MAPOKEZI YA RAIS WA UJERUMANI ZANZIBAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-x-eisJ_9z3o/VNMvzNq4LsI/AAAAAAABkTQ/eBK84Lze4uA/s72-c/shein%2B1.jpg)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na mgeni wake Rais wa Ujerumani Mhe,Joachim Gauck mara alipowasili katika Bandari ya Malindi Mjini Zanzibar leo akitokea Dar es Salaam akiwa katika ziara ya siku moja Nchini akifuatana ma Mkewe Daniela Schadt pamoja na viongozi mbali mbali wa Nchi hiyo
Rais wa Ujerumani Mhe,Joachim Gauck akisalimiana na Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi (katikati) mara alipowasili katika Bandari ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-R349E5LZ3m0/VM-wKfspUnI/AAAAAAAHBHY/BC8awKrZIGQ/s72-c/images.jpg)
RAIS WA UJERUMANI KUWASILI LEO USIKU , MAANDALIZI YA MAPOKEZI YAKE YAKAMILIKA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-R349E5LZ3m0/VM-wKfspUnI/AAAAAAAHBHY/BC8awKrZIGQ/s1600/images.jpg)
Akizungumzia ujio wa rais huyo ofisini kwake leo jijini Dar es salaam Mh. Meck Sadiki amesema kuwa rais Joachim Gauck na msafara wake atawasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere majira ya saa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-xoY3sTUpJ6Y/VNBlWX08eVI/AAAAAAAHBPk/BieRUBKP3NE/s72-c/download.jpg)
ANGALIA MAPOKEZI YA RAIS WA UJERUMANI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LIVE KUANZIA SAA TATU UNUSU ASUBUHI HII
![](http://3.bp.blogspot.com/-xoY3sTUpJ6Y/VNBlWX08eVI/AAAAAAAHBPk/BieRUBKP3NE/s1600/download.jpg)
KUANGALIA MAPOKEZI HAYO NA MAMBO MENGINEBOFYA HAPA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-PJmqsTuhHNk/Uu1-xFd2CTI/AAAAAAAFKJI/q90V3Xfvx80/s72-c/TA1A1385.jpg)
Mapokezi ya Rais wa Zanzibar Nchini India
![](http://3.bp.blogspot.com/-PJmqsTuhHNk/Uu1-xFd2CTI/AAAAAAAFKJI/q90V3Xfvx80/s1600/TA1A1385.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ogn-KHBK6IA/Uu1-xdm8pII/AAAAAAAFKJY/HkmAJGnm0q8/s1600/TA1A1390.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-IiGSBqUjv2c/VVcyydfnm1I/AAAAAAAHXoQ/1iHvkLB6ThY/s72-c/716.jpg)
Taswira za maandalizi ya mwisho ya mapokezi ya rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Zanzibar
![](http://1.bp.blogspot.com/-IiGSBqUjv2c/VVcyydfnm1I/AAAAAAAHXoQ/1iHvkLB6ThY/s640/716.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-jZeQzG-h0kk/VVcyyRFMJ0I/AAAAAAAHXoY/Ikh71y8U19I/s640/723.jpg)
10 years ago
Habarileo06 Feb
Barabara zote za ndani kukarabatiwa Rais wa Ujerumani, Joachim Gauck akiwa na mwenyeji wake, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Mfuko wa Barabara Zanzibar umedhamiria kuzifanyia ukarabati barabara za ndani katika majimbo ya uchaguzi Unguja na Pemba ili kurahisisha huduma za usafiri.
10 years ago
Dewji Blog03 Feb
Rais wa Ujerumani kuzuru Zanzibar
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akitembelea Bandari ya Malindi kuangalia matayarisho ya ujio wa Rais wa shirikisho la Ujerumani Bwana Joachik Gauck.. Kushoto kwa Balozi Seif ni Mshauri wa Rais anaesimamia Uchumi, Uwekezaji na Ushirikiano wa Kimataifa Balozi Moh’d Ramia na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Bandari Zanzibar Nd. Abdulla Juma Abdulla.
Rais wa Shirikisho la Ujerumani Bwana Joachim Gauck anatarajiwa kuwasili Zanzibar kesho asubuhi kwa kufanya ziara ya kutwa...
10 years ago
MichuziRAIS WA UJERUMANI AWASILI ZANZIBAR LEO
10 years ago
VijimamboRais wa Zanzibar aongea na Watanzania Ujerumani
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-6S3pE0zB8Ek/VNESKXWlycI/AAAAAAABkFA/upaJmeR2bdc/s72-c/330.jpg)
MATAYARISHO YA UJIO WA RAIS WA SHIRIKISHO LA UJERUMANI ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-6S3pE0zB8Ek/VNESKXWlycI/AAAAAAABkFA/upaJmeR2bdc/s640/330.jpg)
Kushoto ya Balozi Seif ni Mshauri wa Rais anaesimamia Uchumi, Uwekezaji na Ushirikiano wa Kimataifa Balozi Moh’d Ramia na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Bandari Zanzibar Nd. Abdulla Juma Abdulla.
![](http://2.bp.blogspot.com/-s-KB_zNV7LU/VNESJHAK8ZI/AAAAAAABkEw/g9JWlKXxmRI/s640/333.jpg)