Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Harusi ya Rais Peter Mutharika yafana

Ilikuwa ni nderemo na vifijo katika mji wa Blantyre nchini Malawi baada ya Rais Peter Mutharika wa nchi hiyo kufunga ndoa na Gertrude Maseko.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS WA MALAWI PROFESA PETER MUTHARIKA JIJINI WASHINGTON DC, MAREKANI

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais wa Malawi Profesa Peter Mutharika aliyemtembelea kumjulia hali kwenye hoteli ya Ritz Carlton katika kitongoji cha George Town jijini Washington DC, Marekani, ambapo wote walikuwa wamefikia. Rais Kikwete na Rais Mutrharika, ambao walikuwa miongoni mwa viongozi wa Afrika walioalikwa kuhudhuria Mkutano wa Kwanza wa Wakuu wa Nchi za Bara la Afrika chini ya uenyekiti wa Rais Barack Obama wa Marekani, walifanya maongezi mafupi yasiyo rasmi, ambapo...

 

11 years ago

BBCSwahili

Peter Mutharika ndie rais mteule Malawi

Hatimaye Malawi imepata Rais mpya baada ya mivutano ya kisheria kwa wiki nzima.

 

11 years ago

Michuzi

Profesa Peter Mutharika Rais ashinda kinyang'anyiro cha Urais Malawi

Profesa Peter Muthirika anayeongoza chama  cha DPP ndiye rais mteule nchini Malawi
Hatimaye Malawi imepata Rais mpya baada ya mivutano ya kisheria kwa wiki nzima. Mwandishi wa BBC Baruan Muhuza amesema kutoka mjini Blantyre kuwa Profesa Peter Mutharika ameshinda uchaguzi huo kwa kupata asilimia 36.4 ya kura zote akifuatiwa na Dr Lazarus Chakwera mwenye asilimia 27.8 huku Rais anayemaliza muda wake Dr Joyce Banda akishika nafasi ya tatu kwa asilimia 20.2 na Atupele Muluzi amekuwa wa...

 

11 years ago

BBC

Peter Mutharika wins Malawi election

Opposition candidate Peter Mutharika is declared the winner of Malawi's disputed presidential election in a vote a rival says was rigged.

 

10 years ago

Michuzi

HARUSI YA KANUMBA YAFANA ATLANTA GEORGIA

IMG_6523Bw.harusi David Kanumba akiwa na mkewe Nadege na wakwe zake mara baada ya kufunga ndoa siku ya Jumamosi Machi 28,2015, katika kanisa la Faith Ministry International Atlanta Georgia. IMG_6563Bw.harusi na Bi harusi wakiwa Bw.Togo na mkewe na mwisho kulia ni mchungaji Mwinamila. IMG_6569Bw.harusi na bi.harusi wakiwa na Best man Oscar na Matron Renee . 

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

 

10 years ago

Vijimambo

HARUSI YA SIMON NA ANGIE YAFANA WINSTON SALEM, NORTH CAROLINA

Simon na Angie wakishuka kwenye gari tayari kuingia ukumbini kusherehekea harusi yao iliyofanyika siku ya Jumamosi Octoba 25, 2014 mjini Winston Salem jimbo la North Carolina nchini Marekani.Bwana na Bibi harusi wakiingia ukumbini huku wakisindikizwa na waimbo wa Issa Matona Kimasomaso.Bwana na bibi harusi wakiwa meza yao katika siku yao maalum ya harusi yao.Bwana na bibi harusi katika densi yao ya kwanza kwa mara ya kwanza kama mume na mke.Bibi harus akicheza na baba yake Bwn. Thom Chesebro

 

10 years ago

Vijimambo

HARUSI YA NIAH ALMASI NA JACKLINE BUKUKU WA NSSF MBEYA YAFANA

Mtumishi wa Nssf Mbeya Niah Almasi   akiwa na nyuso ya furaha baada ya  ya kufunga pingu za maisha na Jackline Bukuku  ndoa iliyofungwa mwishoni mwa wiki iliyopita katika msikiti wa Forest jijini Mbeya na maulid iliyofanyika nyumbani kwa Bw.Harusi Brock T jijini hapa .

Bw.Almasi na Mke wake Jackline katika ubora wao



Baadhi ya watumishi wa Nssf Mbeya wakiwa na nyuso za furaha mara baada ya mtumishi mwenzao kupata jiko ,(kushoto)Mr Maige  na Khadija Rashidi Shibobo.


watoto wa madrasa wakisoma dua...

 

10 years ago

Michuzi

SURPRISE BIRTHDAY PARTY YA PETER WALDEN YAFANA HUKO BOWIE MD

IMG_5947Designer wa nguo (PSW) Peter Walden na mkewe Frida Walden wakiwa wenye nyuso za furaha wakati kusheherekea Birthday yake nyumbani kwake huko Bowie Md Jumamosi Novemba mosi,2014. IMG_5937Birthday boy akiwa na mama yake. IMG_5965Cake ya Birthday iliyowekwa nembo ya nguo za Peter (Perfect Gentleman by PSW. Picha zaidi BOFYA HAPA

 

11 years ago

GPL

HARUSI YA MBUNGE JOSHUA NASSARI NA ANANDE NNKO KANISA LA PENTEKOSTE KALINGA MERU, YAFANA

Msafara wa gari chache majira ya saa 2:30 ulianza safari katika viwanja vya Usa-River ambako gari za maharusi zilikuwa zikipambwa mdogo mdogo zikapanda Kilima zikiwa na maharusi Joshua Nassari na Anande Nnko safari ilikuwa ni kanisa la Kipentekoste la Kilinga,Meru tayari kwa ajili ya Ndoa.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani