Mafunzo kwa walimu kunusuru anguko la elimu
Katika miaka ya hivi karibuni, taifa limeshuhudia anguko kubwa la kiwango cha ubora wa elimu nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi24 Feb
Mafunzo kwa walimu nguzo ya elimu bora
“Sasa ninaifurahia kazi yangu. Ninajisikia vizuri kuwa mwalimu. Natamani BRN ingeanza tangu kitambo. Hata hivyo, naona mabadiliko makubwa yanakuja tukiendelea na kasi hii…â€
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_gAPXjhJVeI/Uvkq36XRJ0I/AAAAAAAFMO0/7U2sWMBh1EA/s72-c/unnamed+(43).jpg)
Katibu Mkuu Elimu afungua Mafunzo Kazini kwa Walimu, atembelea shule na vyuo mkoani Mwanza
Matukio mbalimbali katika ziara ya siku moja ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Sifuni Mchome mkoani Mwanza. Na hotuba yake katika ufunguzi wa Mafunzo Kazini kwa Walimu wa Sayansi, Hisabati na TEHAMA wanaofundisha katika shule za sekondari katika mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Tabora, Singida, Kagera na Mara.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Sifuni Mchome katika maabara ya TEHAMA katika shule ya sekondari Pamba.
Katibu Mkuu...
![](http://2.bp.blogspot.com/-_gAPXjhJVeI/Uvkq36XRJ0I/AAAAAAAFMO0/7U2sWMBh1EA/s1600/unnamed+(43).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-wFV_ymyNtNU/Uvkq6V321MI/AAAAAAAFMPY/mmjgM0owzyg/s1600/unnamed+(44).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0Qhf4yxOHhA/VCI_XtC3i6I/AAAAAAACrh0/ax0Mkz1a2cc/s72-c/New%2BPicture.png)
TASAF YAANZA MAFUNZO KWA WATAALAMU WA KISEKTA KWA AJILI YA UIBUAJI MIRADI KWA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI
Mfuko wa Maendeleo ya jamii TASAF umeanza kuwajengea uwezo wataalamu ngazi ya Kata kutoka mamlaka nane za utekelezaji wa mpango wa Kunusuru Kaya Maskini na kuwawezesha walengwa wa Mpango wa kunusuru kaya masini kuibua miradi inayoweza kutekelezeka ndani ya kipindi kifupi katika mpango wa miradi ya ajira kwa walengwa (Public Works Project kwa lengo la kuwaongezea kipato).
Akifungua warsha ya kuwajengea uwezo wataalamu hao mjini Bagamoyo mkoani Pwani, Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF, Bwana...
Akifungua warsha ya kuwajengea uwezo wataalamu hao mjini Bagamoyo mkoani Pwani, Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF, Bwana...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9WkhAIU9b3w/VZZT4gL1GEI/AAAAAAAAHDE/MirZK2en77w/s72-c/P7039546.jpg)
KAIMU KATIBU TAWALA MKOA WA RUKWA AFUNGUA RASMI MAFUNZO YA SIKU SITA YA WALIMU WAKUU NA WARATIBU ELIMU KATA
![](http://3.bp.blogspot.com/-9WkhAIU9b3w/VZZT4gL1GEI/AAAAAAAAHDE/MirZK2en77w/s640/P7039546.jpg)
11 years ago
MichuziTASAF YATOA MAFUNZO KWA WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASIKINI HUKO UNGUJA
10 years ago
Michuzi12 Apr
9 years ago
MichuziNaibu Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundu Mhe. Eng Stella Manyanya afungua mafunzo ya walimu mahiri wa masomo ya Hisabati, Kiingereza na Kiswahili Ruvuma.
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi Eng Stella Manyanya akizungumza na washiriki wa mafunzo ya Walimu Wawezeshaji wa masomo ya Hisabati, Kiingereza na Kiswahili kutoka shule za msingi katika Halmashauri za Mkoa wa Ruvuma na Halmashauri ya Ludewa Mkoa Njombe.
11 years ago
Michuzi08 Jul
WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO, Dr. SHUKURU KAWAMBWA, AIPONGEZA SHULE YA SEKONDARI " IMPERIAL" KWA JINSI ILIVYO JIPANGA KUTOA ELIMU BORA.
Waziri wa Elimu na Mafunzo, Dr. Shukuru Kawambwa, jana Tarehe 7 July-2014, alitembelea maenesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa (TANTRADE) , yajulikanayo kama maonesho ya Saba Saba, na kutembelea Banda la Shule ya Sekondari Imperial, Dr. Kawambwa ametoa pongezi kwa uongozi na waalimu wa Shule ya Sekondari Imperial, kwa Jinsi ilivyojipanga kuhakikisha inatoa Elimu Bora Nchini, inayokidhi viwango vya Kimataifa, kwa gharama nafuu.
Shule ya Sekondari Imperial, iko Msolwa-Chalinze.
Shule imejengwa...
Shule ya Sekondari Imperial, iko Msolwa-Chalinze.
Shule imejengwa...
11 years ago
Mwananchi22 Jul
Anguko la elimu yetu sasa halikwepeki- 2
Mathalan Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kimekuwa kikishika nafasi ya nne kwa ubora wa elimu kwa miaka kadhaa sasa miongoni mwa vyuo vikuu bora 100 barani Afrika. Je, nafasi hii itaendelea kutetewa na chuo kinachoiwakilisha nchi kwa miaka michache ijayo?
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania