RAIS WA UJERUMANI AWASILI ZANZIBAR LEO
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na mgeni wake Rais wa Ujerumani Mhe,Joachim Gauck mara alipowasili katika Bandari ya Malindi Mjini Zanzibar leo akitokea Dar es Salaam akiwa katika ziara ya siku moja Nchini akifuatana ma Mkewe Daniela Schadt pamoja na viongozi mbali mbali wa Nchi hiyo.
Rais wa Ujerumani Mhe,Joachim Gauck akisalimiana na Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi (katikati) mara alipowasili katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
RAIS WA MSUMBIJI AWASILI ZANZIBAR LEO


10 years ago
GPL
RAIS WA UJERUMANI JOACHIM GAUCK AWASILI NCHINI
10 years ago
Vijimambo03 Feb
Rais wa Ujerumani awasili nchini kuanza ziara ya kitaifa
10 years ago
Michuzi
RAIS WA UJERUMANI JOACHIM GAUCK AWASILI NCHINI USIKU HUU



10 years ago
Vijimambo
RAIS KIKWETE AHANI MSIBA WA MFALME WA SAUDI ARABIA, AWASILI BERLIN, UJERUMANI, KWA ZIARA YA KIKAZI


10 years ago
VijimamboRAIS WA MSUMBIJI AWASILI ZANZIBAR
10 years ago
Habarileo06 Feb
Barabara zote za ndani kukarabatiwa Rais wa Ujerumani, Joachim Gauck akiwa na mwenyeji wake, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Mfuko wa Barabara Zanzibar umedhamiria kuzifanyia ukarabati barabara za ndani katika majimbo ya uchaguzi Unguja na Pemba ili kurahisisha huduma za usafiri.
5 years ago
CCM BlogRAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AWASILI ZANZIBAR AKITOKEA PEMBA BAADA YA KUMALIZA ZIARA YAKE YA SIKU TATU PEMBA.