Rais wa Ujerumani awasili nchini kuanza ziara ya kitaifa
Rais wa Ujerumani, Mhe. Joachim Gauck pamoja na Mhe. Mama Schadt wakiteremka kwenye ndege mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuanza ziara ya kitaifa ya siku tano hapa nchini.
Mhe. Gauck akilakiwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mohammed Gharib Bilal mara baada ya kuwasili nchini.
Mhe. Gauck na Mama Schadt wakipokea maua kutoka kwa Watoto Elizabeth Jackson na Barqat Mvungi walioandaliwa kwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo16 May
RAIS WA MSUMBIJI KUANZA ZIARA YA KITAIFA NCHINI
![](http://www.herald.co.zw/wp-content/uploads/2014/07/Nyusi.jpg)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Msumbiji, Mhe. Filipe Jacinto Nyusi anatarajiwa kuwasili nchini tarehe 17 Mei, 2015 kwa ziara ya Kitaifa ya siku tatu nchini kwa mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete.
Mhe. Rais Nyussi atapokelewa na mwenyeji wake Mhe. Rais Kikwete mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere. Mhe. Rais Nyusi atakagua Gwaride la Heshima na kupigiwa mizinga 21.
Baada...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kHZNBDqH1ZiGtAQeE**XCYl9g2cFBAPWedCAnkQ*J2u9qIpsdUArauvg8g2lJROca3PTKO9*gVI-ssqRc4x9YjZkYWbYDhtD/Rais1.jpg?width=750)
RAIS WA UJERUMANI JOACHIM GAUCK AWASILI NCHINI
9 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS MHE SAMIA AWASILI MKOANI GEITA KUANZA ZIARA LEO
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-AoOf3YmtEEs/VM_mB5-udVI/AAAAAAAHBNA/E5pXgaxcG7c/s72-c/Rais%2B-1.jpg)
RAIS WA UJERUMANI JOACHIM GAUCK AWASILI NCHINI USIKU HUU
![](http://3.bp.blogspot.com/-AoOf3YmtEEs/VM_mB5-udVI/AAAAAAAHBNA/E5pXgaxcG7c/s1600/Rais%2B-1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pHRl2Cgjx_I/VM_l_jC3sPI/AAAAAAAHBMo/KadwgD6GLeM/s1600/Rais%2B-%2B2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xcL9zxNG1aM/VM_l_iWsk9I/AAAAAAAHBMs/HSFmd9mSAqk/s1600/Rais%2B-%2B3.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-o5WYUnYrxJM/VMZ_IgwyZoI/AAAAAAACWSw/WjmuCjnaJYM/s72-c/jk1.jpg)
RAIS KIKWETE AHANI MSIBA WA MFALME WA SAUDI ARABIA, AWASILI BERLIN, UJERUMANI, KWA ZIARA YA KIKAZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-o5WYUnYrxJM/VMZ_IgwyZoI/AAAAAAACWSw/WjmuCjnaJYM/s640/jk1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LOVJApbTy7k/VMZ_FHFDbdI/AAAAAAACWSo/7IcpYiHp2hc/s640/jk4.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-OUWEf_w3yxA/U3jyPoQCDKI/AAAAAAAFjjE/KidRCGVDZIs/s72-c/unnamed+(30).jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWASILI JAPAN JIONI HII KUANZA ZIARA YA SIKU SITA
![](http://1.bp.blogspot.com/-OUWEf_w3yxA/U3jyPoQCDKI/AAAAAAAFjjE/KidRCGVDZIs/s1600/unnamed+(30).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-EzQNoDEKiCU/U3jyP09PayI/AAAAAAAFjjI/X5dsNbNQ_hU/s1600/unnamed+(31).jpg)
10 years ago
MichuziRAIS WA ZANZIBAR AENDELEA NA ZIARA YAKE NCHINI UJERUMANI
10 years ago
MichuziRais Yoweri Museveni Awasili Nchini kwa Ziara ya siku moja
10 years ago
Vijimambo03 Nov
Makamu wa Rais wa Afrika Kusini awasili nchini kwa ziara ya siku moja