KUELEKEA MIAKA 56 YA MUUNGANO TULICHONACHO NI ALMASI TUSIDANGANYIKE NA WALIOSHINDWA KUUNGANA
![](https://1.bp.blogspot.com/-yLKKZLGdNVU/Xo3NSkbSO1I/AAAAAAAC870/ue_Fu2Dhgg0U5_4RiOvBjmuoWHV1W5oMwCLcBGAsYHQ/s72-c/ob_37006e_muungano.jpg)
Na Mwandishi Wetu – Maelezo
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni Jamhuri ambayo imefanikiwa kuulinda, kuulea, na kudumisha Muungano kwa mIongo mitano na nusu sasa ambapo unarithishwa kwa vizazi kwa kuwa waasisi wengi wa Muungano wametangulia mbele ya haki na kuufanya kuwa mfano wa pekee katika sayari ya dunia.
Unapoitaja Jamhuri ya Muungano wa Tanzania huna budi kuwashukuru kwa dhati kabisa Waasisi wa Muungano ambao ni Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Shekhe Abeid Amani Karume,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-f37OtKHqJXE/U1mULFMqbDI/AAAAAAAFc40/cxdq4O-v3xU/s72-c/MMG21739.jpg)
11 years ago
Dewji Blog20 Apr
Kuelekea sherehe za miaka 50, Makamu wa Rais Dkt. Bilal afungua kongamano la Muungano Mjini Zanzibar.
![03](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/037.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QbpbAbCuDkk/UvYOmb3IKGI/AAAAAAAFLu4/AS8cS2ki_do/s72-c/unnamed+(64).jpg)
KONGAMANO LA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU MKOANI MBEYA KUELEKEA MIAKA HAMNASINI YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-QbpbAbCuDkk/UvYOmb3IKGI/AAAAAAAFLu4/AS8cS2ki_do/s1600/unnamed+(64).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-PqjicwooxgQ/UvYOnGL8STI/AAAAAAAFLvE/PereR1B2bJE/s1600/unnamed+(65).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-t0pId5oqG8I/UvYOnDFiIWI/AAAAAAAFLu8/XxiwyKJ3hms/s1600/unnamed+(66).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qMaB1ymUijA/VBNmWD_zwHI/AAAAAAAGjYE/8K5gxVRPqC0/s72-c/unnamed%2B(33).jpg)
RAIS WA SOKO LA ALMASI WA ANTIWERPEN AKUTANA NA MABALOZI WA AFRIKA WA NCHI ZENYE MIGODI YA ALMASI
![](http://4.bp.blogspot.com/-qMaB1ymUijA/VBNmWD_zwHI/AAAAAAAGjYE/8K5gxVRPqC0/s1600/unnamed%2B(33).jpg)
11 years ago
Mwananchi06 Feb
Tusidanganyike, Serikali inaijua fika mitandao ya ujangili, dawa za kulevya
9 years ago
MichuziMATUKIO MBALIMBALI YAENDELEA KUELEKEA MAADHIMISHO YA MIAKA 70 YA UMOJA WA MATAIFA