RAIS KIKWETE KUZINDUZUA MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA
![](http://2.bp.blogspot.com/-5xoRNfBwmvQ/Vg0eCxnuLFI/AAAAAAAH8GY/CpMdAWjikwQ/s72-c/New%2BPicture%2B%25281%2529.png)
Mkurugenzi Mtendaji TPDC, Dkt. James Mataragio akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu uzinduzi wa miundombinu gesi asilia, Miundombinu hiyo inatarajiwa kuzinduliwa rasmi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete katika eneo la Madimba Mkoani Mtwara tarehe 10 Oktoba 2015.
Sehemu ya Kiwanda cha kuchakata gesi asilia kilichopo eneo la Madimba Mkoani Mtwara, eneo ambalo uzinduzi rasmi unatarajia kufanyika tarehe 10 Oktoba 2015.
Sehemu ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi03 Jan
10 years ago
VijimamboTPDC YATOA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA KUTOKA MADIMBA MTWARA,SONGO SONGO LINDI NA PWANI HADI DAR ES SALAAM.
9 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AZINDUA MRADI WA UMEME GESI ASILIA KINYEREZI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_l_AMO6a8fQ/VbpJauxvo9I/AAAAAAAHs1M/j8eW02gbcbo/s72-c/Untitled1.png)
BODI YA TPDC YAKAMILISHA UKAGUZI WA MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-_l_AMO6a8fQ/VbpJauxvo9I/AAAAAAAHs1M/j8eW02gbcbo/s640/Untitled1.png)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gdKiWC9cycQ/XtZkt3COQBI/AAAAAAALsV8/nIa_wulaWZ4qZsKoh7kSwGphxLQQJFVQgCLcBGAsYHQ/s72-c/PIC%2B%2B%2B1.jpg)
Katibu Mkuu Nishati akagua uzalishaji wa gesi asilia Lindi na Mtwara
![](https://1.bp.blogspot.com/-gdKiWC9cycQ/XtZkt3COQBI/AAAAAAALsV8/nIa_wulaWZ4qZsKoh7kSwGphxLQQJFVQgCLcBGAsYHQ/s640/PIC%2B%2B%2B1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PIC-4.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Mhandisi Zena Said( mwenye wa pili kulia) akitoa maelekezo kwa msimamizi...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-KvylcAIOQzU/VhtSAPwIxlI/AAAAAAAH-6Y/wdp8OSPypgM/s72-c/m1.jpg)
UZINDUZI WA kiwanda cha kuchakata gesi asilia eneo la Madimba Mkoani Mtwara
![](http://1.bp.blogspot.com/-KvylcAIOQzU/VhtSAPwIxlI/AAAAAAAH-6Y/wdp8OSPypgM/s640/m1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-I9L9OsFngYY/VhtSA0bE9cI/AAAAAAAH-6c/hqNxlIjID3E/s640/m2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jqiu_tNYFvA/VhtR-_gMwAI/AAAAAAAH-6Q/CM5J9TM15vA/s640/m3.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9QJpDGhAlBc/Ve6QUincU9I/AAAAAAAH3Os/A-xepoPru3g/s72-c/g1.jpg)
NEWS ALERT: Hatimaye Gesi Asilia kutoka Mtwara yafika Dar es salaam
![](http://1.bp.blogspot.com/-9QJpDGhAlBc/Ve6QUincU9I/AAAAAAAH3Os/A-xepoPru3g/s640/g1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vf60QxE590k/Ve6QVCNoTqI/AAAAAAAH3O4/W_68Hy-d-XY/s640/g1a.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4vD_nUhc8WI/U1qP4mb39vI/AAAAAAAFdCM/tEd9c8kGBhg/s72-c/unnamed+(28).jpg)
Viongozi wa Dini Mikoa ya Lindi na Mtwara kuhudhuria mafunzo ya gesi asilia na mafuta nchini Thailand
Jumla ya Viongozi 19 wa Dini kutoka Mikoa ya Lindi na Mtwara wanatarajia kwenda nchini Thailand kuanzia tarehe 26 Aprili mwaka huu kwa ajili ya ziara ya mafunzo katika masuala ya gesi asilia na mafuta.
Ziara hiyo inatokana na juhudi za serikali katika kuhakisha elimu kuhusu masuala ya gesi asilia na mafuta inatolewa kwa wananchi wa kada mbalimbali ili waweze kufahamu mchakato mzima wa upatikanaji wa gesi asilia na mafuta, faida zake katika nyanja za ...