Mh. Rais Kuna Fedha Huko Kwetu- Dr. Almasi
MWIGIZAJI wa filamu mahiri katika tasnia ya filamu Bongo Steven Almasi ‘ Dr. Almasi’ anasema kuwa tasnaia ya filamu inaweza kuzalisha ajira nyingi na kutengeneza fedha nyingi endapo tu mkuu wan chi atatoa kipaumbele kwa kazi za wasanii wa filamu kulindwa na kupewa nafasi katika kama sekta rasmi kwa vitendo.
“Kama ningepata nafasi ya kuongea na Mh. Rais Kikwete ningemshauri kuhusu pesa inayopotea katika tasnia ya filamu kwa kuwaachia wezi wa kazi za filamu wanaofaidika kila siku bila jasho...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qMaB1ymUijA/VBNmWD_zwHI/AAAAAAAGjYE/8K5gxVRPqC0/s72-c/unnamed%2B(33).jpg)
RAIS WA SOKO LA ALMASI WA ANTIWERPEN AKUTANA NA MABALOZI WA AFRIKA WA NCHI ZENYE MIGODI YA ALMASI
![](http://4.bp.blogspot.com/-qMaB1ymUijA/VBNmWD_zwHI/AAAAAAAGjYE/8K5gxVRPqC0/s1600/unnamed%2B(33).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1FysBgCk9zA/Vf6o178sZeI/AAAAAAAH6T8/xy_mX5wK1fQ/s72-c/unnamed.png)
KWETU HOUSE- WASHIRIKI 6 KUYAAGA MASHINDANO USIKU HUU USIKOSE KUANGALIA KWETU HOUSE AZAM TV (TWO) SAA TATU NA NUSU USIKU
![](http://4.bp.blogspot.com/-1FysBgCk9zA/Vf6o178sZeI/AAAAAAAH6T8/xy_mX5wK1fQ/s640/unnamed.png)
11 years ago
Mwananchi15 Feb
Rais Kikwete: Kuna majangili papa 40 nchini
10 years ago
Tanzania Daima19 Nov
Rais kutibiwa Marekani kuna ubaya gani?
RAIS wangu, ‘inji hii, washa tu babaangu’ kajisemea Lyatonga! Wahenga walisema kunya anye kuku, akinya bata kaharisha! Kuna watu wako hapa, Rais wangu hata ufanye nini kwao hamna jema. Jamani...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-qrCTyv7p1LA/VMRVZ-Z8VCI/AAAAAAACyb0/LsGFxWvn3kw/s72-c/mfundoUTU%2Bev.jpg)
UJIO WA RAIS KIKWETE HUKO UJERUMANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-qrCTyv7p1LA/VMRVZ-Z8VCI/AAAAAAACyb0/LsGFxWvn3kw/s640/mfundoUTU%2Bev.jpg)
Kufuatia mkutano wa Watanzania waishio ujerumani na Rais wa Tanzania Mhe Jakaya Kikwete, Mweyekiti wa umoja wa watanzania Ujerumani UTU e.V Bw, Mfundo Peter Mfundo ameeleza matarajio ya Watanzania waishio Ujerumani, alifafanua kwamba japokuwa Rais Kikwete amebakisha muda mfupi katika uongozi wake lakini Umoja huo unaamini kuwa madam Rais Kikwete ameona umuhimu wa kufanya mkutano na Watanzania wanaoishi ujerumani basi anaweza akatekeleza mahitaji ya Watanzania hao.Bw Mfundo alifafanua pia ...
9 years ago
BBCSwahili19 Nov
Almasi kubwa yapatikana Botswana
9 years ago
Mtanzania30 Nov
Almasi adimu yagundulika Tanzania
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
KAMPUNI ya madini ya Petra Diamonds imegundua aina adimu ya almasi ya rangi ya pinki yenye uzito wa karati 23.16 kutoka mgodi wake wa Williamson uliopo Mwadui, Shinyanga.
Kwa mujibu wa taarifa ya kampuni hiyo ya madini, almasi hiyo ya pinki, moja ya madini ya rangi yanayosakwa zaidi duniani ni mfano wa ubora wa hali ya juu na ugunduzi mkubwa na muhimu zaidi kufanywa na Petra kutoka mgodi huo hadi sasa.
“Almasi za pinki hupatikana katika migodi michache...
10 years ago
VijimamboTASWIRA YA MH. RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE HUKO RUTGERS NEW JERSEY