ya wadau wa Gesi na Oil yaendelea mkoani Mtwara
Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Wilman Ndile akizungumza na wafanyakazi wa benki ya Stanbick jana wakati alipotembelea banda lao katika maonesho ya wadau Gesi na Oil yanayoendelea mkoani Mtwara.
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Wilman Ndile akizungumza na Ofisa wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali TSN, Francis Kihinga wakati walipokutana kwenye mkutano wa wadau wa gesi unaoendelea mkoani Mtwara, TSN ni moja kati ya wadhamini wa mkutano huo.
Baadhi ya wananchi waliojitokeza kwenye maonesho ya bidhaa za wadau...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-KvylcAIOQzU/VhtSAPwIxlI/AAAAAAAH-6Y/wdp8OSPypgM/s72-c/m1.jpg)
UZINDUZI WA kiwanda cha kuchakata gesi asilia eneo la Madimba Mkoani Mtwara
![](http://1.bp.blogspot.com/-KvylcAIOQzU/VhtSAPwIxlI/AAAAAAAH-6Y/wdp8OSPypgM/s640/m1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-I9L9OsFngYY/VhtSA0bE9cI/AAAAAAAH-6c/hqNxlIjID3E/s640/m2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jqiu_tNYFvA/VhtR-_gMwAI/AAAAAAAH-6Q/CM5J9TM15vA/s640/m3.jpg)
10 years ago
MichuziMkutano wa wanajamii kuhusiana na Uundwaji wa mkakati wa mawasiliano ya kitaifa wa sekta ya Mafuta na Gesi wafanyika leo Mkoani Mtwara
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xgHRVfAY0gA/U-Gt7flVuiI/AAAAAAAF9cs/x7bAmViW4CM/s72-c/image_1.jpeg)
MKUU WA MKOA WA MTWARA ATEMBELEA BANDA LA JESHI LA MAGEREZA MAONESHO YA NANE NANE KITAIFA, MKOANI LINDI
![](http://1.bp.blogspot.com/-xgHRVfAY0gA/U-Gt7flVuiI/AAAAAAAF9cs/x7bAmViW4CM/s1600/image_1.jpeg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-mDrhqtHwDcM/U-Gt7fffeHI/AAAAAAAF9cw/eaYGxQucySI/s1600/image_2.jpeg)
9 years ago
MichuziSSRA YASHIRIKI MAONESHO YA SIKU YA BAHARI MKOANI MTWARA NA KUTOA ELIMU KWA MABAHARIA NA WAVUVI KUHUSU UMUHIMU WA KUJIUNGA NA MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII
9 years ago
StarTV21 Aug
Usafirishaji gesi: Kisima namba 3 cha Gesi Msimbati Mtwara chafunguliwa
Matumaini ya kuanza kuzalishwa umeme unaotokana na gesi siku chache zijazo yameanza kudhihirika baada ya kisima namba 3 cha gesi kilichoko Msimbati wilayani Mtwara kufunguliwa.
Lengo ni kuruhusu gesi kusafiri kwenye bomba hadi Madimba kuwezesha hatua ya uchakataji kuanza.
Mkurugenzi mkuu wa shirika la Maendeleo ya Petrol Tanzania TPDC James Mataragio akifungua rasmi bomba hilo kutoka kisima No MB 3 katika kijiji cha Msimbati na kubainisha kuwa mradi huo umejengwa kwa muda mfupi sana...
10 years ago
GPLMAONESHO YA 5 YA HOMES EXPO YAENDELEA MLIMANI CITY
10 years ago
Michuzi13 Oct
10 years ago
Habarileo31 Mar
Gesi zaidi yagundulika Mtwara
WIZARA ya Nishati na Madini iko kwenye mchakato wa kukamilisha uandaaji wa sheria tatu, zitakazowasilishwa bungeni wakati wowote, zenye lengo la kuweka uwazi katika maeneo yote yanayohusu mikataba ya uchimbaji wa madini na gesi.