Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Anguko la elimu yetu sasa halikwepeki- 2

Mathalan Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kimekuwa kikishika nafasi ya nne kwa ubora wa elimu kwa miaka kadhaa sasa miongoni mwa vyuo vikuu bora 100 barani Afrika. Je, nafasi hii itaendelea kutetewa na chuo kinachoiwakilisha nchi kwa miaka michache ijayo?

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mafunzo kwa walimu kunusuru anguko la elimu

Katika miaka ya hivi karibuni, taifa limeshuhudia anguko kubwa la kiwango cha ubora wa elimu nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

Kampeni za elimu bure zitasaidia kuboresha elimu yetu?

Kipindi cha kampeni za uchaguzi zinapokaribia, ni wakati muhimu sana kwa wananchi kuongeza umakini katika kusikiliza na kuamua ipi ni hoja au ahadi ya msingi kwa mustakbali wa nchi yetu.

 

9 years ago

Raia Mwema

Tuiamini Chadema ya sasa na gesi yetu?

KILA nikitafakari yanayotokea katika nchi yetu Tanzania naingiwa na shaka na hofu kubwa kwamba tu

Johnson Mbwambo

 

10 years ago

Mwananchi

Elimu yetu imepitia mabadiliko gani?

Ndani ya utandawazi, elimu isiyotosheleza, tafsiri yake ni umaskini zaidi; wakati elimu zaidi tafsiri yake ni maisha bora zaidi.

 

9 years ago

Mwananchi

Elimu yetu ni mkombozi au mdidimizaji wa jamii?

Kimsingi, elimu ndiyo taa na pia ndiyo kiza; inategemea unaiona vipi, umefundishwa nini na nani na kwa jinsi gani.

 

10 years ago

Mwananchi

Zitto: Tumechezea elimu yetu tutajuta

Kila baada ya matokeo ya mitihani ya taifa kutolewa, taifa hugubikwa na mijadala mingi kuhusu hali ya elimu nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

Elimu yetu sawa na kuchuma papai kwenye mwembe - 2

Hoja yangu tangu wiki iliyopita ni umuhimu wa kuelimisha watu kwa usahihi. Nilisema kuwa kuelimisha watu siyo suala la hiari, siyo suala la kubahatisha, siyo suala la miujiza wala kuhadaa watu. Ni hatua za kifikra na vitendo sahihi. Ni kipaumbele namba moja kwa nchi yoyote.

 

11 years ago

Mwananchi

Ni mwaka mpya, tufikiri upya kuinusuru elimu yetu

Niwatakie heri na baraka ya mwaka mpya 2014. Ni jambo la kumshukuru Mungu kwa kuvuka mwaka salama na kuanza mwaka mwingine kuijenga nchi yetu.

 

10 years ago

Mwananchi

Tunatumia vigezo vipi kupima ubora wa elimu yetu?

Waandishi Daniel Sifuna na Nobuhide Sawamura katika kitabu chao: ‘Challenges of Quality Education in Sub-Saharan African Countries,’ wanasema kuwa wasomi na wataalamu wa elimu duniani wanatofautiana katika kuelezea maana ya elimu bora au ubora wa elimu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani