Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HARUSI YA NIAH ALMASI NA JACKLINE BUKUKU WA NSSF MBEYA YAFANA

Mtumishi wa Nssf Mbeya Niah Almasi   akiwa na nyuso ya furaha baada ya  ya kufunga pingu za maisha na Jackline Bukuku  ndoa iliyofungwa mwishoni mwa wiki iliyopita katika msikiti wa Forest jijini Mbeya na maulid iliyofanyika nyumbani kwa Bw.Harusi Brock T jijini hapa .

Bw.Almasi na Mke wake Jackline katika ubora wao



Baadhi ya watumishi wa Nssf Mbeya wakiwa na nyuso za furaha mara baada ya mtumishi mwenzao kupata jiko ,(kushoto)Mr Maige  na Khadija Rashidi Shibobo.


watoto wa madrasa wakisoma dua...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

HARUSI YA NIAH ALMASI NA JACKLINE BUKUKU WA NSSF MBEYA

Mtumishi wa Nssf Mbeya Niah Almasi   akiwa na nyuso ya furaha baada ya  ya kufunga pingu za maisha na Jackline Bukuku  ndoa iliyofungwa mwishoni mwa wiki iliyopita katika msikiti wa Forest jijini Mbeya na maulid iliyofanyika nyumbani kwa Bw.Harusi Brock T jijini hapa .


KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

 

10 years ago

Michuzi

RAIS WA SOKO LA ALMASI WA ANTIWERPEN AKUTANA NA MABALOZI WA AFRIKA WA NCHI ZENYE MIGODI YA ALMASI

Rais wa Soko la Almasi la Antiwerpen Mhe. Stephane Fischler (katikati) akizungumza na Mabalozi wa Afrika wanaokaa Ubelgiji wa nchi zinazozalisha almasi. Soko la Almasi la Antiwerpen kila mwaka linauza almasi yenye thamani ya Euro bilioni 52. Rais huyo pamoja na mambo mengine amewaeleza Mabalozi mpango wa soko hilo kuanzisha utaratibu wa kutoa takwimu za uzalishaji na mwenendo wa bei ya almasi katika soko la dunia. Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala ameshiriki katika...

 

9 years ago

Bongo Movies

Uchaguzi 2015: Jackline Wolper Atangaza Kujiita ‘Jackline Lowassa’

Mastaa wa Bongo Movies, Jackline Wolper , Aunt Ezekiel na Shamsa Ford ambao wamekuwa wakimuunga mkono mgombea urasi wa UKAWA kupitia tiketi ya CHADEMA, Mh Edward Lowassa siku ya jana kwenye  Mkutano wa Edward Lowassa na wanawake wa Dar es salaam kwenye ukumbi wa Millenium Tower, mbali na kuelezea kumuunga mkono mgombea huyo  mastaa  kumzawadia keki ya ‘Birthday’ ya kutimiza 62 ya kuzaliwa ya mgombea huyo.

Akiongea kwenye mkutano huo wolper alitangaza kuanzia jana atakuwa akiitwa Jackline...

 

10 years ago

Michuzi

HARUSI YA KANUMBA YAFANA ATLANTA GEORGIA

IMG_6523Bw.harusi David Kanumba akiwa na mkewe Nadege na wakwe zake mara baada ya kufunga ndoa siku ya Jumamosi Machi 28,2015, katika kanisa la Faith Ministry International Atlanta Georgia. IMG_6563Bw.harusi na Bi harusi wakiwa Bw.Togo na mkewe na mwisho kulia ni mchungaji Mwinamila. IMG_6569Bw.harusi na bi.harusi wakiwa na Best man Oscar na Matron Renee . 

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

 

11 years ago

Mwananchi

Harusi ya Rais Peter Mutharika yafana

Ilikuwa ni nderemo na vifijo katika mji wa Blantyre nchini Malawi baada ya Rais Peter Mutharika wa nchi hiyo kufunga ndoa na Gertrude Maseko.

 

10 years ago

Vijimambo

HARUSI YA SIMON NA ANGIE YAFANA WINSTON SALEM, NORTH CAROLINA

Simon na Angie wakishuka kwenye gari tayari kuingia ukumbini kusherehekea harusi yao iliyofanyika siku ya Jumamosi Octoba 25, 2014 mjini Winston Salem jimbo la North Carolina nchini Marekani.Bwana na Bibi harusi wakiingia ukumbini huku wakisindikizwa na waimbo wa Issa Matona Kimasomaso.Bwana na bibi harusi wakiwa meza yao katika siku yao maalum ya harusi yao.Bwana na bibi harusi katika densi yao ya kwanza kwa mara ya kwanza kama mume na mke.Bibi harus akicheza na baba yake Bwn. Thom Chesebro

 

11 years ago

GPL

HARUSI YA MBUNGE JOSHUA NASSARI NA ANANDE NNKO KANISA LA PENTEKOSTE KALINGA MERU, YAFANA

Msafara wa gari chache majira ya saa 2:30 ulianza safari katika viwanja vya Usa-River ambako gari za maharusi zilikuwa zikipambwa mdogo mdogo zikapanda Kilima zikiwa na maharusi Joshua Nassari na Anande Nnko safari ilikuwa ni kanisa la Kipentekoste la Kilinga,Meru tayari kwa ajili ya Ndoa.…

 

10 years ago

Mwananchi

Harusi za Mbeya lazima ulishe wapita njia eneo lako

Ama kweli duniani kuna mambo. Sikutarajia kuona gharama kubwa zaidi za harusi kwenye eneo masikini.

 

11 years ago

Mwananchi

NSSF yawaburuta waajiri kortini Mbeya

Waajiri watatu mwishoni mwa wiki walifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoani hapa wakikabiliwa na mashtaka ya kutowasilisha michango ya wafanyakazi ambao ni wanachama wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) bila sababu za msingi. Michango hiyo ni karibu Sh140 milioni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani