MATAYARISHO YA UJIO WA RAIS WA SHIRIKISHO LA UJERUMANI ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-6S3pE0zB8Ek/VNESKXWlycI/AAAAAAABkFA/upaJmeR2bdc/s72-c/330.jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akitembelea Bandari ya Malindi kuangalia matayarisho ya ujio wa Rais wa shirikisho la Ujerumani Bwana Joachik Gauck.
Kushoto ya Balozi Seif ni Mshauri wa Rais anaesimamia Uchumi, Uwekezaji na Ushirikiano wa Kimataifa Balozi Moh’d Ramia na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Bandari Zanzibar Nd. Abdulla Juma Abdulla.Balozi Seif akiwa na Viongozi wa Kamati ya kuratibu Mapokezi ya Rais wa Ujerumani wakirudi kukagua eneo la kushukia boti ...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-rfxakhWD68Q/VNGiLETuANI/AAAAAAAHBcE/QiMIkStle80/s72-c/unnamed%2B(36).jpg)
Rais wa Shirikisho la Ujerumani Bwana Joachik Gauck kuwasili zanzibar kwa boti asubuhi hii
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-qrCTyv7p1LA/VMRVZ-Z8VCI/AAAAAAACyb0/LsGFxWvn3kw/s72-c/mfundoUTU%2Bev.jpg)
UJIO WA RAIS KIKWETE HUKO UJERUMANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-qrCTyv7p1LA/VMRVZ-Z8VCI/AAAAAAACyb0/LsGFxWvn3kw/s640/mfundoUTU%2Bev.jpg)
Kufuatia mkutano wa Watanzania waishio ujerumani na Rais wa Tanzania Mhe Jakaya Kikwete, Mweyekiti wa umoja wa watanzania Ujerumani UTU e.V Bw, Mfundo Peter Mfundo ameeleza matarajio ya Watanzania waishio Ujerumani, alifafanua kwamba japokuwa Rais Kikwete amebakisha muda mfupi katika uongozi wake lakini Umoja huo unaamini kuwa madam Rais Kikwete ameona umuhimu wa kufanya mkutano na Watanzania wanaoishi ujerumani basi anaweza akatekeleza mahitaji ya Watanzania hao.Bw Mfundo alifafanua pia ...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-M81ZOZpdqlw/VBbXZLGJ0bI/AAAAAAAGjwk/7u8tCEw-6bU/s72-c/unnamed%2B(27).jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA MBUNGE WA SHIRIKISHO LA UJERUMANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-M81ZOZpdqlw/VBbXZLGJ0bI/AAAAAAAGjwk/7u8tCEw-6bU/s1600/unnamed%2B(27).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-QwRNFQA8A1k/VBbXY2WkvFI/AAAAAAAGjwg/7t4iJ66BwzY/s1600/unnamed%2B(28).jpg)
10 years ago
Dewji Blog15 Sep
Makamu wa Rais Dkt. Mohammed Gharib Bilal akutana na Mbunge shirikisho la Ujerumani
-Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal akizungumza na Mhe. Charles M. Huber (wa pili kushoto) ambaye ni Mbunge na Mjumbe wa Kamati ya Ushirikiano wa Uchumi na Maendeleo na Mambo ya Nje ya Bunge la Shirikisho la Ujerumani wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam kwa mazungumzo leo Septemba 15, 2014.(Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na Mhe....
10 years ago
Habarileo06 Feb
Barabara zote za ndani kukarabatiwa Rais wa Ujerumani, Joachim Gauck akiwa na mwenyeji wake, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Mfuko wa Barabara Zanzibar umedhamiria kuzifanyia ukarabati barabara za ndani katika majimbo ya uchaguzi Unguja na Pemba ili kurahisisha huduma za usafiri.
9 years ago
Mzalendo Zanzibar14 Oct
Sauti:Matayarisho ya uchaguzi Zanzibar
Salma Said, Tume ya uchaguzi Zanzibar (ZEC) imewaita wadau wa uchaguzi kuwaeleza ukamilishaji wa taratibu za uchaguzi ambazo zinakaribia kufikia ukingoni mnamo Octoba 25 mwaka huu, huku masuali kadhaa ya khofu na kasoro za uchaguzi huo […]
The post Sauti:Matayarisho ya uchaguzi Zanzibar appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-x-eisJ_9z3o/VNMvzNq4LsI/AAAAAAABkTQ/eBK84Lze4uA/s72-c/shein%2B1.jpg)
MAPOKEZI YA RAIS WA UJERUMANI ZANZIBAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-x-eisJ_9z3o/VNMvzNq4LsI/AAAAAAABkTQ/eBK84Lze4uA/s640/shein%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1a1k4Mp041I/VNMv2DtcJkI/AAAAAAABkTY/3ax_d7-bXRY/s640/shein%2B4.jpg)
10 years ago
Dewji Blog03 Feb
Rais wa Ujerumani kuzuru Zanzibar
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akitembelea Bandari ya Malindi kuangalia matayarisho ya ujio wa Rais wa shirikisho la Ujerumani Bwana Joachik Gauck.. Kushoto kwa Balozi Seif ni Mshauri wa Rais anaesimamia Uchumi, Uwekezaji na Ushirikiano wa Kimataifa Balozi Moh’d Ramia na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Bandari Zanzibar Nd. Abdulla Juma Abdulla.
Rais wa Shirikisho la Ujerumani Bwana Joachim Gauck anatarajiwa kuwasili Zanzibar kesho asubuhi kwa kufanya ziara ya kutwa...
10 years ago
VijimamboRais wa Zanzibar aongea na Watanzania Ujerumani