Ni mwaka wa tathmini na fikra mpya kwenye elimu yetu
Wiki hii inahitimisha mwaka 2014 na kuanza rasmi Mwaka Mpya 2015. Ni jambo la kumshukuru Mungu kwa neema zake katika mambo yote aliyotujalia mwaka mzima uliopita.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi07 Jan
Ni mwaka mpya, tufikiri upya kuinusuru elimu yetu
Niwatakie heri na baraka ya mwaka mpya 2014. Ni jambo la kumshukuru Mungu kwa kuvuka mwaka salama na kuanza mwaka mwingine kuijenga nchi yetu.
11 years ago
GPLANGALIA ALAMA HIZI, ANZA MWAKA NA FIKRA MPYA!
KUNA wakati unafikiria kufanya kitu fulani muhimu kwa ajili ya yule uliyemteua kuwa mwenzi wa maisha yako? Je, huwa unafikiria kama upo katika uhusiano sahihi au unakwenda tu mradi siku zinakwenda?
Wapo watu ambao wako tu kwenye uhusiano kabla ya uchumba lakini matukio kibao yametokea. Wameshafumaniana, wameshapigana, wameshatoleana maneno machafu, wameshadhalilishana nk. Je, ni sahihi kuendelea katika uhusiano huo? Jibu ni...
11 years ago
GPLANGALIA ALAMA HIZI, ANZA MWAKA NA FIKRA MPYA!-2
KUDUMU katika uhusiano kwa muda mrefu bila ndoa si kigezo kwamba mwenzi wako anakupenda. Tulia kwa muda, anza mwaka ukiwa na fikra mpya. Hebu jiulize, uko kwenye uhusiano na mwenzi wako kwa muda gani sasa? Kuna dalili za kuingia kwenye ndoa? Marafiki, wanaotakiwa kujivunia kudumu kwenye uhusiano ni wanandoa. Ni halali kabisa kwa mtu aliye kwenye ndoa kutamba kwamba anafurahi kwamba yupo na mwenzake muda mrefu kwa sababu tayari...
11 years ago
GPLANGALIA ALAMA HIZI, ANZA MWAKA NA FIKRA MPYA!-3
KAMA hutajitambua na kujithamini, hatatokea mtu wa kukujulisha kuwa wewe ni mwenye thamani. Maisha yako ni muhimu, afya yako pia ni muhimu sana. Kila kitu chako kina umuhimu wake, lakini usitegemee mtu akueleze, anza wewe! Marafiki zangu tunaangalia namna ya kugundua penzi la kweli na kusimamia katika uhusiano ulio sahihi. Nilieleza katika matoleo yaliyopita kuwa, ni vizuri kuwa kwenye uhusiano wenye malengo. Kwamba kudumu...
11 years ago
GPLANGALIA ALAMA HIZI, ANZA MWAKA NA FIKRA MPYA!-5
NILIANZA mada hii wiki ya kwanza ya mwaka huu mpya na leo nahitimisha katika juma la mwisho la mwezi huu. Naam! Lengo lilikuwa ni kuwafumbua macho na kutambua penzi la dhati ili tuwe na fikra mpya. Marafiki zangu, mapenzi si mateso ya moyo. Hatupaswi kuwa kwenye uhusiano wa kimazoea tu. Lazima tuangalie, tupo kwenye mstari sahihi? Baada ya utambuzi huo, sasa tunaweza kuamua kuendelea au lah! Wiki jana nilimalizia pale nilipoanza...
10 years ago
Mwananchi10 Feb
Elimu yetu sawa na kuchuma papai kwenye mwembe - 2
Hoja yangu tangu wiki iliyopita ni umuhimu wa kuelimisha watu kwa usahihi. Nilisema kuwa kuelimisha watu siyo suala la hiari, siyo suala la kubahatisha, siyo suala la miujiza wala kuhadaa watu. Ni hatua za kifikra na vitendo sahihi. Ni kipaumbele namba moja kwa nchi yoyote.
5 years ago
MichuziHaki Elimu Yatoa Tathmini ya Mfumo wa Elimu Baada ya Covid 19
Na Humphrey Shao, Dar es Salaam
Tasisi isiyo ya Kiserikali ya Haki
Elimu Tanzania imesema katika kipindi hiki cha shule kufungwa nje ya utaratibu
rasmi wa likizo kimetufanya tugundue namna mfumo wetu wa utoaji elimu ulivyo na
mapungufu mengi.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Shirika
Hilo Dk.John Kalaghe alipokuwa akizungumza na wadau wa elimu kupitia mkutano
uliandaliwa na tasisi hiyo uliofanyika kwa njia ya mtandao wakati wa
mahadhimishoi ya siku ya mtoto wa Afrika.
Dk Kalaghe alisema kuwa...
Tasisi isiyo ya Kiserikali ya Haki
Elimu Tanzania imesema katika kipindi hiki cha shule kufungwa nje ya utaratibu
rasmi wa likizo kimetufanya tugundue namna mfumo wetu wa utoaji elimu ulivyo na
mapungufu mengi.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Shirika
Hilo Dk.John Kalaghe alipokuwa akizungumza na wadau wa elimu kupitia mkutano
uliandaliwa na tasisi hiyo uliofanyika kwa njia ya mtandao wakati wa
mahadhimishoi ya siku ya mtoto wa Afrika.
Dk Kalaghe alisema kuwa...
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Tumeanza mwaka, tuache maigizo kwenye elimu
Mwaka 2013 ulitawaliwa na vituko katika sekta ya elimu ambayo vinatokana na tabia ya Serikali kujibu maswali magumu kwa majibu mepesi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania