Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Elimu yetu ni mkombozi au mdidimizaji wa jamii?

Kimsingi, elimu ndiyo taa na pia ndiyo kiza; inategemea unaiona vipi, umefundishwa nini na nani na kwa jinsi gani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kampeni za elimu bure zitasaidia kuboresha elimu yetu?

Kipindi cha kampeni za uchaguzi zinapokaribia, ni wakati muhimu sana kwa wananchi kuongeza umakini katika kusikiliza na kuamua ipi ni hoja au ahadi ya msingi kwa mustakbali wa nchi yetu.

 

11 years ago

Habarileo

‘Jamii Kwanza’ yazinduliwa na rai ya elimu kubadili jamii

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amewataka watu waliopata elimu kuitumia kwa manufaa ya umma ili kuleta mabadiliko ya haraka katika jamii.

 

9 years ago

Dewji Blog

Jamii yetu iko mikononi mwetu

Mratibu wa Vijana, Bahati Juma (wa kwanza kulia) akiwa na wanafunzi wa darasa la saba, shule ya Msingi Uchunga, kupitia pamoja somo la kiswahili kituoni hapo.

Mabadiliko katika jamii yoyote kwa kiasi kikubwa huchangiwa na ongezeo la mahitaji ya binadamu katika mambo mbalimbali. Kwamba, kadri dunia inavyopitia mabadiliko, kadiri ile ile changamoto, mahitaji na huduma katika jamii husika huongezeka. Ili kufikia malengo yanayotokana na misukumo na mageuzi yasiyokwepeka, binadamu amelazimika...

 

11 years ago

Mwananchi

Anguko la elimu yetu sasa halikwepeki- 2

Mathalan Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kimekuwa kikishika nafasi ya nne kwa ubora wa elimu kwa miaka kadhaa sasa miongoni mwa vyuo vikuu bora 100 barani Afrika. Je, nafasi hii itaendelea kutetewa na chuo kinachoiwakilisha nchi kwa miaka michache ijayo?

 

10 years ago

Mwananchi

Elimu yetu imepitia mabadiliko gani?

Ndani ya utandawazi, elimu isiyotosheleza, tafsiri yake ni umaskini zaidi; wakati elimu zaidi tafsiri yake ni maisha bora zaidi.

 

10 years ago

Mwananchi

Zitto: Tumechezea elimu yetu tutajuta

Kila baada ya matokeo ya mitihani ya taifa kutolewa, taifa hugubikwa na mijadala mingi kuhusu hali ya elimu nchini.

 

11 years ago

Mwananchi

Ni mwaka mpya, tufikiri upya kuinusuru elimu yetu

Niwatakie heri na baraka ya mwaka mpya 2014. Ni jambo la kumshukuru Mungu kwa kuvuka mwaka salama na kuanza mwaka mwingine kuijenga nchi yetu.

 

10 years ago

Mwananchi

Ni mwaka wa tathmini na fikra mpya kwenye elimu yetu

Wiki hii inahitimisha mwaka 2014 na kuanza rasmi Mwaka Mpya 2015. Ni jambo la kumshukuru Mungu kwa neema zake katika mambo yote aliyotujalia mwaka mzima uliopita.

 

10 years ago

Mwananchi

Tunatumia vigezo vipi kupima ubora wa elimu yetu?

Waandishi Daniel Sifuna na Nobuhide Sawamura katika kitabu chao: ‘Challenges of Quality Education in Sub-Saharan African Countries,’ wanasema kuwa wasomi na wataalamu wa elimu duniani wanatofautiana katika kuelezea maana ya elimu bora au ubora wa elimu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani