Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HARUSI YA KANUMBA YAFANA ATLANTA GEORGIA

IMG_6523Bw.harusi David Kanumba akiwa na mkewe Nadege na wakwe zake mara baada ya kufunga ndoa siku ya Jumamosi Machi 28,2015, katika kanisa la Faith Ministry International Atlanta Georgia. IMG_6563Bw.harusi na Bi harusi wakiwa Bw.Togo na mkewe na mwisho kulia ni mchungaji Mwinamila. IMG_6569Bw.harusi na bi.harusi wakiwa na Best man Oscar na Matron Renee . 

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

PATA VIKWANGUA ANGA JIJI LA ATLANTA, GEORGIA NCHINI MAREKANI

Vikwangua anga vya jiji la Atlanata jimbo la Georgia nchini Marekani


 

10 years ago

Vijimambo

Watanzania wa jimbo la Georgia na Alabama wakutana kwa hafla ya nyama choma Atlanta, GA

DJ. Dullah akiburudisha wakati wa nyama choma hiyo.Kwa picha zaidi bofya SOMA ZAIDI

 

10 years ago

Vijimambo

July 4th weekend yafana huko Atlanta, GA

 Watanzania wakishereheakea uhuru wa Marekani kwa nyama choma Atlanta, GA.
 Kutoka kushoto, Oswald, Evans, na Geofrey wakibadilishana mawazo wakati wa nyama choma.
 Geofrey 'host' akichoma nyama.

 Queen akiwasili katika nyama choma hiyo.
 Kwa picha zaidi bofya SOMA ZAIDI






































 

11 years ago

Mwananchi

Harusi ya Rais Peter Mutharika yafana

Ilikuwa ni nderemo na vifijo katika mji wa Blantyre nchini Malawi baada ya Rais Peter Mutharika wa nchi hiyo kufunga ndoa na Gertrude Maseko.

 

10 years ago

Vijimambo

HARUSI YA NIAH ALMASI NA JACKLINE BUKUKU WA NSSF MBEYA YAFANA

Mtumishi wa Nssf Mbeya Niah Almasi   akiwa na nyuso ya furaha baada ya  ya kufunga pingu za maisha na Jackline Bukuku  ndoa iliyofungwa mwishoni mwa wiki iliyopita katika msikiti wa Forest jijini Mbeya na maulid iliyofanyika nyumbani kwa Bw.Harusi Brock T jijini hapa .

Bw.Almasi na Mke wake Jackline katika ubora wao



Baadhi ya watumishi wa Nssf Mbeya wakiwa na nyuso za furaha mara baada ya mtumishi mwenzao kupata jiko ,(kushoto)Mr Maige  na Khadija Rashidi Shibobo.


watoto wa madrasa wakisoma dua...

 

11 years ago

Vijimambo

HARUSI YA SIMON NA ANGIE YAFANA WINSTON SALEM, NORTH CAROLINA

Simon na Angie wakishuka kwenye gari tayari kuingia ukumbini kusherehekea harusi yao iliyofanyika siku ya Jumamosi Octoba 25, 2014 mjini Winston Salem jimbo la North Carolina nchini Marekani.Bwana na Bibi harusi wakiingia ukumbini huku wakisindikizwa na waimbo wa Issa Matona Kimasomaso.Bwana na bibi harusi wakiwa meza yao katika siku yao maalum ya harusi yao.Bwana na bibi harusi katika densi yao ya kwanza kwa mara ya kwanza kama mume na mke.Bibi harus akicheza na baba yake Bwn. Thom Chesebro

 

11 years ago

GPL

HARUSI YA MBUNGE JOSHUA NASSARI NA ANANDE NNKO KANISA LA PENTEKOSTE KALINGA MERU, YAFANA

Msafara wa gari chache majira ya saa 2:30 ulianza safari katika viwanja vya Usa-River ambako gari za maharusi zilikuwa zikipambwa mdogo mdogo zikapanda Kilima zikiwa na maharusi Joshua Nassari na Anande Nnko safari ilikuwa ni kanisa la Kipentekoste la Kilinga,Meru tayari kwa ajili ya Ndoa.…

 

10 years ago

Bongo Movies

Mama Kanumba:Nitaendeleza ndoto za Kanumba kupitia "Kanumba Foundation"

Mama wa aliyekuwa nyota wa filamu nchini, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa amesema kuwa kupitia Kampuni ya Kanumba The Great Film inakamilisha uanzishaji wa taasisi itakayoitwa, Kanumba Foundation.

Pia, alikanusha uvumi kuwa kampuni ya Kanumba imekufa, akifafanua jambo hilo alisema kampuni hiyo inaendelea na shughuli zake. Alisema kutakuwapo Kanumba Foundation ili kusaidia jamii wakiwamo wasanii katika masuala mbalimbali.

Akizungumza na gazeti la Mwananchi, Flora alisema uamuzi...

 

9 years ago

MillardAyo

Pale ambapo sherehe ya harusi inalazimika kuendelea japo bwana harusi kafariki… (+Video)

Ndugu jamaa na marafiki walijikuta wakiendelea na ratiba ya mazishi kwa mtindo wa sherehe baada ya bwana harusi kufariki… bibi harusi nae ilibidi akubaliane na ukweli kwamba ndoa yao imekatishwa na kifo cha mume mtarajiwa. Kifo cha bwana harusi John Mwangi kilitokana na ajali baada ya gari kutumbukia mtoni maeneo ya Kabarnet, Kaunti ya Baringo Kenya… […]

The post Pale ambapo sherehe ya harusi inalazimika kuendelea japo bwana harusi kafariki… (+Video) appeared first on...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani