Almasi adimu yagundulika Tanzania
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
KAMPUNI ya madini ya Petra Diamonds imegundua aina adimu ya almasi ya rangi ya pinki yenye uzito wa karati 23.16 kutoka mgodi wake wa Williamson uliopo Mwadui, Shinyanga.
Kwa mujibu wa taarifa ya kampuni hiyo ya madini, almasi hiyo ya pinki, moja ya madini ya rangi yanayosakwa zaidi duniani ni mfano wa ubora wa hali ya juu na ugunduzi mkubwa na muhimu zaidi kufanywa na Petra kutoka mgodi huo hadi sasa.
“Almasi za pinki hupatikana katika migodi michache...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qMaB1ymUijA/VBNmWD_zwHI/AAAAAAAGjYE/8K5gxVRPqC0/s72-c/unnamed%2B(33).jpg)
RAIS WA SOKO LA ALMASI WA ANTIWERPEN AKUTANA NA MABALOZI WA AFRIKA WA NCHI ZENYE MIGODI YA ALMASI
![](http://4.bp.blogspot.com/-qMaB1ymUijA/VBNmWD_zwHI/AAAAAAAGjYE/8K5gxVRPqC0/s1600/unnamed%2B(33).jpg)
10 years ago
Vijimambo24 Oct
Ebola yagundulika New York
![](https://lh5.googleusercontent.com/-EtWZ19V0JkI/VEhzb86ZLkI/AAAAAAAAPck/PEa2KrdUvjA/w1000-h556-p/NYSkyline.jpg)
Dr Craig Spencer ambaye ni mmoja kati ya madaktari wasio na mipaka alianza kujisikia maumivu na homa siku chache tu baada ya kurejea Marekani akitokea Afrika Magharibi.
Siku ya Alhamisi wiki hii Craig alipelekwa hospitali kwaajili ya vipimo na kisha akatengwa kwa uchunguzi zaidi wa afya yake.
Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari...
11 years ago
KwanzaJamii25 Apr
Shaba ya Bluu yagundulika Tunduru
10 years ago
Habarileo31 Mar
Gesi zaidi yagundulika Mtwara
WIZARA ya Nishati na Madini iko kwenye mchakato wa kukamilisha uandaaji wa sheria tatu, zitakazowasilishwa bungeni wakati wowote, zenye lengo la kuweka uwazi katika maeneo yote yanayohusu mikataba ya uchimbaji wa madini na gesi.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6LjPLZ8wv3el1pN3r7WHLooxc2suItFrDIJUtMEljWwGI67aRjn3HglUVpUpeUSDaylPYPbvX*SmF-mtCfnU5-fLOIoYDqYf/asers.gif?width=650)
DAWA MPYA YA VIDONDA VYA TUMBO YAGUNDULIKA
9 years ago
BBCSwahili19 Nov
Almasi kubwa yapatikana Botswana
11 years ago
Mwananchi25 May
Watanzania kuleni nyama ya panya ina vitamini adimu mwilini
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lJMz45IuTHo/UwwALdBrIiI/AAAAAAAFPW0/Hyh5bo5qwtI/s72-c/IMG_0087.jpg)
10 years ago
Dewji Blog18 Feb
Viumbe adimu duniani hifadhi ya Jozani vyanusurika kuteketea kwa moto
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Kilimo na Mali Asili wakati alipotembelea eneo liloathirika kwa moto kwenye Hifadhi ya Msitu wa Jozani Mkoa wa Kusini Unguja. Mwanzo kushoto ni Waziri wa Kilimo na Mali Asili Zanzibar Dr. Sira Ubwa Mwamboya na Katbu Mkuu wa Wizara hiyo Nd. Afan Othman Maalim.
Vikosi vya ulinzi na Uokozi kwa kushirikiana na wafanyakazi wa Wizara ya Kilimo na Mali Asili pamoja na wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja wamefanikiwa...