UJIO WA RAIS KIKWETE HUKO UJERUMANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-qrCTyv7p1LA/VMRVZ-Z8VCI/AAAAAAACyb0/LsGFxWvn3kw/s72-c/mfundoUTU%2Bev.jpg)
Kufuatia mkutano wa Watanzania waishio ujerumani na Rais wa Tanzania Mhe Jakaya Kikwete, Mweyekiti wa umoja wa watanzania Ujerumani UTU e.V Bw, Mfundo Peter Mfundo ameeleza matarajio ya Watanzania waishio Ujerumani, alifafanua kwamba japokuwa Rais Kikwete amebakisha muda mfupi katika uongozi wake lakini Umoja huo unaamini kuwa madam Rais Kikwete ameona umuhimu wa kufanya mkutano na Watanzania wanaoishi ujerumani basi anaweza akatekeleza mahitaji ya Watanzania hao.Bw Mfundo alifafanua pia ...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-6S3pE0zB8Ek/VNESKXWlycI/AAAAAAABkFA/upaJmeR2bdc/s72-c/330.jpg)
MATAYARISHO YA UJIO WA RAIS WA SHIRIKISHO LA UJERUMANI ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-6S3pE0zB8Ek/VNESKXWlycI/AAAAAAABkFA/upaJmeR2bdc/s640/330.jpg)
Kushoto ya Balozi Seif ni Mshauri wa Rais anaesimamia Uchumi, Uwekezaji na Ushirikiano wa Kimataifa Balozi Moh’d Ramia na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Bandari Zanzibar Nd. Abdulla Juma Abdulla.
![](http://2.bp.blogspot.com/-s-KB_zNV7LU/VNESJHAK8ZI/AAAAAAABkEw/g9JWlKXxmRI/s640/333.jpg)
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AMKARIBISHA RAIS WA UJERUMANI JOACHIM GAUCK ,IKULU JIJINI DAR LEO
10 years ago
Dewji Blog03 Feb
Rais Kikwete amkaribisha Rais wa Ujerumani Joachim Gauck, Ikulu Jijini Dar Leo
Rais wa Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha mgeni wake Ikulu Rais wa Ujerumani Mhe. Joachim Gauck ambaye ameongozana na mke wake Bibi Schadt leo.
Rais wa Jakaya Mrisho Kikwete akimtambusha Rais wa Ujerumani Mhe. Joachim Gauck kwa viongozi mbalimbali wa kitaifa waliojitokeza kumpekea leo tarehe.03.02.2015 katika viwanja vya Ikulu.
Rais wa Jakaya Mrisho Kikwete pamoja na mgeni wake Rais wa Ujerumani Mhe. Joachim Gauck wakipata mapokezi kwa kuimbwa kwa nyimbo za taifa za mataifa hayo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DIpsX3jcHzPhOajM*QTBZvBB6aHp2D0HtCcMT77Zbty0sopSF69xPwGD*JDkHHVGHmwwDTNKS4xDSm3GGBaoYlTyqN8wMA6U/Pichana0.jpg?width=750)
RAIS JAKAYA KIKWETE AMUANDALIA RAIS WA UJERUMANI DHIFA YA KITAIFA YA CHAKULA CHA USIKU, IKULU
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-V0BpRETkTcM/VMX01tkgRbI/AAAAAAAG_eE/RqrKy2Cvap8/s72-c/unnamed.jpg)
Rais Kikwete kukutana na Watanzania waishio Ujerumani
![](http://1.bp.blogspot.com/-V0BpRETkTcM/VMX01tkgRbI/AAAAAAAG_eE/RqrKy2Cvap8/s1600/unnamed.jpg)
Alifafanua kwamba japokuwa Rais Kikwete amebakiza muda mfupi katika uongozi wake lakini Umoja huo unaamini kuwa madam Rais Kikwete ameona umuhimu wa kufanya mkutano na Watanzania wanaoishi ujerumani basi anaweza akatekeleza mahitaji ya Watanzania hao.
Bw. Mfundo alifafanua pia ...
10 years ago
VijimamboTASWIRA YA MH. RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE HUKO RUTGERS NEW JERSEY
9 years ago
VijimamboRais Kikwete akutana na Kiongozi wa Ujerumani Angela Merkel jijini New York
9 years ago
MichuziRAIS DKT JAKAYA KIKWETE AZINDUA RASMI SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA WAMA SHARAF HUKO LINDI
11 years ago
Dewji Blog15 Jul
Rais Kikwete akabidhi bendera timu ya taifa ya riadha itayoshiriki michuano ya jumuiya ya madola huko Glasgow, Scotland
Rais Jakaya Mrisho Kikwete...