Elimu yetu na kisa cha zuzu mwenye donge la almasi
Wakati fulani katika hotuba zake, Mwalimu Julius Nyerere aliwahi kutoa mfano juu ya uwezekano wa Mtanzania kuwa na donge la almasi mkononi mwake, lakini akatokea mtu akiwa na kipande cha jiwe kinachong’ara na kumrubuni kuwa jiwe hilo lina thamani kuliko dhahabu yake, naye Mtanzania akakubali kubadilishana naye kama zuzu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qMaB1ymUijA/VBNmWD_zwHI/AAAAAAAGjYE/8K5gxVRPqC0/s72-c/unnamed%2B(33).jpg)
RAIS WA SOKO LA ALMASI WA ANTIWERPEN AKUTANA NA MABALOZI WA AFRIKA WA NCHI ZENYE MIGODI YA ALMASI
![](http://4.bp.blogspot.com/-qMaB1ymUijA/VBNmWD_zwHI/AAAAAAAGjYE/8K5gxVRPqC0/s1600/unnamed%2B(33).jpg)
10 years ago
Mwananchi03 Feb
Kampeni za elimu bure zitasaidia kuboresha elimu yetu?
Kipindi cha kampeni za uchaguzi zinapokaribia, ni wakati muhimu sana kwa wananchi kuongeza umakini katika kusikiliza na kuamua ipi ni hoja au ahadi ya msingi kwa mustakbali wa nchi yetu.
10 years ago
Dewji Blog10 Feb
Viongozi wa Anglican watembelea shamba la Waziri Mkuu Zuzu Dodoma kujifunza kilimo bora cha Zabibu na Embe
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-8LXuL-IJiwc/VNoatA93aGI/AAAAAAAHC2M/bVYHrBypxL0/s72-c/unnamed%2B(16).jpg)
VIONGOZI WA KANISA LA ANGLICAN WATEMBELA SHAMBA LA WAZIRI MKUU ZUZU DODOMA KUJIFUNZA KILIMO BORA CHA ZABIBU NA EMBE
![](http://2.bp.blogspot.com/-8LXuL-IJiwc/VNoatA93aGI/AAAAAAAHC2M/bVYHrBypxL0/s1600/unnamed%2B(16).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-LNKXeev28eM/VNoauKb1xoI/AAAAAAAHC2Q/NY8EpNqe7CA/s1600/unnamed%2B(17).jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GgrM3U-k7JsTUTdCGDlIY4pvD6ddVkSGR0WFQpv7TZvqw-p4IU4TrnLLwFNJIk6OhjkQHgy*aqsM3r1SANAwYHmZGwov5*NR/Magamba.jpg?width=650)
MKE ASEMA: MUME KANITIMUA KISA, NIMEZAA MTOTO MWENYE MAGAMBA
Shani Ramadhani WE mshukuru Mungu! Rose Joseph (19), mzaliwa wa Mkoa wa Mara anayeishi Kirumba jijini Mwanza amefukuzwa na mumewe akituhumiwa kuitia mkosi familia baada ya kuzaa mtoto Violeth (miezi nane) mwenye magamba (matatizo ya ngozi). Mtoto Violeth akiwa na mama yake. Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni, Rose alisema, baba yake mzazi alimlazimisha kuolewa akiwa na umri wa miaka 14 baada ya kuhitimu elimu ya darasa...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mtvGQMaGEL0/VlqYSW9M6SI/AAAAAAAII4U/eUoUCys3Nd8/s72-c/1.png)
Serikali yafuta rasmi ada kwa elimu ya sekondari kidato cha kwanza hadi cha nne na michango yote katika elimu ya msingi
Serikali imeamua kutoa elimu pasipo malipo kwa elimu ya msingi kuanzia elimu ya awali hadi kidato cha nne, kuanzia mwaka wa masomo wa 2016 kama ilivyoahidi. Azma hii ya serikali ni katika kutekeleza sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2014 ambayo ina lengo la kuhakikisha kwamba watoto wote wa Tanzania wanapata Elimu bila kikwazo ikiwemo ada au malipo. Katika kutekeleza maamuzi hayo, ada zote zilizokuwa zikilipwa kwa ajili ya elimu ya kidato cha kwanza hadi cha nne zimefutwa.Pia, waraka wa...
10 years ago
Mwananchi09 Sep
Zitto: Tumechezea elimu yetu tutajuta
Kila baada ya matokeo ya mitihani ya taifa kutolewa, taifa hugubikwa na mijadala mingi kuhusu hali ya elimu nchini.
11 years ago
Mwananchi22 Jul
Anguko la elimu yetu sasa halikwepeki- 2
Mathalan Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kimekuwa kikishika nafasi ya nne kwa ubora wa elimu kwa miaka kadhaa sasa miongoni mwa vyuo vikuu bora 100 barani Afrika. Je, nafasi hii itaendelea kutetewa na chuo kinachoiwakilisha nchi kwa miaka michache ijayo?
9 years ago
Mwananchi05 Jan
Elimu yetu ni mkombozi au mdidimizaji wa jamii?
Kimsingi, elimu ndiyo taa na pia ndiyo kiza; inategemea unaiona vipi, umefundishwa nini na nani na kwa jinsi gani.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania