Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RAIS WA UJERUMANI KUWASILI LEO USIKU , MAANDALIZI YA MAPOKEZI YAKE YAKAMILIKA.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Said Meck Sadiki amewaomba wakazi wa jiji la Dar es salaam kujitokeza kwa wingi katika mapokezi ya Rais wa Shirikisho la Ujerumani Mh.Joachim Gauck  (pichani) anayetarajiwa kuwasili nchini Tanzania  usiku huu kwa ziara ya kikazi ya siku tano.
Akizungumzia ujio wa rais huyo ofisini kwake  leo jijini Dar es salaam Mh. Meck Sadiki amesema kuwa rais Joachim Gauck na msafara wake atawasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere majira ya saa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MAPOKEZI YA RAIS WA UJERUMANI ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na mgeni wake Rais wa Ujerumani Mhe,Joachim Gauck mara alipowasili katika Bandari ya Malindi Mjini Zanzibar leo akitokea Dar es Salaam akiwa katika ziara ya siku moja Nchini akifuatana ma Mkewe Daniela Schadt pamoja na viongozi mbali mbali wa Nchi hiyoRais wa Ujerumani Mhe,Joachim Gauck akisalimiana na Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi (katikati) mara alipowasili katika Bandari ya...

 

10 years ago

Michuzi

Taswira za maandalizi ya mwisho ya mapokezi ya rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Zanzibar

Mjumbe wa Kamati ya Mapokezi ya Rais wa Msumbiji Maalim Vuai Khamis kutoka Taasisi ya Elimu akikagua Gwaride la Jeshi la Wananchi wa Tanzania {JWTZ } ikiwa ni maandalizi ya mwisho ya ujio wa Kiongozi huyo wa Jamhuri ya Msumbiji Bwana Philipe Jacinto Nyusi anayetarajiwa kufanya ziara ya siku Moja Zanzibar. Kamanda Mkuu wa Brigedi ya Nyuki Zanzibar Brigedia Jenerali Cyrill Ivor Mhaiki akibadilishana mawazo na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar ambae pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Sherehe na...

 

10 years ago

Michuzi

Rais wa Ujerumani, Mhe. Joachim Gauck kuwasili nchini kesho

Rais wa Ujerumani, Mhe. Joachim Gauck anatarajiwa kuwasili nchini usiku wa tarehe 02 Februari, 2015 kwa ziara ya kitaifa ya siku tano kwa mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete.
Mhe. Rais Gauck atapokelewa rasmi na mwenyeji wake Mhe. Rais Kikwete Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 03 Februari, 2015 na atakagua Gwaride la Heshima na kupigiwa mizinga 21. Wananchi wanaombwa kuwa watulivu wakati mizinga hii ikipigwa kwani ni salama.
Baada ya mapokezi hayo,...

 

10 years ago

Michuzi

Makamu mwenyekiti wa Umoja wa Watanzania Ujerumani (UTU e.V) kuwasili nchini leo

Makamu mwenyekiti wa Umoja wa Watanzania  Ujerumani UTU e.V,Peter Kazaura (pichani) anatarajiwa kuwasili nchini Tanzania leo 02.02.2015 kwa ajili ya kufanya mazungumzo na Uongozi wa juu wa Taifa. 
Akiwa nchini atafanya mazungumzo na uongozi wa taasisi mbali mbali zikiwepo  TIC, Basata, Wizara ya Ardhi,Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo pamoja na mashirika ya NSSF, NHC,  Tanzania Diaspora Initiative.
Mazungumzo hayo yatalenga upatikanaji wa Fursa zilizopo Tanzania kwa Diaspora....

 

10 years ago

Michuzi

Rais wa Shirikisho la Ujerumani Bwana Joachik Gauck kuwasili zanzibar kwa boti asubuhi hii

Rais wa Shirikisho la Ujerumani Bwana Joachim Gauck anatarajiwa kuwasili Zanzibar leo asubuhi kwa kufanya ziara ya kutwa moja akitokea Mjini Dar es salaamu. Bwana Joachim atapokewa na Mwenyeji wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dr. Ali Mohammed Shein, Mawaziri wa Serikali, Viongozi wa Kisiasa na baadhi ya raia wa Ujerumani waliopo Zanzibar huko Bandari ya malindi Mjini Zanzibar. Matayarisho ya mapokezi ya ujio wa Kiongozi huyo wa Shirikisho la Ujerumani yamekamilika...

 

10 years ago

GPL

RAIS JAKAYA KIKWETE AMUANDALIA RAIS WA UJERUMANI DHIFA YA KITAIFA YA CHAKULA CHA USIKU, IKULU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete(wa pili kutoka kulia) na mgeni wake Rais wa Shirikisho la Ujerumani, Joachim Gauck (wa tatu kutoka kulia) wakifurahia wakati wa dhifa ya kitaifa ya chakula cha usiku aliyomwandalia  kiongozi   huyo jana usiku, Ikulu jijini Dar es salaam. Kushoto ni Mke wa Rais wa Tanzania, mama Salma Kikwete na Mke wa Rais wa Ujerumani Bi. Daniella Schadt.…
...

 

10 years ago

Michuzi

ANGALIA MAPOKEZI YA RAIS WA UJERUMANI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LIVE KUANZIA SAA TATU UNUSU ASUBUHI HII

MAPOKEZI RASMI YA RAIS WA UJERUMANI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM KUONESHWA LIVE MTANDAONI KUPITIA TOVUTI RASMI YA IKULU KUANZIA SAA TATU NA NUSU ASUBUHI HII.
KUANGALIA MAPOKEZI HAYO NA MAMBO MENGINEBOFYA HAPA

 

9 years ago

GPL

MAANDALIZI UJIO WA WIZKID YAKAMILIKA

Mwanamuzi nyota wa Nigeria, Wizkid. Imelda Mtema,  MAANDALIZI ya ujio wa mwanamuzi nyota wa Nigeria, Wizkid anayetarajia kutumbuiza jijini Dar es Salaam Oktoba 31, mwaka huu yamekamilika.Mwanamuziki huyo anayetamba na wimbo wake wa ‘Give My Money’ analetwa nchini na kampuni ya burudani ya King na kudhaminiwa na Kituo cha Runinga cha EATV. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa King Entertainment, Solomon...

 

11 years ago

BBCSwahili

Malawi:Maandalizi ya uchaguzi yakamilika

Maandalizi ya uchaguzi Mkuu wa Malawi yamekamilika huku wagombea 12 wakikabana koo kuwania urais. Tathmini ya Baruan Muhuza

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani