Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RAIS WA SOKO LA ALMASI WA ANTIWERPEN AKUTANA NA MABALOZI WA AFRIKA WA NCHI ZENYE MIGODI YA ALMASI

Rais wa Soko la Almasi la Antiwerpen Mhe. Stephane Fischler (katikati) akizungumza na Mabalozi wa Afrika wanaokaa Ubelgiji wa nchi zinazozalisha almasi. Soko la Almasi la Antiwerpen kila mwaka linauza almasi yenye thamani ya Euro bilioni 52. Rais huyo pamoja na mambo mengine amewaeleza Mabalozi mpango wa soko hilo kuanzisha utaratibu wa kutoa takwimu za uzalishaji na mwenendo wa bei ya almasi katika soko la dunia. Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala ameshiriki katika...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Mh. Rais Kuna Fedha Huko Kwetu- Dr. Almasi

MWIGIZAJI wa filamu mahiri katika tasnia ya filamu Bongo Steven Almasi ‘ Dr. Almasi’ anasema kuwa tasnaia ya filamu inaweza kuzalisha ajira nyingi na kutengeneza fedha nyingi endapo tu mkuu wan chi atatoa kipaumbele kwa kazi za wasanii wa filamu kulindwa na kupewa nafasi katika kama sekta rasmi kwa vitendo.

“Kama ningepata nafasi ya kuongea na Mh. Rais Kikwete ningemshauri kuhusu pesa inayopotea katika tasnia ya filamu kwa kuwaachia wezi wa kazi za filamu wanaofaidika kila siku bila jasho...

 

9 years ago

BBCSwahili

Almasi kubwa yapatikana Botswana

Jiwe la pili lenye thamani zaidi duniani la Almasi limegunduliwa nchini Botswana.

 

9 years ago

Mtanzania

Almasi adimu yagundulika Tanzania

Omar-ChamboNa Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

KAMPUNI ya madini ya Petra Diamonds imegundua aina adimu ya almasi ya rangi ya pinki yenye uzito wa karati 23.16 kutoka mgodi wake wa Williamson uliopo Mwadui, Shinyanga.

Kwa mujibu wa taarifa ya kampuni hiyo ya madini, almasi hiyo ya pinki, moja ya madini ya rangi yanayosakwa zaidi duniani ni mfano wa ubora wa hali ya juu na ugunduzi mkubwa na muhimu zaidi kufanywa na Petra kutoka mgodi huo hadi sasa.

“Almasi za pinki hupatikana katika migodi michache...

 

9 years ago

Michuzi

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Mazingira Mh. Dk. Binilith Mahenge akutana na mabalozi wa Uswisi na Ufaransa

Waziri wa  Nchi  Ofisi ya Makamu wa Rais - Mazingira, Mh. Dk. Binilith Mahenge (wa kwanza kushoto), akijadiliana  na Balozi wa Uswisi  nchini, Bi Florence Tinguely Mattli (katikati),  kuhusu Mkataba wa Mazingira wa Minamata unaohusu matumizi ya Kemikali ya Zebaki na Madhara yake katika Mazingira, Majadilaino hayo yamefanyika katika Ofisi ya Waziri Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Mazingira jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na  Katibu Mkuu wa Ofis hiyo Bw. Sazi Salula (kulia), jijini Dar es...

 

5 years ago

Michuzi

ZOEZI LA UCHENJUAJI MCHANGA WA ALMASI LAANZA RASMI MWADUI

Vikundi vya wachimbaji wadogo Wilayani Kishapu wakifanya maandalizi ya kuchenjua mchanga wa almasi katika eneo lilioko nje kidogo ya mji mdogo wa Maganzo Shinyanga.Vikundi vya wachimbaji wadogo Wilayani Kishapu wakifanya maandalizi ya kuchenjua mchanga wa almasi katika eneo lilioko nje kidogo ya mji mdogo wa Maganzo Shinyanga.Sophia Kasenga Msimamizi wa Kikundi cha Oyster bay Family akionesha punje ya almasi iliyopatikana baada ya kikundi chake kuchuja mchanga wa almasi jana nje kidogo ya...

 

10 years ago

Michuzi

HARUSI YA NIAH ALMASI NA JACKLINE BUKUKU WA NSSF MBEYA

Mtumishi wa Nssf Mbeya Niah Almasi   akiwa na nyuso ya furaha baada ya  ya kufunga pingu za maisha na Jackline Bukuku  ndoa iliyofungwa mwishoni mwa wiki iliyopita katika msikiti wa Forest jijini Mbeya na maulid iliyofanyika nyumbani kwa Bw.Harusi Brock T jijini hapa .


KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

 

10 years ago

Vijimambo

HARUSI YA NIAH ALMASI NA JACKLINE BUKUKU WA NSSF MBEYA YAFANA

Mtumishi wa Nssf Mbeya Niah Almasi   akiwa na nyuso ya furaha baada ya  ya kufunga pingu za maisha na Jackline Bukuku  ndoa iliyofungwa mwishoni mwa wiki iliyopita katika msikiti wa Forest jijini Mbeya na maulid iliyofanyika nyumbani kwa Bw.Harusi Brock T jijini hapa .

Bw.Almasi na Mke wake Jackline katika ubora wao



Baadhi ya watumishi wa Nssf Mbeya wakiwa na nyuso za furaha mara baada ya mtumishi mwenzao kupata jiko ,(kushoto)Mr Maige  na Khadija Rashidi Shibobo.


watoto wa madrasa wakisoma dua...

 

5 years ago

Michuzi

KUELEKEA MIAKA 56 YA MUUNGANO TULICHONACHO NI ALMASI TUSIDANGANYIKE NA WALIOSHINDWA KUUNGANA





Na Mwandishi Wetu – Maelezo


Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni Jamhuri ambayo imefanikiwa kuulinda, kuulea, na kudumisha Muungano kwa mIongo mitano na nusu sasa ambapo unarithishwa kwa vizazi kwa kuwa waasisi wengi wa Muungano wametangulia mbele ya haki na kuufanya kuwa mfano wa pekee katika sayari ya dunia.


Unapoitaja Jamhuri ya Muungano wa Tanzania huna budi kuwashukuru kwa dhati kabisa Waasisi wa Muungano ambao ni Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Shekhe Abeid Amani Karume,...

 

11 years ago

Mwananchi

Elimu yetu na kisa cha zuzu mwenye donge la almasi

Wakati fulani katika hotuba zake, Mwalimu Julius Nyerere aliwahi kutoa mfano juu ya uwezekano wa Mtanzania kuwa na donge la almasi mkononi mwake, lakini akatokea mtu akiwa na kipande cha jiwe kinachong’ara na kumrubuni kuwa jiwe hilo lina thamani kuliko dhahabu yake, naye Mtanzania akakubali kubadilishana naye kama zuzu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani